[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] na nyie huko matombooo mnashangaa milima ya Uluguru? Msimu huu mtaeleza vizuri,.Nyinyi nendeni mkashangae mapiramidi! Mkirudi tu, tunawapelekea pumzi ya moto kama kawaida. Hakuna tena sare msimu ujao.
Namaanisha hawajavunja mkataba wa mchezaji kutoka kwenye klabu husika? Naona ushapata kauchochoro la kuhemea
jamaa kwani kaja na mdogo wake?Huyu si ndiyo yule meneja uchwara wa baadhi ya wachezaji wa ligi kuu aliyepigwa picha akiwa amevaa kanzu chafu na yeboyebo zilizochakaa.
Ana chuki tu binafsi na Yanga.
Wewe endelea tu kufanya utani na uumbaji wa Mungu!jamaa kwani kaja na mdogo wake?
View attachment 2294113
Unaposema wamesajiliwa bure una maana gani?Namaanisha hawajavunja mkataba wa mchezaji kutoka kwenye klabu husika? Naona ushapata kauchochoro la kuhemea
Mchezaji ghali kwasababu mmepigwa?
Umeuziwa infinix hot 5 kwa bei ya iphone 12 halafu unatamba kuwa umenunua simu yenye bei ghali?
AU MWENYE KILO 800 KAMA MWAKALEBELA AU ANAYEONGELEA PUANI KAMA AHMED ALLYWewe endelea tu kufanya utani na uumbaji wa Mungu!
Kuna siku utashangaa unampata mtoto Albino, kama Haji Manara, na mwenye muonekano kama huyu.
Ni kwa bei ya kuokota