Mtu katoa maoni yake unasema Simba.Sijui ni kwanini Simba mmechanganyikiwa sana na issue za Yanga. Mmekosa utulivu kabisa
Haa, mkuu! Hehehe.Weka na ahadi yako basi iwapo itafuzu ili tuamini kama kweli wewe ni mtabiri zaidi ya Mzee Yahya. Sema kama uko tayari kuvishwa shanga kiunoni iwapo tu itafuzu, ili nichukue hilo jukumu.
Uyo mazembe unayesema ni mbovu hao Mc alger walimfunga goli ngapi kwao? Wamemfunga kwa mbinde kwa goli la penalty ya mchongo toka kwa mwamuzi Tena wakiwa kwao Algeria vinginevyo wasingetoka kwa mazembe,,alafu unaposema Al hilal walitengeneza nafasi kwani yanga wao walitengeneza nafasi ngapi za hatari? Uliangalia Mpira ama ulisimuliwa? Mihemko ya kishabiki mda mwingine ni ya ovyo sana kaangalie takwimu sio porojo zako hizoWale wanangu, ambao mnanikubali na kunifuatilia hapa JF nawapenda na kuwakubali sana, kama nyingi mnavyonipenda na kuja PM kunipongeza kwa tabiri zangu hapa JF ambazo kwa asilimia kubwa Huwa zinatiki, sio matokeo TU Bali kwenye angles mbalimbali za mpira na soka letu la hapa tz
Wanangu hii nyingine nawapa muishi nao, Yanga haiwezi toboa kwenda robo fainali sababu zinaweza kuwa ndogo ila za msingi sana ( zinahitaji akili kubwa kuzielewa )
1. Yanga kachukua points nne dhidi ya mazembe ambayo ipo dhoofu Sanaa
2. Kachukua points 3 kwa Al hilal, ila unahisi Jana Yanga alistahili kushinda??, zile chances za hatari ambazo Al hilal walitengeneza na kushinda kubadilisha kuwa mabao unahisi waarabu ( mc alger) haiwezi kuwa turning point Yao?
Tuishi humu wanangu naona kabisa Yanga hafuzu
Nb: haya ni mawazo na utabiri wangu, sio lazima ukubaliane nao, kama unabisha tuache muda uondee alafu ruksa kunikosoa ( sio ugomvi sawa??? )
Mashabiki wa simba wanaumia sana kwa hiki Yanga wanachofanya baada ya Yanga kufungwa mechi mbili za mwanzoni walijua kabisa Yanga ndo safari imeishia pale kuona Yanga leo ana-point 7 na ananafasi ya kufuzu wanaumia sanaUyo mazembe unayesema ni mbovu hao Mc alger walimfunga goli ngapi kwao? Wamemfunga kwa mbinde kwa goli la penalty ya mchongo toka kwa mwamuzi Tena wakiwa kwao Algeria vinginevyo wasingetoka kwa mazembe,,alafu unaposema Al hilal walitengeneza nafasi kwani yanga wao walitengeneza nafasi ngapi za hatari? Uliangalia Mpira ama ulisimuliwa? Mihemko ya kishabiki mda mwingine ni ya ovyo sana kaangalie takwimu sio porojo zako hizo
Ilimradi tu nae kaanzisha uzi. Anachokieleza wala hakielewiNimesikitika sana maoni haya kutolewa na dawa ya 400mg..
Yani hizo ndio sababu ulizoona zina mashiko kabisa et walitengeneza nafasi nyingi za hatari kama zipi?
Mashuti yaliyolenga lango Yanga ilipiga 5 wakati wao wakawa na 2..
Hata yale ambayo hayakulenga lango Yanga pia iliongoza sasa nambie kwa takwimu hizo ni nani aliefikiwa sana?
Haya hao Mazembe unaosema ni unga wamecheza na hao unaosema ni bora tena kwao lakini wameshinda kwa binde kwa kagoli ka penati lakini hapa kwa Mkapa Yanga alimkanda goli tatu zilizonyooka kabisa..
Jifunze mpira kolo au kama vipi endelea na kazi ya uganga wa kienyeji mbona bado kuna maboya kibao ya kuyapiga..
Watu wanaoelezea wasichokielewa tena comfortably ni wa kuwapuuza tu mkuu. Kaeleza as if mpira aliangalia peke yake then kaja kutuelezea humuUyo mazembe unayesema ni mbovu hao Mc alger walimfunga goli ngapi kwao? Wamemfunga kwa mbinde kwa goli la penalty ya mchongo toka kwa mwamuzi Tena wakiwa kwao Algeria vinginevyo wasingetoka kwa mazembe,,alafu unaposema Al hilal walitengeneza nafasi kwani yanga wao walitengeneza nafasi ngapi za hatari? Uliangalia Mpira ama ulisimuliwa? Mihemko ya kishabiki mda mwingine ni ya ovyo sana kaangalie takwimu sio porojo zako hizo
Bainisha Simba amefuzu mashindano Gani?Mtu katoa maoni yake unasema Simba.
Sasa Simba inachanganyikiwaje na ilishapita hatua inayofata kwenye mashindano inayocheza?
AiseeBainisha Simba amefuzu mashindano Gani?
Mbona kama una aibu kuyataja?
Japo ni tough sana mkuu maana ni battle ya wanaotafuta nafasiYanga anafuzu kilaini,by the way,hiyo Match imeshaisha tayari,
Ukiangalia zile timu za shirikisho ni kichekesho ndo maana yanga alifika fainal bravo na ili timu ya tunisia wote wako nafasi ya nane kwenye ligi za kwaoBainisha Simba amefuzu mashindano Gani?
Mbona kama una aibu kuyataja?
Yale mliyosheherekea mlipovaa medali mkuu.Bainisha Simba amefuzu mashindano Gani?
Mbona kama una aibu kuyataja?
Ila kuna malipo mazuri tu kila unapovuka hatua moja kwenda nyingine.Ukiangalia zile timu za shirikisho ni kichekesho ndo maana yanga alifika fainal bravo na ili timu ya tunisia wote wako nafasi ya nane kwenye ligi za kwao
Taja mashindanoYale mliyosheherekea mlipovaa medali mkuu.
Mimi sijaongea swala la malipoIla kuna malipo mazuri tu kila unapovuka hatua moja kwenda nyingine.
Pia si mdio yaleyale ambayo mliwahi kuwasha moto uwanjani mkijifukiza nyungu?Yale mliyosheherekea mlipovaa medali mkuu.
thibitisha kama mleta mada si shabiki wa SIMBA.Mtu katoa maoni yake unasema Simba.
Sasa Simba inachanganyikiwaje na ilishapita hatua inayofata kwenye mashindano inayocheza?
Shirikisho.Taja mashindano
Mbona una ibu kuyataja
Si timu lako ndo limefuzu