haelewi kuwa wapo wataalam hapo walishapiga hesabu zao, wanajua kabisa lazima mashabiki wote wa yanga wataanza kutumia sportpesa kubetKameze wembe maana kujinyonga utachelewa kufa kwa wivu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
haelewi kuwa wapo wataalam hapo walishapiga hesabu zao, wanajua kabisa lazima mashabiki wote wa yanga wataanza kutumia sportpesa kubetKameze wembe maana kujinyonga utachelewa kufa kwa wivu
Mkataba waliosaini ulishavuja ni b.3 kwa mwaka, Ina maana ni b.15 kwa miaka 5,makolo wamepewa 3b na m-bet, kwa kuona aibu wanaweza foji number ili waonekane wamepata zaidi.
nan kakudanganya kwamba kubet kuna involve ushabiki maandazi?haelewi kuwa wapo wataalam hapo walishapiga hesabu zao, wanajua kabisa lazima mashabiki wote wa yanga wataanza kutumia sportpesa kubet
Hii yanga inavyoenda itakuwa kama real madrid aisehBilioni 4 kwa mwaka.
Bilioni 12 kwa miaka 3.
Hakuna klabu yeyote afrika mashariki "na kati" iliyowahi kusaini mkataba wenye thamani hii.
View attachment 2305617
Miaka 5 iliyopita kwenye udhamini wa Sportspesa Yanga walipokea 5B na chenji, huu udhamini mpya Yanga watapokea 12B na chenji kwa miaka 3. Tafsiri ya timu KUBWA. [emoji169][emoji172]
Dah hii yote ni pesa yetu tuliyopigwa hii wazee wa kubet 😡Mabingwa wa kihistoria na mabingwa watetezi wa Ligi Kuu Tanzania Bara Dar Young Africans (Yanga) leo wamesaini mkataba mpya wa udhamin...
Tusubirie wakiongeza 0 kadhaa sasaHawakutaja kiasi, labda walikuwa wanasubiri kuona mtani atapata kiasi gani
wewe acha ujinga waulize kilichowatokea sportpesa wenyewe huko kenya walivyojidai kutokudhamini gor mahia na afc leopards. revenue ilishuka.nan kakudanganya kwamba kubet kuna involve ushabiki maandazi?
kenya walikimbizwa na sheria na sio kushuka kimapato. betting company ikiwa na option nzuri pamoja na bonus watu wataikimbilia tu bila kujali inadhamini utopolowewe acha ujinga waulize kilichowatokea sportpesa wenyewe huko kenya walivyojidai kutokudhamini gor mahia na afc leopards. revenue ilishuka.
Ukiwa na akili utaelewa kama SIMBA ameachana na SPORT PESA ina maana kapata dili kubwa kuliko hili la kwenuHawakutaja kiasi, labda walikuwa wanasubiri kuona mtani atapata kiasi gani
ni kweli bt hawataitangaza hiyoMkataba waliosaini ulishavuja ni b.3 kwa mwaka, Ina maana ni b.15 kwa miaka 5,
wewew tulizana usiwe na roho mbaya, wenzio hiyo hela wanarudisha bila wasiwasi. sio wajinga walekenya walikimbizwa na sheria na sio kushuka kimapato. betting company ikiwa na option nzuri pamoja na bonus watu wataikimbilia tu bila kujali inadhamini utopolo
buku buku tuu wazee wanapiga mabillion ya pesaDah hii yote ni pesa yetu tuliyopigwa hii wazee wa kubet 😡
Ni kweli ndiyomaana hata yule Jamaa alijikopa B 2 toka mfuko wa kulia na kuweka mfuko wa kushoto kimagumashi wala si kiuhalisia [emoji16]mabilion hewa hayo.
but nahisi na utakatishaji wa fedha haramu unaweza jificha humo. timu 0.5 ndo uwadhamini kwa hela yote hiyo?????????????wewew tulizana usiwe na roho mbaya, wenzio hiyo hela wanarudisha bila wasiwasi. sio wajinga wale
Akili za Makolo bhanamabilion hewa hayo.