Yanga FC yaingia mkataba mpya na SportsPesa wa miaka 3 wenye thamani ya Tsh Bilioni 12

Yanga FC yaingia mkataba mpya na SportsPesa wa miaka 3 wenye thamani ya Tsh Bilioni 12

kenya walikimbizwa na sheria na sio kushuka kimapato. betting company ikiwa na option nzuri pamoja na bonus watu wataikimbilia tu bila kujali inadhamini utopolo
Sasa wewe unaumia nini akidhaminiwa Bingwa wako wa makombe ma3 2022/2022 ikiwa wewe ni MAKOLO [emoji848][emoji13]
 
Yanga leo inakwenda kuweka historia nyingene, Futilia live hapa

Ni mKataba wenye thamani ya tshs bilioni 12 na Milioni 300 kwa miaka 3, Kila Mwaka Yanga itakuwa inapata bilioni nne, pia yanga akichukuwa ligi milioni 150, na ikifika Fainali FA itapata Tshs Milioni 75.

---
Mabingwa wa kihistoria na mabingwa watetezi wa Ligi Kuu Tanzania Bara Dar Young Africans (Yanga) leo wamesaini mkataba mpya wa udhamini na kampuni ya michezo ya kubashiri ya Sport Pesa mkataba ambao unaweza kuwa wenye thamani zaidi kwa timu za Ligi Kuu nchini Tanzania.

Mkataba huo wenye thamani ya Shilingi Bilioni 12.335 wa miaka mitatu unaifanya SportPesa kuwa mdhamini mkuu wa Yanga kuanzia msimu mpya unaoanza wa Ligi.

Katika mkataba mpya kwa Mwaka Yanga watachota zaidi ya Shilingi Bilioni 4 tofauti na mkataba uliopita ambapo Yanga walikuwa wanapata Bilioni 1 pekee kwa Mwaka, hii ina maana hili ni ongezeko la zaidi ya Bilioni 3 kwa mwaka.

Maboresho mengine katika mkataba huo ni kuwa "Bonus" ya Ubingwa wa Ligi Kuu imeongezeka kutoka Milioni 100 hadi 150.

Huku Bonus ya kombe la FA ambayo haikuwepo hapo awai ikiongezwa ambapo Yanga watapata Milioni 75 kwa kufika hatua ya Fainali.
Kuna Watu Wamenunuliwa Na Kanjibai Kwa 20B Maisha Yao Yote[emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Yanga leo inakwenda kuweka historia nyingene, Futilia live hapa

Ni mKataba wenye thamani ya tshs bilioni 12 na Milioni 300 kwa miaka 3, Kila Mwaka Yanga itakuwa inapata bilioni nne, pia yanga akichukuwa ligi milioni 150, na ikifika Fainali FA itapata Tshs Milioni 75.

---

Mabingwa wa kihistoria na mabingwa watetezi wa Ligi Kuu Tanzania Bara Dar Young Africans (Yanga) leo wamesaini mkataba mpya wa udhamini na kampuni ya michezo ya kubashiri ya Sport Pesa mkataba ambao unaweza kuwa wenye thamani zaidi kwa timu za Ligi Kuu nchini Tanzania.

Mkataba huo wenye thamani ya Shilingi Bilioni 12.335 wa miaka mitatu unaifanya SportPesa kuwa mdhamini mkuu wa Yanga kuanzia msimu mpya unaoanza wa Ligi.

Katika mkataba mpya kwa Mwaka Yanga watachota zaidi ya Shilingi Bilioni 4 tofauti na mkataba uliopita ambapo Yanga walikuwa wanapata Bilioni 1 pekee kwa Mwaka, hii ina maana hili ni ongezeko la zaidi ya Bilioni 3 kwa mwaka.

Maboresho mengine katika mkataba huo ni kuwa "Bonus" ya Ubingwa wa Ligi Kuu imeongezeka kutoka Milioni 100 hadi 150.

