Interlacustrine E
JF-Expert Member
- Jun 3, 2020
- 3,397
- 6,015
Makolo ndiyo hudanganyika kirahisi hadi Aden Rage aliyaita mbumbumbu.Rahisi sana kuiongoza utopolo maana mashabiki yake yanadanganyika kirahisi.
Kwanza usichsnganye kati ya ligi kuu bara na ligi ya muungano. Hapo huyo Kmkm anaingia kwenye ligi ya muungano na sio ligi kuu ya Tanzania. Na Yanga wanasema ni bingwa wa ligi kuu mara 27 na sio ligi kuu na muungano.Sitaki kukutafunilia kila kitu. Unaweza kupitia hapa:-
Tanzanian Premier League
Tanzanian Premier League is the top division of the Football Association of Tanzania, it was created in 1965. The competition was simply known as national league and later First Division Soccer League until the name Premier league was adopted in 1997. Today the league consists of 12 teams...football.fandom.com
Mzee nenda kachimbe. Nilichokiandika ni ukweli mtupu.Utopolo huwa ni kiwanda cha uongo,ngoja nikachimbe zaidi
Shabiki maandazi ni hivi kipindi timu lenu linashiriki kimataifa nyinyi mashabiki wa utopolo mlikuwa mnafurahia tu timu yenu kupanda ndege mpaka akina Gormahia aliwapiga 4G.Makolo ndiyo hudanganyika kirahisi hadi Aden Rage aliyaita mbumbumbu.
Usisahau mliaminishwa na Manara kuwa ninyi ni kiwango cha Barca hatimaye mlipigwa hamsa hamsa hadi mliufyata.
Kwanza umeshapata funzo kuhusu ligi ya muungano? Ukipata elimu ya ligi ya muungano itakupa mwanga sana kujua Yanga ni mabingwa mara 27 kwenye ligi ipi. Maana unachanganya kati ya bingwa wa ligi kuu ya Tanzania na ligi ya MuunganoMzee nenda kachimbe. Nilichokiandika ni ukweli mtupu.
Pia unasema pitia historia ya ligi kuuMzee nenda kachimbe. Nilichokiandika ni ukweli mtupu.
Mzee wewe huwezi kuniambia kitu chochote. Yanga wenyewe wameweka 22. Wewe tembelea website yao. Title wameandika 27 lakini details 22.Kwanza umeshapata funzo kuhusu ligi ya muungano? Ukipata elimu ya muungano itakupa mwanga sana kujua Yanga ni mabingwa mara 27 kwenye ligi ipi. Maana unachanganya kati ya bingwa wa ligi kuu ya Tanzania na ligi ya Muungano
Mzee hivi unataka kunifundisha kitu ninachokijua!? Nimeitaja hiyo miaka kwa sababu kuna mtu anapotosha. Niambie hiyo miaka Yanga alishinda mashindano yapi. Hapazee tunaongelea premier league. Yaani the top league mzee.Pia unasema pitia historia ya ligi kuu
HISTORIA YA LIGI KUU~TANZANIA BARA. | TanzaniaTalk
LIGI Kuu Tanzania Bara inaendelea kutimua vumbi katika harakati za kutafuta bingwa katika mwaka wake wa 49 tangu harakati za kutafuta klabutanzaniatalk.boards.net
Mzee unajua maana ya Premier League!?Kwanza usichsnganye kati ya ligi kuu bara na ligi ya muungano. Hapo huyo Kmkm anaingia kwenye ligi ya muungano na sio ligi kuu ya Tanzania. Na Yanga wanasema ni bingwa wa ligi kuu mara 27 na sio ligi kuu na muungano.
