Yanga day kupambwa na Red Arrows ya Zambia, Dar itatikisika

Yanga day kupambwa na Red Arrows ya Zambia, Dar itatikisika

Simba walikuja na sera Yao wanasajili/wanawapa kipaombele wachezaji wa ndani, Yanga wakasena Muddy kafilisika Hana uwezo wa kusajili tena na mashabiki wa Yanga wakaashadadia kweli lakini Nyuma ya pazia kumbe Simba ndio katumia pesa zaidi kuliko Yanga coz kajiokotea wachezaji wa Bure. Sasa imepinduka Simba wanasema Yanga Hana pesa ya kuweka Kambi nje ya nchi na mashabiki wa Simba watashadadia kweli japo Yanga nao watajifanya Haina maana sana kuweka Kambi nje ya nchi. Mashabiki wa hizi timu wanaukichaa kwa mbaali ndio maana Huwa wanazielewa hizi timu
Hivi unaweza msajiri mchezaji bure?

Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
 
Mwaka jana tulicheza na zanaco ya huko zambia na ndipo mlipomuonea phiri,sioni ajabu kuwaalika red arrows mwaka huu sema kolo's mnaongea mno
hahahahahaha uwiiiiii na huyu mimeno mlimuonea wapi? phiri alikuw aje mwaka juzi kabisa we kinabo
utopwinyo mimeno.jpg
 
Hivi Yanga yeye alishawahi kualikwa wapi huko duniani kusherehesha kwenye kumbukizi ya Timu nyingine?
 
WATU WENGI HAWAELEWI MAANA YA MECHI ZA KIRAFIKI.


Mechi za kirafiki zinalenga kujipima kama kile ambacho unataka kukifanya msimu ujao kina mafanikio au laa.

Sio lazima sana iwe mechi dhidi ya timu kubwa. Msimu uliopita Yanga SC walicheza na nani mkubwa? Ni hawa hawa wakina Zanaco. Baadaye tena waliporudi kwenye Ligi tuliona nini kilitokea.

Spurs kacheza vs Sevilla jana.
Kwanini asiombe mechi na Barca au Madrd?

Leipzig kacheza vs Southampton jana.
Kwanini asiombe kucheza na City au Liverpool?

Westham kacheza vs Reading jana
Kwanini asiombe mechi na Dortmund?

Hertha Berlin vs Derby County
Kwanini asicheze na Bayern Munich?

Sassuolo vs Jablonec
Kwanini asicheze na Roma AS?
Lakini kama utakumbuka moja ya sababu za kocha nabi alizokuwa akitumia kujitetea baada ya kufungwa mechi tatu mfululizo ilikuwa ni pre season mbovu
 
Lakini kama utakumbuka moja ya sababu za kocha nabi alizokuwa akitumia kujitetea baada ya kufungwa mechi tatu mfululizo ilikuwa ni pre season mbovu
nani kakuambia utopolo wanahitaji facts ? saa hizi wankuambia pre season hata wakicheza na moro kids ni sawa tu wana team kali sana
 
Aziz ki ni free agent but still ndio mchezaji ghali Tanzania kwa sasa,kolo's mnadai nyie ndie mmetumia pesa nyingi kununua wachezaji then hapo hapo mnadai Yanga imeshindwa kuweka kambi nje ya coz ya pesa waliyompa aziz ki,kolo's mliandaa hadi jezi kwa ajili ya aziz ki sema mlishindwa kwenye pesaView attachment 2293965
Mchezaji ghali kwasababu mmepigwa?

Umeuziwa infinix hot 5 kwa bei ya iphone 12 halafu unatamba kuwa umenunua simu yenye bei ghali?
 
Mtoa mada unaweweseka sana na Yanga. Masaa 24 unaiwaza Yanga. Hebu jitafakari Kwa maana umekuwa kama kituko humu jamvini
Huyu si ndiyo yule meneja uchwara wa baadhi ya wachezaji wa ligi kuu aliyepigwa picha akiwa amevaa kanzu chafu na yeboyebo zilizochakaa.

Ana chuki tu binafsi na Yanga.
 
Lakini kama utakumbuka moja ya sababu za kocha nabi alizokuwa akitumia kujitetea baada ya kufungwa mechi tatu mfululizo ilikuwa ni pre season mbovu
Pre seson mbovu ni pamoja na wachezaji kutumia muda mwingi kusafiri, kuchelewa Kwa vibali, wachezaji kukosa pumzi ya kutosha maana Yanga walikua wanamudu kucheza vizuri dk 70 tu.
Muda ulikua mfupi na muda mwingi waliutumia kusafiri dar to Morocco tena safari za kuunganisha unganisha.
Maana inabidi usafiri uende mbaka Ethiopia uka unganishe Ndege nyingine.
 
mbona mna hasira hivi nimetoka kuitwa muongo in a span of 10 seconds to this? kwani mlitarajia team gani wajameni ije?
Leta team ambazo ziko top ten ya CAF au hata top 15 hizo ndo team kubwa
 
Huyu si ndiyo yule meneja uchwara wa baadhi ya wachezaji wa ligi kuu aliyepigwa picha akiwa amevaa kanzu chafu na yeboyebo zilizochakaa.

Ana chuki tu binafsi na Yanga.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sikuwahi waza wee ni mpoleeee, nikajua una heka heka, kumbee walaaaa, ukiguswaa unakua mpoleeeeeh.

Weraaaaaaaah, vipi matombo huendi kusaidia kutengeneza juice ya miwa.??

Byuti byuti
 
We subiri habari zotoke unakotaka, ila wenzako wapo away forward kuwa mechi itakuwa ni kati yenu na Red Allows. Ni kama ambavyo mliambiwa kuwa pre-season ya turkey imekufa mkabisha ila sasa mmeamini.



CONFIRMED.

Sent using Jamii Forums mobile app
Na pia kama tulivyoambiwa kuwa Aziz K ni kampeni tu za kisiasa ila hatokuja kuchezea Uto
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sikuwahi waza wee ni mpoleeee, nikajua una heka heka, kumbee walaaaa, ukiguswaa unakua mpoleeeeeh.

Weraaaaaaaah, vipi matombo huendi kusaidia kutengeneza juice ya miwa.??

Byuti byuti
Nyinyi nendeni mkashangae mapiramidi! Mkirudi tu, tunawapelekea pumzi ya moto kama kawaida. Hakuna tena sare msimu ujao.
 
Hakuna timu yoyote kubw utacheza nayo friend match kama uja omba zaid ya miez sita mbaka mwaka.
Simba wameenda Misri lakini
nina uhakika hakuna timu yoyote kubwa wataweza kucheza nayo, labda timu za under 20 zilizo changanyika na wachezaji wa sinior timu waliokua majeruhi.
Yanga ata wakicheza na Mtibwa, kinachotafutwa ni game fitness si matokeo.

Punguza dharau. Kuchukua ubingwa msimu huu kusikufanye uione Simba ya kawaida.
 
Back
Top Bottom