Yanga FC yaingia mkataba mpya na SportsPesa wa miaka 3 wenye thamani ya Tsh Bilioni 12

Sasa kwa akili ndogo uliyonayo, kwa nini unadhani mdhamini hastahili kuweka fedha ndefu kuliko mwekezaji? Unadhani kwa nini Simba walikataa udhamini wa GSM kwenye ligi ya Bara pale alipoweka sh. 2B (bilioni mbili tu) kwa timu 16?
kwani mdhamini sportpesa amedhamini ligi??? mo mwekezaji hizo bil 20 anawekeza kila mwaka au ndo kashanunua timu??? mbet wameweka sh ngapi??? mbona mkataba haujasema au ndo akijua MO inatosha
 
Wapi Manara hapo au keishapew barua? Ahahahahah!
 
Tofauti ya Bilioni 4 kwa mwaka na Billion 1.5 kwa michezo ya loosser tu...akitolewa ndo mwisho wa mfereji...
Apo mmechemka
 
Mmhh mbona hakukuwa na bonus za mashundano ya kimataifa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…