Yanga hawatafurukuta CAFCL.

Yanga hawatafurukuta CAFCL.

Kama hiyo clear chance haikwenda golini haikuwa attempt na hivyo huwezi kusema ikikuwa hatari kwa mpinzani. Ninachojua ni kuwa Manula leo hajaokoa hatari yoyote. Alikuwa anacheza pasi kama Kanoute na Chama.
Haujachelewa bado una muda wa kujifunza kuhusu mpira wa miguu, fuatilia mechi za ulaya utaona kuna kitu kinaitwa attempts, chances missed, big chance missed. Wewe mpira bado hujui Scars huyu ndugu ni simba mwenzio anatia aibu hata attempt harlewi uwe una mpa course kuhusu mpira wa miguu na misamiati yake
 
Umetumia kigezo gani kusema timu moja ni underdog bwana mjuaji?
Kawaulize bookmarkers kigezo gani walitumia kuipa point 2 yanga kushinda mechi ya leo na point 3 Simba kushinda.
 
Huyo hajui mpira unapoteza muda wako tu ni shabiki wa timu asiyejua mpira. Kuna thread nilikuwa namjibu mtu kuwa mechi ya leo Simba walikuwa ni underdog kwa yanga. Akaja kuni quote ananiambia underdog gani wakati leo ameshambulia zaidi kuliko mpinzani wake. Nikabaki kumcheka tu kwasababu ni shida ya watoto wasiojua mpira, wao wanajua usimba na uYanga tu. Hajui timu inaweza kuingia kama underdog lakini akafanya vizuri. Simba vs Al Ahly, Simba alikuwa ni timu underdog lakini walishinda. Yanga vs Simba mechi ambayo yanga walishinda kwenye ngao ya jamii yanga ndio walikuwa ni underdog ila kashinda. Mechi iliyofuatia tena ya sare pia Yanga alikuwa ni underdog. Mechi ya leo Simba ndio alikuwa ni underdog na makampuni ya kubet yote waliipa asilimia kubwa Yanga kushinda kuliko Simba
Ks
Haujachelewa bado una muda wa kujifunza kuhusu mpira wa miguu, fuatilia mechi za ulaya utaona kuna kitu kinaitwa attempts, chances missed, big chance missed. Wewe mpira bado hujui Scars huyu ndugu ni simba mwenzio anatia aibu hata attempt harlewi uwe una mpa course kuhusu mpira wa miguu na misamiati yake
Acha kukimbilia ulaya.... Big chance ipi mliyokosa banah wewe....
 
Kawaulize bookmarkers kigezo gani walitumia kuipa point 2 yanga kushinda mechi ya leo na point 3 Simba kushinda.
Kumbe ni akili za betting unatumia? Nina hakika wewe hujui kabisa maana ya underdog... Itakuwa ulisikia kwa kina dauda huko ukakariri.
 
Ianga atachezaje Champions league wakati hatofuzu?
Baada ya kuangalia mchezo wa leo baina ya Simba na Yanga, ni dhahiri yanga hawana timu ya kufanya maajabu ligi ya mabingwa msimu ujao.
Timu imejengwa kumzunguka mtu mmoja tu kiasi kwamba akishadhibitiwa basi tu inatepeta.
Simba ndio kipimo cha watakachokutana nacho ligi ya mabingwa. Kama Yanga wako serious wanatakiwa kusajili hasa wachezaji wenye uwezo wa kuamua michezo migumu. Sio hawa kina sure boy..

View attachment 2206582
 
Twende kwa fact:

1) kuna wachezaji hawakucheza Mayele, Djuma na Aucho
2) kikosi hakikupata muda wa kutosha kuandaliwa kwaajili ya klabu bingwa kwenye pre season na wakacheza mechi moja tu ya kirafiki.

Lakini Simbo ambao walitumia zaidi ya mwezi kwenye maandalizi ya klabu bingwa kwa kuweka kambi Morocco na Arusha huku wakicheza michezo kibao ya kimataifa ya kirafiki lakini wametolewa na Galaxy na kutupwa nje kwenye klabu bingwa
Nyie si mlienda Morocco mkaishiwa hela mkaamua kuvunja kambi na kurudi kufanyia jangwani.

Ama mlikuwa na zuio la pre season.?
 
Kama Simba hii iliyofungwa na mbeya city+ kagera wanafika robo Leo yanga hii ambayo inaongoza ligi bila kufungwa ndio washindwe kufurukuta?
Kwani si mlienda club bingwa mliishia wapi?
 
Mlianza na kusema round ya pili mnaamka, haya round ya pili ndio hiyo ina yoyoma, mara hoo mkasema mechi nne yanga atapoteza ikiwemo ya Azam zote Yanga kashinda zote mara hoo mkasema mtapiga ya Yanga kwa mkapa mechi droo. Leo naona mmehamisha magoli kwenye CAF champions, kwani nyie kwa usajili alio ufanya Yanga msimu mliopita mmlishawahi kufikiria msimu huu Yanga itakuwa hivi, tena na muunganiko mkubwa wachezaji wamelewana ndani ya mda mfupi na kuipa matokeo Yanga.

Pambaneni na timu yenu na viongozi wenu ambao wamechemka kwenye kusajili (sijui wamekula 10%),Mwenyekiti wenu anahojiwa na EFM anadai "Simba ya msimu huu ni bora zaidi ya msimu uliopita ".Msimu huu mmekosa ubingwa, mmedrop kutoka Klabu bingwa mpaka shirikisho. Mkae mjipange wachezaji kibao (zaidi ya 10) mikataba yao ishaisha mmoja wapo Manula kwa saves alizozifanya lazima atataka fungu kubwa,mambo ya kiwaga magumu mnakumbushiaga bil 20.

Mnakazi ya kuoffload timu yenu, kufanya usajili mpya (hapo ndipo viongozi wenu wanapompigaga MO) na baada hapo mtengeneze muunganiko kwenye timu.

Yanga ndio tushachukua ngao, sasa hivi ligi bado Azam Confederation dadadedekiiiiiii......
Pale wenye akili ni wawili tu, sema "na iwe hivyo"
 
Baada ya kuangalia mchezo wa leo baina ya Simba na Yanga, ni dhahiri yanga hawana timu ya kufanya maajabu ligi ya mabingwa msimu ujao.
Timu imejengwa kumzunguka mtu mmoja tu kiasi kwamba akishadhibitiwa basi tu inatepeta.
Simba ndio kipimo cha watakachokutana nacho ligi ya mabingwa. Kama Yanga wako serious wanatakiwa kusajili hasa wachezaji wenye uwezo wa kuamua michezo migumu. Sio hawa kina sure boy..

View attachment 2206582
Kama makolo mnagongeshwa na timu za mbeya city na ksgera sugar mmefika robo fainali tena mkiwa na washambukiaji kina kibu denis na mugalu ambao ata goli 4 awana kwenye ligi itakuwaje yanga ishindwe?
 
Back
Top Bottom