Interlacustrine R
JF-Expert Member
- Jan 22, 2022
- 7,186
- 14,274
Tulia dawa ikuingie we shabiki chapatinan kakudanganya kwamba kubet kuna involve ushabiki maandazi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tulia dawa ikuingie we shabiki chapatinan kakudanganya kwamba kubet kuna involve ushabiki maandazi?
Sasa wewe unaumia nini akidhaminiwa Bingwa wako wa makombe ma3 2022/2022 ikiwa wewe ni MAKOLO [emoji848][emoji13]kenya walikimbizwa na sheria na sio kushuka kimapato. betting company ikiwa na option nzuri pamoja na bonus watu wataikimbilia tu bila kujali inadhamini utopolo
Hqhahhahhhahah, unaichangia timu ya WananchiDah hii yote ni pesa yetu tuliyopigwa hii wazee wa kubet 😡
Kuna Watu Wamenunuliwa Na Kanjibai Kwa 20B Maisha Yao Yote[emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Yanga leo inakwenda kuweka historia nyingene, Futilia live hapa
Ni mKataba wenye thamani ya tshs bilioni 12 na Milioni 300 kwa miaka 3, Kila Mwaka Yanga itakuwa inapata bilioni nne, pia yanga akichukuwa ligi milioni 150, na ikifika Fainali FA itapata Tshs Milioni 75.
---
Mabingwa wa kihistoria na mabingwa watetezi wa Ligi Kuu Tanzania Bara Dar Young Africans (Yanga) leo wamesaini mkataba mpya wa udhamini na kampuni ya michezo ya kubashiri ya Sport Pesa mkataba ambao unaweza kuwa wenye thamani zaidi kwa timu za Ligi Kuu nchini Tanzania.
Mkataba huo wenye thamani ya Shilingi Bilioni 12.335 wa miaka mitatu unaifanya SportPesa kuwa mdhamini mkuu wa Yanga kuanzia msimu mpya unaoanza wa Ligi.
Katika mkataba mpya kwa Mwaka Yanga watachota zaidi ya Shilingi Bilioni 4 tofauti na mkataba uliopita ambapo Yanga walikuwa wanapata Bilioni 1 pekee kwa Mwaka, hii ina maana hili ni ongezeko la zaidi ya Bilioni 3 kwa mwaka.
Maboresho mengine katika mkataba huo ni kuwa "Bonus" ya Ubingwa wa Ligi Kuu imeongezeka kutoka Milioni 100 hadi 150.
Huku Bonus ya kombe la FA ambayo haikuwepo hapo awai ikiongezwa ambapo Yanga watapata Milioni 75 kwa kufika hatua ya Fainali.
Dahh....hizi buku buku za betting kweli zina nguvu.oh jamaa wanapiga hela nyingi tuuna hizi buku buku zetu 🤣 🤣 🤣
Ni wivu au ni unashida nyingine?Hahhahaha eti bilioni 4? Basi sportpesa wanashida sana timu inayotokea preliminary stage CAF unaweka pesa yote hio? Mkurugenzi mtendaji wao sportpesa ndio atakua anguko lao
Siku nyingine uiheshimu sana Simba🦁🦁Yanga leo inakwenda kuweka historia nyingene, Futilia live hapa
Ni mKataba wenye thamani ya tshs bilioni 12 na Milioni 300 kwa miaka 3, Kila Mwaka Yanga itakuwa inapata bilioni nne, pia yanga akichukuwa ligi milioni 150, na ikifika Fainali FA itapata Tshs Milioni 75.
---
Mabingwa wa kihistoria na mabingwa watetezi wa Ligi Kuu Tanzania Bara Dar Young Africans (Yanga) leo wamesaini mkataba mpya wa udhamini na kampuni ya michezo ya kubashiri ya Sport Pesa mkataba ambao unaweza kuwa wenye thamani zaidi kwa timu za Ligi Kuu nchini Tanzania.
Mkataba huo wenye thamani ya Shilingi Bilioni 12.335 wa miaka mitatu unaifanya SportPesa kuwa mdhamini mkuu wa Yanga kuanzia msimu mpya unaoanza wa Ligi.
Katika mkataba mpya kwa Mwaka Yanga watachota zaidi ya Shilingi Bilioni 4 tofauti na mkataba uliopita ambapo Yanga walikuwa wanapata Bilioni 1 pekee kwa Mwaka, hii ina maana hili ni ongezeko la zaidi ya Bilioni 3 kwa mwaka.
