JAYJAY
JF-Expert Member
- Oct 31, 2008
- 8,191
- 8,490
Hiyo hela wewe unapewa shilingi ngapi!?Hela tuliovuma makundi hata mfike final huko kwenu umamani hamuipati
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiyo hela wewe unapewa shilingi ngapi!?Hela tuliovuma makundi hata mfike final huko kwenu umamani hamuipati
Sawa Mkuu furahiHiyo hela wewe unapewa shilingi ngapi!?
Yaani mlimfunga BELOUZDAD bao nne mkafika hadi fainali? Kweli wewe ni utopolo,Bado huujui Mpira wewe!
Mshindi Wa world cup Argentina na Ubora wao. Walikufa Kwa saud arabia Kwa Goli kadhaa na wakipoteza mechi lakini still waliweza kupambana na wakafika mwisho. Ili Hali huyo saud Arabia aliyemfunga Argentina hata robo hakutoboa.
Yanga akifungwa na Belozdad Goli 3 away. Na ilionekana kama haiwazekani Kwa Yanga kumfunga belozdad hata Goli mbili. Matokeo Yake wakafa NNE bila, na Yanga akafika Hadi Fainali.
Sembuse Ushindi wowote hata Wa Goli moja?
Hatimaye tumefuzu.Mashabiki wa simba wanaumia sana kwa hiki Yanga wanachofanya baada ya Yanga kufungwa mechi mbili za mwanzoni walijua kabisa Yanga ndo safari imeishia pale kuona Yanga leo ana-point 7 na ananafasi ya kufuzu wanaumia sana
Hatimaye tumefuzuwamechanganyikiwa sana..ile juzi nipo nao tunacheki mechi hawakuamini kilichotokea! Sisi tunacheza mpira wa kitabuni, speed..mtu hadi unajisikia raha kucheki mpira.
Sio ule wa simba debwe debwe mpira unakosa radha ya kuuangalia wanacheza mpira kama hawataki bhana.mpira slow..
Hatimaye tumefuzu na kuwaziba mdomo hawa mbwa.Baada ya kufuzu mtarudi na yale ya Ibenge
Hatimaye tumefuzu na kuwaziba mdomo hawa mbwa.Tunza hii. Tena na wewe huchelewi kusema miujiza..!! Mtabadili lugha mpaka mwisho wa dahali
Mpo pamoja na nani mbwah wewe unatuletea gundu kwenye yanga yetu.siku zote kuandika ujingah kutuletea gundu mpaka tunashindwa kufuzuTuko pamoja
DuuuhMpo pamoja na nani mbwah wewe unatuletea gundu kwenye yanga yetu.siku zote kuandika ujingah kutuletea gundu mpaka tunashindwa kufuzu
Ndo hivo siku hazifanani..leo palipoa sanaHatimaye tumefuzu
Kuna kikao cha kupasua makalkuleta yaliyowadanganyaVipi watani kesho kuna supu ya kupunguza maumivu pale Mtaa wa Jangwani?
Aiseee hivi mimi Ndio niliandika Haya last daysAfuzu kwenda wapiiii,Niko hapa haingii robo hata kwa manati
😂😂😂😂Vipi watani kesho kuna supu ya kupunguza maumivu pale Mtaa wa Jangwani?
Inasoma 0~0,ila tumeondolewa sababu calcutator zetu hazijakidhi viwango vya kimataifa,tukabembeleza tutumie FOUR FIGURE wakakataaNgapi Huko ,,?
Engineer Soma Wewe,
🤣😂🤣😂😂😂😂😂🤣😂🤣😂Isiyo Kongwe HaivushiInasoma 0~0,ila tumeondolewa sababu calcutator zetu hazijakidhi viwango vya kimataifa,tukabembeleza tutumie FOUR FIGURE wakakataa