Yanga bingwa 2023-2024:Yaifunga Mtibwa 3-1 | NBC Premier League | Manungu Stadium | 13.05.2024

Yanga bingwa 2023-2024:Yaifunga Mtibwa 3-1 | NBC Premier League | Manungu Stadium | 13.05.2024

Mungu saidia matokeo yawe Haya haya na mechi ijayo wafungwe na Dodoma.
Wakati hui Yanga wakipata point moja tu atafikasha point 69 Simba na Azam zitakiwa zishinde mechi zao zote zilizobakia ili azifikishe hizo point ili goal difference ndio iamue ubingwa. Ila akipata point mbili tu basi hakuna timu itakoyoweza fikisha point za Yamga
 
Back
Top Bottom