Maboresho mengine katika mkataba huo ni kuwa "Bonus" ya Ubingwa wa Ligi Kuu imeongezeka kutoka Milioni 100 hadi 150.
Huku Bonus ya kombe la FA ambayo haikuwepo hapo awai ikiongezwa ambapo Yanga watapata Milioni 75 kwa kufika hatua ya Fainali.
Haufahamu marketing strategieskenya walikimbizwa na sheria na sio kushuka kimapato. betting company ikiwa na option nzuri pamoja na bonus watu wataikimbilia tu bila kujali inadhamini utopolo
[emoji23][emoji23]Siku nyingine uiheshimu sana Simba[emoji881][emoji881]
Hatuwezi fanya kazi na kampuni mda wote vikao vya kupunguziana bei, waendelee na Yanga wenzaoSimba kajitoa sportpesa kaenda m bet atavuna bilioni 3 kwa mwezi kwa miaka mitano...heri kwao.
Yanga hajaachana na sportpesa anakwenda kuvuna bilioni 4 kwa mwezi kwa miaka 3....heri kwetu.
Patamu hapo
Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile app
Wote Yanga hao watajuana wenyeweYanga leo inakwenda kuweka historia nyingene, Futilia live hapa
Ni mKataba wenye thamani ya tshs bilioni 12 na Milioni 300 kwa miaka 3, Kila Mwaka Yanga itakuwa inapata bilioni nne, pia yanga akichukuwa ligi milioni 150, na ikifika Fainali FA itapata Tshs Milioni 75.
---
Mabingwa wa kihistoria na mabingwa watetezi wa Ligi Kuu Tanzania Bara Dar Young Africans (Yanga) leo wamesaini mkataba mpya wa udhamini na kampuni ya michezo ya kubashiri ya Sport Pesa mkataba ambao unaweza kuwa wenye thamani zaidi kwa timu za Ligi Kuu nchini Tanzania.
Mkataba huo wenye thamani ya Shilingi Bilioni 12.335 wa miaka mitatu unaifanya SportPesa kuwa mdhamini mkuu wa Yanga kuanzia msimu mpya unaoanza wa Ligi.
Katika mkataba mpya kwa Mwaka Yanga watachota zaidi ya Shilingi Bilioni 4 tofauti na mkataba uliopita ambapo Yanga walikuwa wanapata Bilioni 1 pekee kwa Mwaka, hii ina maana hili ni ongezeko la zaidi ya Bilioni 3 kwa mwaka.
Maboresho mengine katika mkataba huo ni kuwa "Bonus" ya Ubingwa wa Ligi Kuu imeongezeka kutoka Milioni 100 hadi 150.
Huku Bonus ya kombe la FA ambayo haikuwepo hapo awai ikiongezwa ambapo Yanga watapata Milioni 75 kwa kufika hatua ya Fainali.
Bilioni 3 kwa mwezi sijaelewa hapoSimba kajitoa sportpesa kaenda m bet atavuna bilioni 3 kwa mwezi kwa miaka mitano...heri kwao.
Yanga hajaachana na sportpesa anakwenda kuvuna bilioni 4 kwa mwezi kwa miaka 3....heri kwetu.
Patamu hapo
Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile app
Simba amesaini mkataba wa miaka mitano wenye thamani ya bilioni 31..Subiri tarehe moja tupate taarifa rasmiSimba kajitoa sportpesa kaenda m bet atavuna bilioni 3 kwa mwezi kwa miaka mitano...heri kwao.
Yanga hajaachana na sportpesa anakwenda kuvuna bilioni 4 kwa mwezi kwa miaka 3....heri kwetu.
Patamu hapo
Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile app
Simba wamesain miaka mitano Kwa bil 12.5, Kwa mwaka Simba watalamba 2.5 bilion.Simba amesaini mkataba wa miaka mitano wenye thamani ya bilioni 31..Subiri tarehe moja tupate taarifa rasmi
Wewe Acha Kupotosha Makolo Wenzio [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23], Mkataba Wenu Ni 15B Kwa Miaka Mitano...Kama Unabisha Subiri Iyo Tarehe Unayosemea Utaona.Simba amesaini mkataba wa miaka mitano wenye thamani ya bilioni 31..Subiri tarehe moja tupate taarifa rasmi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Kolo Hujui Za Ndaaani Kuhusu Timu Lenu, Kimkataba Chenu Ni 15B Kwa Miaka Mitano [emoji1787][emoji1787]...Kama Unabisha Subiri Utaona.Siku nyingine uiheshimu sana Simba[emoji881][emoji881]