Yanga ihusishe Dini mbalimbali kwenye Dua yao ya Ijumaa

Yanga ihusishe Dini mbalimbali kwenye Dua yao ya Ijumaa

Munaleta ugalatia wenu mpaka kwenye soccer.
Nyinyi watoto wa mikoani (wakristo wa mikoani ndio muna udini sana) sijui mukoje?

Yanga na Simba ziko Daressalam ambako wenyeji wa mkoa huo munafahm ni Wandengereko, Wazaramo, Wakwere na Wanyagatwa, na munafahm fika makabila hayo wakristo hakuna ama kama wapo ni 5% tu, sasa mukilazimisha iwe inasomwa sala ya birka malia mutakua munakosea.

Sio lazima kuzishabikia club za Daressal, maana hata huko mikoani kwenu zipo timu zinashiriki ligi kuu, kwanini
musizishabikie?

Ifikie hatua mila na desturi za watu wa Deresalam ziheshimiwe.
Dude go back to school and get education!
 
Hizi timu mbili ni za kiislamu, Dua zao, hata habari zao wanazotoa wanaanza salamu za kiarabu na Wala hawajishtukii
Waislam hiyo ni dunia nzima siyo Tanzania tu.

Hata sala zetu zote ni namna moja, za Kiarabu cha Qur'an. Ukienda China unawasalisha Waislam na wanakuelewa, mwabie askofu wako aende akawasalishe kama watamuelewa. Au wewe ni wa yale makanisa ya ndombolo?
 
Wakatoliki, Anglican na waruteli kama taasisi watoe hawawezi shiriki ujinga huo. Wanajielewa labda utawaona hao individual churches na hao hao wazee wajingawajinga wa dar wakiutumia uislam ili kujinywea supu. Kumbuka uislam wenyewe unapinga mpira kwamba ni usheitwani.
 
Waislam hiyo ni dunia nzima siyo Tanzania tu.

Hata sala zetu zote ni namna moja, za Kiarabu cha Qur'an. Ukienda China unawasalisha Waislam na wanakuelewa, mwabie askofu wako aende akawasalishe kama watamuelewa. Au wewe ni wa yale makanisa ya ndombolo?

Waislam hiyo ni dunia nzima siyo Tanzania tu.

Hata sala zetu zote ni namna moja, za Kiarabu cha Qur'an. Ukienda China unawasalisha Waislam na wanakuelewa, mwabie askofu wako aende akawasalishe kama watamuelewa. Au wewe ni wa yale makanisa ya ndombolo?
Screenshot_2024-07-31-02-19-33-74_a23b203fd3aafc6dcb84e438dda678b6.jpg
 
Uislamu si mila na desturi za hayo makabila uliyoyataja. Uislamu ni utamaduni wa kuabudu wa waarabu.
Kimsingi, mzaramo, mkwere, mndengereko n.k kuwa muislamu ni utumwa tu wa kiutamaduni.
Siyo kweli.

Unajuwa maana ya neno Uislam?
 
Allah atachanganyikiwa hajui kiswahili wala kizungu na dini zingine hazijui Kiarabu vile vile.

Nashauri waendelee tu na mpango wao kwa matokeo mazuri zaidi.
 
Ratiba ya wiki ya Mwananchi inaonesha kuwa siku ya ijumaa ni siku maalumu ya dua kwaajili ya timu yetu.

Napendekeza kuwa kwakuwa wachezaji, wanachama na mashabiki wa Yanga ni watu wa imani mbalimbali, basi tukio hili liheshimu imani zao kwa kuwa na uwakilishi wa viongozi wa imani mbalimbali.

Tuachane na ratiba ambazo zinaashiria udini.
Kama kawaida yao kufanya dua ya aina fulani basi wafanye hiyo hiyo iliyozoweleka, wasitake kubuni mapya tena.

Mimi nijuavyo miaka yote Yanga wanafanya dua Kiislam.
 
Mpira mchezo wa wahuni,wahuni wengi ni waislanmu,watoto wa kikristo husisitizwa elimu dunia wakati wa kiislam kutwa kucheza mipira tu,mwisho wa siku kwenye mikataba utasikia mimi sijui kingereza walin8fanganya
 
Ratiba ya wiki ya Mwananchi inaonesha kuwa siku ya ijumaa ni siku maalumu ya dua kwaajili ya timu yetu.

Napendekeza kuwa kwakuwa wachezaji, wanachama na mashabiki wa Yanga ni watu wa imani mbalimbali, basi tukio hili liheshimu imani zao kwa kuwa na uwakilishi wa viongozi wa imani mbalimbali.

Tuachane na ratiba ambazo zinaashiria udini.
Haya utayaona bongo tu katika dunia hii.
 
Mambo ya Moira ni ya kishirikina. Nashauri waarike watu wa jadi kuongoza hizo dua, na watu wa dini zinazosupport Mambo hayo.
 
Ratiba ya wiki ya Mwananchi inaonesha kuwa siku ya ijumaa ni siku maalumu ya dua kwaajili ya timu yetu.

Napendekeza kuwa kwakuwa wachezaji, wanachama na mashabiki wa Yanga ni watu wa imani mbalimbali, basi tukio hili liheshimu imani zao kwa kuwa na uwakilishi wa viongozi wa imani mbalimbali.

Tuachane na ratiba ambazo zinaashiria udini.
Miaka yote hizi klabu hujikita kwenye uisilamu tu ni vigumu kuzibadilisha.
 
Ratiba ya wiki ya Mwananchi inaonesha kuwa siku ya ijumaa ni siku maalumu ya dua kwaajili ya timu yetu.

Napendekeza kuwa kwakuwa wachezaji, wanachama na mashabiki wa Yanga ni watu wa imani mbalimbali, basi tukio hili liheshimu imani zao kwa kuwa na uwakilishi wa viongozi wa imani mbalimbali.

Tuachane na ratiba ambazo zinaashiria udini.
Unataka askofu atoke kanisani aende kuiombea yanga mbona itakuwa ni kichekesho
 
Munaleta ugalatia wenu mpaka kwenye soccer.
Nyinyi watoto wa mikoani (wakristo wa mikoani ndio muna udini sana) sijui mukoje?

Yanga na Simba ziko Daressalam ambako wenyeji wa mkoa huo munafahm ni Wandengereko, Wazaramo, Wakwere na Wanyagatwa, na munafahm fika makabila hayo wakristo hakuna ama kama wapo ni 5% tu, sasa mukilazimisha iwe inasomwa sala ya birka malia mutakua munakosea.

Sio lazima kuzishabikia club za Daressal, maana hata huko mikoani kwenu zipo timu zinashiriki ligi kuu, kwanini
musizishabikie?

Ifikie hatua mila na desturi za watu wa Deresalam ziheshimiwe.


Mkiambiwa Elimu ni mwanga wa ubongo ninyi mnasema ni mambo ya kidunia.(ILIMU DUNIA)

Ona sasa hata hili tu la kutambua matumizi ya "Mu" na "M" yanakushinda.
 
Back
Top Bottom