Huku Bonus ya kombe la FA ambayo haikuwepo hapo awai ikiongezwa ambapo Yanga watapata Milioni 75 kwa kufika hatua ya Fainali.
Siku nyingine uiheshimu sana Simba🦁🦁
 

Attachments

  • Screenshot_20220727-130136_WhatsApp.jpg
    Screenshot_20220727-130136_WhatsApp.jpg
    96.3 KB · Views: 6
Simba kajitoa sportpesa kaenda m bet atavuna bilioni 3 kwa mwezi kwa miaka mitano...heri kwao.

Yanga hajaachana na sportpesa anakwenda kuvuna bilioni 4 kwa mwezi kwa miaka 3....heri kwetu.

Patamu hapo

Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile app
 
Simba kajitoa sportpesa kaenda m bet atavuna bilioni 3 kwa mwezi kwa miaka mitano...heri kwao.

Yanga hajaachana na sportpesa anakwenda kuvuna bilioni 4 kwa mwezi kwa miaka 3....heri kwetu.

Patamu hapo

Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile app
Hatuwezi fanya kazi na kampuni mda wote vikao vya kupunguziana bei, waendelee na Yanga wenzao
 
Yanga leo inakwenda kuweka historia nyingene, Futilia live hapa

Ni mKataba wenye thamani ya tshs bilioni 12 na Milioni 300 kwa miaka 3, Kila Mwaka Yanga itakuwa inapata bilioni nne, pia yanga akichukuwa ligi milioni 150, na ikifika Fainali FA itapata Tshs Milioni 75.

---

Mabingwa wa kihistoria na mabingwa watetezi wa Ligi Kuu Tanzania Bara Dar Young Africans (Yanga) leo wamesaini mkataba mpya wa udhamini na kampuni ya michezo ya kubashiri ya Sport Pesa mkataba ambao unaweza kuwa wenye thamani zaidi kwa timu za Ligi Kuu nchini Tanzania.

Mkataba huo wenye thamani ya Shilingi Bilioni 12.335 wa miaka mitatu unaifanya SportPesa kuwa mdhamini mkuu wa Yanga kuanzia msimu mpya unaoanza wa Ligi.

Katika mkataba mpya kwa Mwaka Yanga watachota zaidi ya Shilingi Bilioni 4 tofauti na mkataba uliopita ambapo Yanga walikuwa wanapata Bilioni 1 pekee kwa Mwaka, hii ina maana hili ni ongezeko la zaidi ya Bilioni 3 kwa mwaka.

Maboresho mengine katika mkataba huo ni kuwa "Bonus" ya Ubingwa wa Ligi Kuu imeongezeka kutoka Milioni 100 hadi 150.

Huku Bonus ya kombe la FA ambayo haikuwepo hapo awai ikiongezwa ambapo Yanga watapata Milioni 75 kwa kufika hatua ya Fainali.
Wote Yanga hao watajuana wenyewe
 
Simba kajitoa sportpesa kaenda m bet atavuna bilioni 3 kwa mwezi kwa miaka mitano...heri kwao.

Yanga hajaachana na sportpesa anakwenda kuvuna bilioni 4 kwa mwezi kwa miaka 3....heri kwetu.

Patamu hapo

Sent from my SM-A205F using JamiiForums mobile app
Simba amesaini mkataba wa miaka mitano wenye thamani ya bilioni 31..Subiri tarehe moja tupate taarifa rasmi
 
Simba amesaini mkataba wa miaka mitano wenye thamani ya bilioni 31..Subiri tarehe moja tupate taarifa rasmi
Wewe Acha Kupotosha Makolo Wenzio [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23], Mkataba Wenu Ni 15B Kwa Miaka Mitano...Kama Unabisha Subiri Iyo Tarehe Unayosemea Utaona.
 
Siku nyingine uiheshimu sana Simba[emoji881][emoji881]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Kolo Hujui Za Ndaaani Kuhusu Timu Lenu, Kimkataba Chenu Ni 15B Kwa Miaka Mitano [emoji1787][emoji1787]...Kama Unabisha Subiri Utaona.
 
Back
Top Bottom