Yanga hii naifananisha Barcelona ya 2008-2011

Yanga hii naifananisha Barcelona ya 2008-2011

Christopher Wallace

JF-Expert Member
Joined
Dec 8, 2015
Posts
1,479
Reaction score
3,788
Tunamfunga yoyote huku tukicheza sex football

Yanga hii inafanana sana na Barcelona bora ya Guardiola ya 2008-11

Yaani nikimtazama Mayele ni Eto'o mtupu, wakati Dickson Job ni Puyol.

Sasa ukija kwa huyu Aucho ni Xavi kabisaaa huku Feitoto akirandana kabisa na Iniesta.

Yanga hii ni bora na inafanana sana na Barcelona ya Guardiola.

Njooni mnipige nipo Kongwa, Dodoma, Niwatakie mwaka mpya wadau wote wa soka
 
Yanga hii no kama combination ya INNIESTA .........XAVI ........MESS


MESSI ......SUAREZ...... NEYMAR



BALE.......BENZEMA ......... CRISTIANO (BBC)


Malizien combination zingine kali
 
Tunamfunga yoyote huku tukicheza sex football

Yanga hii inafanana sana na Barcelona bora ya Guardiola ya 2008-11

Yaani nikimtazama Mayele ni Eto'o mtupu, wakati Dickson Job ni Puyol.

Sasa ukija kwa huyu Aucho ni Xavi kabisaaa huku Feitoto akirandana kabisa na Iniesta.

Yanga hii ni bora na inafanana sana na Barcelona ya Guardiola.

Njooni mnipige nipo Kongwa, Dodoma, Niwatakie mwaka mpya wadau wote wa soka
Subiri wazee wa makasiriko(makolo) watakavyokushukia kama mwewe
 
Kulikua kuna amani ila leo kapigwa dodoma jiji amani imetoweka
Amani ipo ya kutosha sema wenge lako tu ndilo linakufanya uone amani imetoweka kwa lile goli la aucho unayekesha hapa kumsema wa kawaida huku akiendelea kukuprove wrong
 
Amani ipo ya kutosha sema wenge lako tu kwa lile goli la aucho unayekesha hapa kumsema wa kawaida huku akiendelea kukuprove wrong
Sasa kumbe niliposema wakawaida wwe ukatafsiri kwamba hata kwenye mechi simple kama hizi hawezi kutia kamba?

Mechi ambayo hadi wapinzani wanajifunga nayo yakuitumia kama factor katiakuangalia uwezo wa mchezaji?
 
Tunamfunga yoyote huku tukicheza sex football

Yanga hii inafanana sana na Barcelona bora ya Guardiola ya 2008-11

Yaani nikimtazama Mayele ni Eto'o mtupu, wakati Dickson Job ni Puyol.

Sasa ukija kwa huyu Aucho ni Xavi kabisaaa huku Feitoto akirandana kabisa na Iniesta.

Yanga hii ni bora na inafanana sana na Barcelona ya Guardiola.

Njooni mnipige nipo Kongwa, Dodoma, Niwatakie mwaka mpya wadau wote wa soka
Kama ni ndoto amka haraka.
 
Mnajitaidii na kuna kitu mnaonyesha nn mnatakaa ,ngoja tuonee
 
Back
Top Bottom