Jielimishe kwanza ujue ligi ya muungano ilikuwaje. Kumbe unaokota okota vitu bila kutumia akili zako
MIAKA 21 YA LIGI YA MUUNGANO. MIAKA 15 BILA LIGI YA MUUNGANO
NA PASCAL KABOMBE Ligi ya Muungano ilianza rasmi mwaka 1982 lengo ni kudumisha Muungano wetu na kutoa usawa wa kiuwakilishi katika mich...saidallymwandike.blogspot.com
Je hapo kwenye title wameandika washindi mara 22? Cha kwanza jifunze kutafuta ukweli badala ya kukaza shingo kubishana. Mwaka 1998 ulioweka wewe kuwa Yanga hakuchukua ubingwa sio hata muda mrefu sana kiasi kwamba ukashindwa kupata record zake ni nani aliyekuwa bingwa. Tusiende mbali mkuu tuanzie mwaka 1998 ambao ukiangalia hapo kwenye attachment yako ni kwamba Yanga hawakuweka. Naomba nijie na jibu ni nani alikuwa bingwa wa ligi kuu Tanzania bara. Sio nani alikuwa bingwa wa ligi ya muungano, hapana nataka katafute kwenye kila aina ya source unayojua wewe halafu unaniambie bingwa wa Tanzania bara mwaka 1998 alikuwa ni nani.Mzee wewe huwezi kuniambia kitu chochote. Yanga wenyewe wameweka 22. Wewe tembelea website yao. Title wameandika 27 lakini details 22.
View attachment 2082715
Mzee sitaki niende mbali wapi yanga wametaja walikuwa bingwa mwaka 1998!? Nimekupatia source kutoka website ya yanga mbona hutaki kujishughulisha!? Ingia kwenye website ya yanga wameweka makombe yao yote.Je hapo kwenye title wameandika washindi mara 22? Cha kwanza jifunze kutafuta ukweli badala ya kukaza shingo kubishana. Mwaka 1998 ulioweka wewe kuwa Yanga hakuchukua ubingwa sio hata muda mrefu sana kiasi kwamba ukashindwa kupata record zake ni nani aliyekuwa bingwa. Tusiende mbali mkuu tuanzie mwaka 1998 ambao ukiangalia hapo kwenye attachment yako ni kwamba Yanga hawakuweka. Naomba nijie na jibu ni nani alikuwa bingwa wa ligi kuu Tanzania bara. Sio nani alikuwa bingwa wa ligi ya muungano, hapana nataka katafute kwenye kila aina ya source unayojua wewe halafu unaniambie bingwa wa Tanzania bara mwaka 1998 alikuwa ni nani.
Twende kwa fact sasa toka kule kwenye u Facebook njoo ki jamii forum sasa. Twende kwa hoja
akikujibu naomba nistueJe hapo kwenye title wameandika washindi mara 22? Cha kwanza jifunze kutafuta ukweli badala ya kukaza shingo kubishana. Mwaka 1998 ulioweka wewe kuwa Yanga hakuchukua ubingwa sio hata muda mrefu sana kiasi kwamba ukashindwa kupata record zake ni nani aliyekuwa bingwa. Tusiende mbali mkuu tuanzie mwaka 1998 ambao ukiangalia hapo kwenye attachment yako ni kwamba Yanga hawakuweka. Naomba nijie na jibu ni nani alikuwa bingwa wa ligi kuu Tanzania bara. Sio nani alikuwa bingwa wa ligi ya muungano, hapana nataka katafute kwenye kila aina ya source unayojua wewe halafu unaniambie bingwa wa Tanzania bara mwaka 1998 alikuwa ni nani.
Twende kwa fact sasa toka kule kwenye u Facebook njoo ki jamii forum sasa. Twende kwa hoja
Mzee 1998 mshindi alikuwa Maji Maji FC toka Songea.akikujibu naomba nistue
ebwana Scars na rodrick alexander mfundisheni mwanamsimbazi mwenzenu kujifunza kujibu kwa hoja na sio kukimbia hoja. Anawaibisha hukuMzee sitaki niende mbali wapi yanga wametaja walikuwa bingwa mwaka 1998!? Nimekupatia source kutoka website ya yanga mbona hutaki kujishughulisha!? Ingia kwenye website ya yanga wameweka makombe yao yote.
View attachment 2082738
Usitafute chaka la kujificha mwanangu. Nimekuambia 1998 mshindi alikuwa Maji Maji FC toka Songea. Usinichukulie poa. Pitia threads zangu zote ni za akili.@Scars na rodrick alexander mfundisheni mwanamsimbazi mwenzenu kujifunza kujibu kwa hoja na sio kukimbia hoja. Anawaibisha huku
Maji maji alikuwa ni bingwa wa ligi la muungano. Ndio maana nakwambia unachanganya mamboMzee 1998 mshindi alikuwa Maji Maji FC toka Songea.
Mzee unajua maana ya premier league!?Maji maji alikuwa ni bingwa wa ligi la muungano. Ndio maana nakwambia unachanganya mambo