redio
JF-Expert Member
- Aug 27, 2016
- 5,813
- 12,921
Mimi sisubiri ninacho andika ndio uhakika na akiwezi kubadilika. Simba papara Yao na ukosefu wa bajeti ya usajili ndio ilio wasukuma kuingia makubaliano waliyo ingia.Wewe unaingiza ushabiki..Mimi nimekuambia ukweli,tarehe moja si wiki ijayo ? Tusubiri
Uongozi wa Simba hauta amini Yanga wanacho kwenda Kuvuna.