3ZOV
JF-Expert Member
- Dec 28, 2020
- 6,259
- 7,015
Bil 15Makolo kwa m bet ni bil ngapi?
Kila mwaka tunachukua bil 3
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bil 15Makolo kwa m bet ni bil ngapi?
Acha propaganda za kishamba.Kifupi s pesa alishafilisika nakumbuka mpaka wingereza walimvunjia mkataba ssimba ikamvunjia leo atoe wapi hiyo ela ila sishangai maana mwanahisa ni ni mwanasiasa tena nni kiongozi wa yanga mbona hajatoa bonas ya clabu bingwa
Babra hawez kuhangaika na vitu vidogo namna hiyoBarbara atakua anapumulia mashine kama habari hizi ni za kweli
Makolo wamejizimisha data hao kaka😀😀😀😀mdhamini anaweka hela achana na mudi mkuu
Hii Sasa Sifa mkataba wa bilion nne na ushee Kwa mwaka!! Nyie Sport pesa mnawafanya Yanga waende kuchukua vikombe vyote msimu ujao. Ina maana ni mara tatu ya mkataba walio ingia Simba.
Kama Yanga watafanikiwa kupata udhami kwenye kampuni nyingine na jumla ya udhamini wao ukafika bilioni nane basi hakuna Sababu yoyote ya kufanya timu isifike robo fainali Kila msimu wa mashindano ya Caf champion league.
Siyo miaka 10, Ni jumlajumla yaani milele na milele yoooteMO ameichukua Simba kwa miaka 10 kwa bilioni 20; na hela sijui aliweka😶
yani ishu ya moo inaonesha namna gani unyonyajii unapewa supportSiyo miaka 10, Ni jumlajumla yaani milele na milele yooote
HahahahahKuna Watu Wamenunuliwa Na Kanjibai Kwa 20B Maisha Yao Yote[emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
yani daah simbam mkataba wa MO ni ndoaaa labda timu ifeee 😀 😀 😀 kasusakuwa mwenyekiti ila simba mabango watavaa maisha yao yoteHahahahah
BUHAHAHAHAHAHAH!! [emoji1787] 15B Kwa Miaka Mitano??!! [emoji1787][emoji1787][emoji1787]Subiri tarehe 01 /08/2022 ndo utajua kwamba simba ni kubwa kuliko Yanga.
Sent from my Infinix X612 using JamiiForums mobile app
Source ya huyo mtoa taarifa imefichwa[emoji23][emoji23]Siku nyingine uiheshimu sana Simba[emoji881][emoji881]
unavyo relate havina logic kabisa, bonuses hua ni added terms inaweza iwepo au isiwepo kabisa na hakuna kesiMkataba bilioni nne kwa mwaka halafu ukichukua ubingwa unapewa millioni 150 hapa labda adanganywe kichaa[emoji23][emoji23][emoji23]
Ina maana posho ya kuchukua ubingwa inaenda almost mara 26 ya mkataba wa mwaka. na wakati simba alivyokuwa bingwa alipewa milioni mia. Mkataba kitaaalamu umepanda almost mara nne ya ule wa awali na ilihali posho ya kuwa bingwa imepanda kwa asilimia 50.wewe ulisikia wapi kitu kama hichi
Ila sishangai kwa Tanzania ni kawaida maana yule waziri alisema asilimia 80 ya vijana wako na ajira[emoji23][emoji23]
Rudia kusoma huo utumbo ulioandika halafu kasome alichoandika mtoa mada.Mkataba bilioni nne kwa mwaka halafu ukichukua ubingwa unapewa millioni 150 hapa labda adanganywe kichaa[emoji23][emoji23][emoji23]
Ina maana posho ya kuchukua ubingwa inaenda almost mara 26 ya mkataba wa mwaka. na wakati simba alivyokuwa bingwa alipewa milioni mia. Mkataba kitaaalamu umepanda almost mara nne ya ule wa awali na ilihali posho ya kuwa bingwa imepanda kwa asilimia 50.wewe ulisikia wapi kitu kama hichi
Ila sishangai kwa Tanzania ni kawaida maana yule waziri alisema asilimia 80 ya vijana wako na ajira[emoji23][emoji23]
Nimesema huna akiliMatusi ya nini? Lazima unitukane? Nimecomment ili uje kunitukana?
Tujibizane kistaarabu asee
Sasa Hilo siyo tusi? Nenda kamwambie mzazi wako "huna akili" alafu ndy utajua ni Jinsi gani umemvunjia heshima na kumdhalilishaNimesema huna akili
Kuna kitu kinaitwa skills ktk mazungumzo so Yanga ana watu wake na Simba nae watu wake na hawafanani, so kiwango kinategemea una watu wa aina gani.Nafikiri unazungumzia offer ya miaka ya nyuma, sidhani kama simba wangetaa offer kama hii waliyopewa Yanga
Sasa yanga na simba nani anamashabiki wengi mitandaoni? Angalia official page za kila timu utajua wepi wanatumia smart phone na wepi sportpesa amefeli kupoteza mdau kama simba kwa ushabiki mandazi wa Abas Tarimbahaelewi kuwa wapo wataalam hapo walishapiga hesabu zao, wanajua kabisa lazima mashabiki wote wa yanga wataanza kutumia sportpesa kubet
All i know is watu wa kamali hawanaga ujinga, mahesabu yao ni mihela tuuSasa yanga na simba nani anamashabiki wengi mitandaoni? Angalia official page za kila timu utajua wepi wanatumia smart phone na wepi sportpesa amefeli kupoteza mdau kama simba kwa ushabiki mandazi wa Abas Tarimba