Yanga hatofuzu kwenda makundi, naiona draw kwa Mkapa

Yanga hatofuzu kwenda makundi, naiona draw kwa Mkapa

Bado huujui Mpira wewe!

Mshindi Wa world cup Argentina na Ubora wao. Walikufa Kwa saud arabia Kwa Goli kadhaa na wakipoteza mechi lakini still waliweza kupambana na wakafika mwisho. Ili Hali huyo saud Arabia aliyemfunga Argentina hata robo hakutoboa.

Yanga akifungwa na Belozdad Goli 3 away. Na ilionekana kama haiwazekani Kwa Yanga kumfunga belozdad hata Goli mbili. Matokeo Yake wakafa NNE bila, na Yanga akafika Hadi Fainali.

Sembuse Ushindi wowote hata Wa Goli moja?
Gusa achieni halafu mkanye.
 
Siwezi kubet chochote.....Mimi naamini ktk mawazo huru, nimetoa utabiri WANGU kupitia kile nilichokiona Mimi Wala sio dhambi

Pili, sijamkashifu Wala kumtukana shabiki yoyote wa Yanga, kiufupi haya ni maoni yangu binafsi Mimi Metronidazole 400mg

Mpira sio vita Wala ugomvi, Haina haja ya kufika huko unapotaka mkuu, mpira ni burudani, waambie na wenzio sawa??
Mshindi wewe,
Tupe basi na utabiri wa mechi ya kesho Mnyama FC tuone tunaishije.
 
Mtudharau wakati utopolo mlikuwa mnajigamba kwa kucheza fainali! Ficheni upumbavu wenu nyie wajinga.
Tumekwama ila 5imba kakwama zaidi kucheza shirikisho yaani mashindano ya akina mama
 
Kikosi kipanaa kinaendelea kufinywa. Mmezoea kutamba humu ndani. Punguzeni kamdomo. Simba ndiye baba wa soka la kimataifa kwa nchi hii. Sasa wewe endelea kusema mashindano ya kina mama, labda itakusadia kupunguza maumivu.
Yanga tunasema ni mchezo
Ndo mambo ya CAFCL sio uko umamani
 
Tumekwama ila 5imba kakwama zaidi kucheza shirikisho yaani mashindano ya akina mama
Hujielewi na hauna akili ya mpira. Wakati wewe unacheza hiyo michuano ukaenda hadi fainali "je nyie mlikuwa akina mama!?"
 
Back
Top Bottom