Yanga FC yaingia mkataba mpya na SportsPesa wa miaka 3 wenye thamani ya Tsh Bilioni 12

Yanga FC yaingia mkataba mpya na SportsPesa wa miaka 3 wenye thamani ya Tsh Bilioni 12

Hii Sasa Sifa mkataba wa bilion nne na ushee Kwa mwaka!! Nyie Sport pesa mnawafanya Yanga waende kuchukua vikombe vyote msimu ujao. Ina maana ni mara tatu ya mkataba walio ingia Simba.

Kama Yanga watafanikiwa kupata udhami kwenye kampuni nyingine na jumla ya udhamini wao ukafika bilioni nane basi hakuna Sababu yoyote ya kufanya timu isifike robo fainali Kila msimu wa mashindano ya Caf champion league.
Wewe Simba kaingia mkataba wa Billion 15 kwa miaka 3 na MBet, sasa unasemaje mara tatu?? Simba wako juu.
In Karia voice
 
Utopolo mkataba walioingia Simba SC na M- bet bado hamjaijua thamani yake lakini mmeshaanza kutupigia makelele yenu tuliyoyazoea.

Siku Simba SC wakitangaza thamani ya mkataba wao sijui mtajificha wapi...

Hivi kwa akili zenu [kama kweli mnazo, maana sijui kama manyani wanazo!], Simba SC hawajui calculation waone kikubwa kiko wapi mpaka wakaitosa Sportpesa?

Ila nyie manyani mnaniangusha sana!.

Na mshukuru hicho mlichopata, kama sio Simba SC kuzikataa zile chenchi za Sportpesa ndio zikakusanywa mkapewa nyie sasa hivi mngekuwa mnahesabu mia mia tu..
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Kolo Hujui Za Ndaaani Kuhusu Timu Lenu, Kimkataba Chenu Ni 15B Kwa Miaka Mitano [emoji1787][emoji1787]...Kama Unabisha Subiri Utaona.
Kaa kwa kusubiri siku hazigandi, Mo hajawahi kuwa mjinga kiasi hicho
 
MO ameichukua Simba kwa miaka 10 kwa bilioni 20; na hela sijui aliweka😶
 
Kifupi s pesa alishafilisika nakumbuka mpaka wingereza walimvunjia mkataba ssimba ikamvunjia leo atoe wapi hiyo ela ila sishangai maana mwanahisa ni ni mwanasiasa tena nni kiongozi wa yanga mbona hajatoa bonas ya clabu bingwa
 
Utopolo mkataba walioingia Simba SC na M- bet bado hamjaijua thamani yake lakini mmeshaanza kutupigia makelele yenu tuliyoyazoea.

Siku Simba SC wakitangaza thamani ya mkataba wao sijui mtajificha wapi...

Hivi kwa akili zenu [kama mnazo maana sijui kama manyani wanazo!], Simba SC hawajui calculation waone kikubwa kiko wapi mpaka wakaitosa Sprtpesa?

Ila nyie manyani mnaniangusha sana!.

Na mshukuru hicho mlichopata, kama sio Simba SC kuzikataa zile chenchi za Sportpesa ndio zikakusanywa mkapewa nyie sasa hivi mngekuwa mnahesabu mia mia tu..
Wewe Kolo Kimkataba Chenu Ni 15B Kwa Miaka Mitano...Mnataka Kutuambia Nn Nyie [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Bilioni 4 kwa mwaka ukiiweka naa ile ya Azam zaidi ya Bilioni 3 kwa mwaka inakuwa 7b na ushehee, hapo bado udhamini mwingine wa GSM yanga inaenda kuwa timu yenye mkwanja mrefu zaidi ya timu zote EA
 
Simba ata wakificha au kudanganya ni kazi Bure, hakuna Siri ambayo menegment ya M-bet itahusika na mtu mmoja, Siri itavuja tu. Kazi itakua kuwafafanulia mapato na Matumizi Wanachama wa Simba kwenye mkitano mkuu.
 
Ukiwa na akili utaelewa kama SIMBA ameachana na SPORT PESA ina maana kapata dili kubwa kuliko hili la kwenu
Nikusahihishe, Kwa uhakika lazima kapata dili kubwa kuliko lile la awali, ila huwezi sema kapata zaidi ya hili la Yanga maana hulijui bado la Simbwa
 
Simba amesaini mkataba wa miaka mitano wenye thamani ya bilioni 31..Subiri tarehe moja tupate taarifa rasmi
Una akili kichwani wewe mbugila?? Unaijua bil 31 kwa miaka mitano??
Mbona mkataba wa Simba washasema tayari ni Bil 15 kwa miaka mi5?? Wewe hiyo Bil 31 umeitolea wapi??

Huna akili.
 
Makolo waliuza nusu ya Timu yote kwa Billion 20 za mchongo, kwakweli bwana yule anajua kuwala wajinga 🤣🤣🤣
 
Ukisoma comment za Uto utaamini yale maneno ya Uto wanashindana na Simba,ila Simba inapambania malengo yake[emoji123][emoji123]
 
Back
Top Bottom