Southern Highland
JF-Expert Member
- Mar 22, 2017
- 14,938
- 25,405
Ndugu kwa akili ya kawaida tu mpaka hao walioko chini kugeukia kuangalia juu sababu ilikua ni nini? Usianze tu kusema nani kaanza kurusha kwakua video yako ndio imeanzia hapo. Inaonyesha ugomvi ulitokea juu na sio rahisi wa chini kuanzisha ugomvi kutokana na hayo mazingira yalivyo.Video zote mnazopost hakuna hata moja inayoonyesha mashabiki wa Al Ahly wakirusha viti. Wengine mnajitoa ufahamu na kulalamika mashabiki kukanyaga viti utadhani hamjawahi kwenda uwanjani.
Video hii hapa chini inaonyesha nini kilitokea. Angalia nani walianza kurusha viti na vitu vingine. Kama hii haitoshi semeni nitume zingine.
Ushabiki usiwatie upofu tumieni bongo zenu vizuri