Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 60,050
- 104,466
Uzuri wa kumaliza biashara mapema Yanga hii game wanarelax tu, na wanaweza kuwapa Mtibwa na wasishuke daraja.Ngapi Huko? Engineer Soma Wewe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uzuri wa kumaliza biashara mapema Yanga hii game wanarelax tu, na wanaweza kuwapa Mtibwa na wasishuke daraja.Ngapi Huko? Engineer Soma Wewe
Usiku wa juzi kuamkia jana walikesha harusini kwa Alwatani ndio maanaHawa wachezaji wanavyocheza ni kama walilala Casino
😆Sababu yakitotoUzuri wa kumaliza biashara mapema Yanga hii game wanarelax tu, na wanaweza kuwapa Mtibwa na wasishuke daraja.
😀😅Teyari yanga wamesawazisha
🤣👀😂😀😅FT Yanga 2 Mtibwa 1
Ngapi ngapi huko?😆Sababu yakitoto
Ngoja nipitie mafaili ,kuna kaukweli hapa.Usiku wa juzi kuamkia jana walikesha harusini kwa Alwatani ndio maana
Naamini kila mchezaji aliondoka na pisi
Hamuwaonei tena huruma wasishukeNgapi ngapi huko?
MfungajiTeyar mtibwa wamelambwa sukari
Ngoja nipitie mafaili ,kuna kaukweli hapa.
MsondaMfungaji
Bibi harusi Hana furaha kabisaNgoja nipitie mafaili ,kuna kaukweli hapa.