Southern Highland
JF-Expert Member
- Mar 22, 2017
- 14,938
- 25,405
Ndugu kwa akili ya kawaida tu mpaka hao walioko chini kugeukia kuangalia juu sababu ilikua ni nini? Usianze tu kusema nani kaanza kurusha kwakua video yako ndio imeanzia hapo. Inaonyesha ugomvi ulitokea juu na sio rahisi wa chini kuanzisha ugomvi kutokana na hayo mazingira yalivyo.Video zote mnazopost hakuna hata moja inayoonyesha mashabiki wa Al Ahly wakirusha viti. Wengine mnajitoa ufahamu na kulalamika mashabiki kukanyaga viti utadhani hamjawahi kwenda uwanjani.
Video hii hapa chini inaonyesha nini kilitokea. Angalia nani walianza kurusha viti na vitu vingine. Kama hii haitoshi semeni nitume zingine.
Hata pia mashabiki wa Simba wengi huvaa jezi za Yanga kuficha maumivu yao na kutafuta furaha kwa kufanya vurugu kama hizoKuna mashabiki wa yanga wengi wanavaa jezi za Simba.
Jambo hili ni hatari sana.
Unazungumza mambo ya kufikirika wakati uhalisia unauona. Halafu wakati huo huo unasema "Ushabiki usiwatie upofu"Ndugu kwa akili ya kawaida tu mpaka hao walioko chini kugeukia kuangalia juu sababu ilikua ni nini? Usianze tu kusema nani kaanza kurusha kwakua video yako ndio imeanzia hapo. Inaonyesha ugomvi ulitokea juu na sio rahisi wa chini kuanzisha ugomvi kutokana na hayo mazingira yalivyo.
Ushabiki usiwatie upofu tumieni bongo zenu vizuri
UWANJA SI UMEFANYIWA MAREKEBISHO?? SI UNA CAMERA WAKAMATWE WAFUNGWE MIAKA 2 , 2 THN UTAONA KAMA KUNA MLEVI ATASUBUTU KUNG'OA KITI.Juzi katika mechi ya Yanga vs Al Ahly uwanja wa Mkapa, mashabiki wa Yanga waling'oa viti na kuwarushia mashabiki waliokuwa wanaishangilia Al Ahly. Inteligensia yangu imeniambia kuwa mashabiki wa Yanga walifanya hivyo baada ya kuudhiwa na kitendo cha mashabiki wa Al Ahly kuwasha moshi uliosambaa upande walilokuwa.
Nakumbuka mwishoni mwa msimu uliopita, Yanga walifanya gwaride na kwa wingi wao walipita mtaa wa Msimbazi ili kuikebehi Simba na wakawasha fataki na moshi. Wengine walidai ule ni utani wa jadi ila tunasahau busara huwa inatumika hata viwanjani kuwatenganisha mashabiki wa pande mbili pamoja kwamba huo utani wa jadi upo.
Nakumbuka baada ya gwaride la Yanga niliwahi kusema, siku mashabiki wa Simba wakisherehekea kwa kupita makao makuu ya Yanga na kufanya kile kile walichofanya Yanga, mashabiki wa Yanga watawafanyia vurugu. Leo maneno yangu yanathibitisha kuwa hilo litakuja kutokea.
Tukio walilofanya mashabiki wa Yanga kupita na kuwasha moshi mtaa wa Msimbazi lingeweza kuleta maafa makubwa sana, tushukuru tu ustaarabu ulioonyeshwa na mashabiki wa Simba. Kama maafa yangetokea, wa kulaumiwa wangekuwa ni vyombo vya ulinzi na usalama vilivyoruhusu jambo lile kufanyika.
Kitendo walichofanya Yanga kimelitia dosari taifa. Tunategemea Mwenyekiti wa chama cha vilabu Afrika ambaye uzuri alikuwepo uwanjani, atoke hadharani aikemee klabu ya Yanga kwa kitendo hicho na pia TFF waipigishe faini klabu ya Yanga na kupewa onyo kali.
Halafu yanashangilia mechi siyo yao! Hopeless kabisaIla wabongo waharibifu sana ustaarabu zero sio poa kung'oa viti bado wanapanda juu ya viti kushangilia
Kwani kosa? Kunya anye kuku, akinya bata anaharisha.Mbona wanaoonekana Kwenye picha ni mashabiki wa Simba wakishangilia na waume zao baada ya kufunga goli?
View attachment 2833345
Bado huelewi nachozungumza kwasababu ya ushibiki. Kaa na ujinga wakoUnazungumza mambo ya kufikirika wakati uhalisia unauona. Halafu wakati huo huo unasema "Ushabiki usiwatie upofu"
Hawajitambui haoDah hawa jamaa ni mazuzu kweli
hao sio washabiki wa yangaJuzi katika mechi ya Yanga vs Al Ahly uwanja wa Mkapa, mashabiki wa Yanga waling'oa viti na kuwarushia mashabiki waliokuwa wanaishangilia Al Ahly. Inteligensia yangu imeniambia kuwa mashabiki wa Yanga walifanya hivyo baada ya kuudhiwa na kitendo cha mashabiki wa Al Ahly kuwasha moshi uliosambaa upande walilokuwa.
Nakumbuka mwishoni mwa msimu uliopita, Yanga walifanya gwaride na kwa wingi wao walipita mtaa wa Msimbazi ili kuikebehi Simba na wakawasha fataki na moshi. Wengine walidai ule ni utani wa jadi ila tunasahau busara huwa inatumika hata viwanjani kuwatenganisha mashabiki wa pande mbili pamoja kwamba huo utani wa jadi upo.
Nakumbuka baada ya gwaride la Yanga niliwahi kusema, siku mashabiki wa Simba wakisherehekea kwa kupita makao makuu ya Yanga na kufanya kile kile walichofanya Yanga, mashabiki wa Yanga watawafanyia vurugu. Leo maneno yangu yanathibitisha kuwa hilo litakuja kutokea.
Tukio walilofanya mashabiki wa Yanga kupita na kuwasha moshi mtaa wa Msimbazi lingeweza kuleta maafa makubwa sana, tushukuru tu ustaarabu ulioonyeshwa na mashabiki wa Simba. Kama maafa yangetokea, wa kulaumiwa wangekuwa ni vyombo vya ulinzi na usalama vilivyoruhusu jambo lile kufanyika.
Kitendo walichofanya Yanga kimelitia dosari taifa. Tunategemea Mwenyekiti wa chama cha vilabu Afrika ambaye uzuri alikuwepo uwanjani, atoke hadharani aikemee klabu ya Yanga kwa kitendo hicho na pia TFF waipigishe faini klabu ya Yanga na kupewa onyo kali.
Kibonde wa mkiani utoUzuri Yanga hatuna ujinga huo wenye tabia hizo wanajulika,mechi zao wanasusa ila za wenzao wanakuja kufanya fujo. Wazee wa kujifariji kwa matokeo ya Yanga.
5imba mnajifariji kwa matokeo ya Yanga,mnazani ndio changamoto zenu za kula tano na kudroo mechi tatu mfululizo zitamalizika.Kibonde wa mkiani uto
Inasikitisha sana na kudhihilisha kauli ya Rage ni sahihi"HAWA JAMAA NI MBUMBU PLUS"Huyo aliepiga teke kiti hadi kung'oka ni shabiki wa Yanga?
Kibongobongo kufungia mshabiki binafsi si uamuzi unaoweza kutekelezeka. Dawa ni kuilima faini klabu husika. Hata CAF huwa wanatoza faini klabu kwa vitendo vya mashabiki wake na hawadili na mshabiki mmoja mmojaUWANJA SI UMEFANYIWA MAREKEBISHO?? SI UNA CAMERA WAKAMATWE WAFUNGWE MIAKA 2 , 2 THN UTAONA KAMA KUNA MLEVI ATASUBUTU KUNG'OA KITI.
Umekazania habari za kususia timu, Simba ina mashabiki wanaojitambua na ni kawaida kwa taasisi yoyote iliyo imara watu kutofautiana na wengine kuonyesha misimamo yao waziwazi. Hata mambele huko watu wanagoma kushinikiza mabadiliko. Hakuna jambo la kushangaza hapo.5imba mnajifariji kwa matokeo ya Yanga,mnazani ndio changamoto zenu za kula tano na kudroo mechi tatu mfululizo zitamalizika.
Yaani mpaka mnasusia mechi, mtazani mmelazimishwa kuwa mashabiki wa 5imba.
Maana juzi mmetoka 5000 mpaka 3000,ila hamkujaza hata robo ya uwanja. Mechi ijayo na Wydad ukiwa na MoXtra na kipande cha sabuni unaingia uwanjani,maana hata nyinyi mshaichoka timu yenu.
Sasa kwani uwongo hamjasusa, hapo kwenye "5imba" simu yangu ikifikia hilo neno "s" hai-respond.Umekazania habari za kususia timu, Simba ina mashabiki wanaojitambua na ni kawaida kwa taasisi yoyote iliyo imara watu kutofautiana na wengine kuonyesha misimamo yao waziwazi. Hata mambele huko watu wanagoma kushinikiza mabadiliko. Hakuna jambo la kushangaza hapo.
Halafu haikusumbui kuandika "5imba" kila wakati? Hivi unadhani ukiandika hivyo kuna mtu anaumia?
Weka hapa, ila hao wanarukaruka juu ya viti nazani umewaona ni mashabiki wa 5imba ......... au nao wanasingiziwa. Maana mechi haiwahusu za kwenu mnasusa,basi tizameni burudani mshangilie kiustaraabu mnaruka juu ya viti,plus mafataki.Then lawama wanatupiwa Yanga.
Msimu huu mashabiki wa simba mnaongoza kulalamika kwa kila jambo ,mna hasira sana halafu mmeiga tabia zoooteee za Yanga mlizokua mnazilalamikia kama kushabikia timu pinzani mliita umalaya ambao hamna muda nao. Ila now day mmekua zaidi ya MALAYA
ni mashabiki wa simba watalipishwa sio yanga