Yanga hatofuzu kwenda makundi, naiona draw kwa Mkapa

Yanga hatofuzu kwenda makundi, naiona draw kwa Mkapa

Bet hapa: (a) Kama wewe ni mwanamme na una mke, Yanga akishinda, umwache mke wako akaolewe kwa mwezi mmoja na shabiki yeyote wa kiume wa ya Yanga. (b) Kama wewe ni mwanaume na huna mke, basi Yanga ikishinda, wewe uolewe na shabiki yeoyte wa kiume wa Yanga atakayekuwa tayari kufanya hivyo kwa miezi mitatu, (c) kama wewe ni mwanamke, basi Yanga ikishinda uwekwe gest ili kila shabiki wa Yanga apitir kwa miezi mitatu wakati wowote.
Siwezi kubet chochote.....Mimi naamini ktk mawazo huru, nimetoa utabiri WANGU kupitia kile nilichokiona Mimi Wala sio dhambi

Pili, sijamkashifu Wala kumtukana shabiki yoyote wa Yanga, kiufupi haya ni maoni yangu binafsi Mimi Metronidazole 400mg

Mpira sio vita Wala ugomvi, Haina haja ya kufika huko unapotaka mkuu, mpira ni burudani, waambie na wenzio sawa??
 
Wale wanangu, ambao mnanikubali na kunifuatilia hapa JF nawapenda na kuwakubali sana, kama nyingi mnavyonipenda na kuja PM kunipongeza kwa tabiri zangu hapa JF ambazo kwa asilimia kubwa Huwa zinatiki, sio matokeo TU Bali kwenye angles mbalimbali za mpira na soka letu la hapa tz

Wanangu hii nyingine nawapa muishi nao, Yanga haiwezi toboa kwenda robo fainali sababu zinaweza kuwa ndogo ila za msingi sana ( zinahitaji akili kubwa kuzielewa )

1. Yanga kachukua points nne dhidi ya mazembe ambayo ipo dhoofu Sanaa

2. Kachukua points 3 kwa Al hilal, ila unahisi Jana Yanga alistahili kushinda??, zile chances za hatari ambazo Al hilal walitengeneza na kushinda kubadilisha kuwa mabao unahisi waarabu ( mc alger) haiwezi kuwa turning point Yao?

Tuishi humu wanangu naona kabisa Yanga hafuzu

Nb: haya ni mawazo na utabiri wangu, sio lazima ukubaliane nao, kama unabisha tuache muda uondee alafu ruksa kunikosoa ( sio ugomvi sawa??? )

Nb: haya ni mawazo na utabiri wangu, sio lazima ukubaliane nao, kama unabisha tuache muda uondee alafu ruksa kunikosoa ( sio ugomvi sawa???😂
 
Wale wanangu, ambao mnanikubali na kunifuatilia hapa JF nawapenda na kuwakubali sana, kama nyingi mnavyonipenda na kuja PM kunipongeza kwa tabiri zangu hapa JF ambazo kwa asilimia kubwa Huwa zinatiki, sio matokeo TU Bali kwenye angles mbalimbali za mpira na soka letu la hapa tz

Wanangu hii nyingine nawapa muishi nao, Yanga haiwezi toboa kwenda robo fainali sababu zinaweza kuwa ndogo ila za msingi sana ( zinahitaji akili kubwa kuzielewa )

1. Yanga kachukua points nne dhidi ya mazembe ambayo ipo dhoofu Sanaa

2. Kachukua points 3 kwa Al hilal, ila unahisi Jana Yanga alistahili kushinda??, zile chances za hatari ambazo Al hilal walitengeneza na kushinda kubadilisha kuwa mabao unahisi waarabu ( mc alger) haiwezi kuwa turning point Yao?

Tuishi humu wanangu naona kabisa Yanga hafuzu

Nb: haya ni mawazo na utabiri wangu, sio lazima ukubaliane nao, kama unabisha tuache muda uondee alafu ruksa kunikosoa ( sio ugomvi sawa??? )
Aisee we ni hatari!
Hatimae yamekuwa

Sent from my Infinix X626 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom