Yanga hii ndio Simba ileeeeee ya kwa Mkapa hatoki mtu, mbinu za medani za Simba zimeibwa na Yanga

Yanga hii ndio Simba ileeeeee ya kwa Mkapa hatoki mtu, mbinu za medani za Simba zimeibwa na Yanga

Mwishokambi

JF-Expert Member
Joined
Nov 23, 2020
Posts
390
Reaction score
1,425
Nna uhakika kabisa kama wameweza kusajili wachezaji wa simba waliotemwa nna uhakika hata mbinu zilzokuwa zinatumiwa na Simba ileeeeeee ya kwa Mkapa hatoki mtu imeibwa na hawa jamaa.

Kiukweli wana makafara mazito mazito ambayo hayazuiliki, mbinu zote za Simba wamechukua wao, wanakimbiza kama Simba ileeeeee ya kwa Mkapa hatoki mtu.

Mazembe alikuwa anakufa si chini ya goli 8 leo, wao waliona miiba imetegwa kwenye basi tu kumbe wap, wakongo wenzao wamewasaliti.

Gusa Achia Twende Kwao + makafara mazito hatopona mtu

Naitakia kila heri Simba sports club kesho ipi na sisi tuwe na furaha.
 
Kiukweli wana makafara mazito mazito ambayo hayazuiliki, mbinu zote za Simba wamechukua wao, wanakimbiza kama Simba ileeeeee ya kwa Mkapa hatoki mtu.
Hebu nikumbushe binadamu tumeumbwa kusahau. Hiyo Simba unayoisemea ilifika nusu fainali gani achilia mbali kushika hata medali ya runners Up
 
20241230_190453.jpg
Kweli mbinu za 5imba zimeibwa na Yanga
 
Back
Top Bottom