Venus Star
JF-Expert Member
- Dec 6, 2018
- 26,519
- 78,311
Wanayanga wanajitapa kuchukua ubingwa mara 27 huku wakituchomekea miaka 1985 1989,1992,1993 na 1998. Miaka hiyo timu zilichochukua ubingwa eidha zikekufa au hazina nguvu tena.
Kwa uhalisia yanga yupo na ubingwa mara 22 sawa na simba(ubingwa wa ligi kuu)
Yanga kwa sasa hawana kichaka cha kujificha.
Kwa uhalisia yanga yupo na ubingwa mara 22 sawa na simba(ubingwa wa ligi kuu)
Yanga kwa sasa hawana kichaka cha kujificha.