Yanga ihusishe Dini mbalimbali kwenye Dua yao ya Ijumaa

Yanga ihusishe Dini mbalimbali kwenye Dua yao ya Ijumaa

Kijana Mambo ya Simba na Yanga ndo unataka maaskofu watoke makanisani wakaombee?? Ama kwel Simba na Yanga ni ushirikina tosha!!! Huo upumbavu waachie hao maskhee ubwabwa,, hata Muislamu anayejitambua hawezi kushiriki huo Upumbavu,,,Amna Dua hapo zaidi ya uchawi na kuomba majini,, husda na maruan tu!!
 
Ratiba ya wiki ya Mwananchi inaonesha kuwa siku ya ijumaa ni siku maalumu ya dua kwaajili ya timu yetu.

Napendekeza kuwa kwakuwa wachezaji, wanachama na mashabiki wa Yanga ni watu wa imani mbalimbali, basi tukio hili liheshimu imani zao kwa kuwa na uwakilishi wa viongozi wa imani mbalimbali.

Tuachane na ratiba ambazo zinaashiria udini.
yanga na simba ni timu za kidini ya kiislam, ndio maana utakuta wakifunga, hata kama mkristo akifunga wanainama na kuputuka. hata yule beki ya tanga asiyejua mpira alipochukua kombe kule souz, aliinama akaputuka utadhani yanga ni ya waislam peke yao, mle ndani kuna wakristo pia ambao hawauamini uislam na hawataki kuusikia, ila utaona dua, matangazo ya yule meno yamejaa mdomoni (ramadhani takataka gani sijui mmalila) na wengine, wamejaa asalamaleko na upuuzi mwingi.
 
yanga na simba ni timu za kidini ya kiislam, ndio maana utakuta wakifunga, hata kama mkristo akifunga wanainama na kuputuka. hata yule beki ya tanga asiyejua mpira alipochukua kombe kule souz, aliinama akaputuka utadhani yanga ni ya waislam peke yao, mle ndani kuna wakristo pia ambao hawauamini uislam na hawataki kuusikia, ila utaona dua, matangazo ya yule meno yamejaa mdomoni (ramadhani takataka gani sijui mmalila) na wengine, wamejaa asalamaleko na upuuzi mwingi.
Mbona wakristo wanapiga njia ya msalaba na hukuti muislam akimaind, clement kawa Walid
 
Cha msingi, Yanga iheshimu uwepo wa dini nyingine waache upuuzi wa kuipa kipaumbele dini 1, wasipokuwa tayari basi waache kabisa habari za dini kwenye mpira.
Kwani wamesema watafanya dua ya namna gani?
 
Mpira mchezo wa wahuni,wahuni wengi ni waislanmu,watoto wa kikristo husisitizwa elimu dunia wakati wa kiislam kutwa kucheza mipira tu,mwisho wa siku kwenye mikataba utasikia mimi sijui kingereza walin8fanganya
Hahahaaa, huko brazil, uingereza ni waislam? Mpira ni kipaji ndugu mimi ni muislam hata danadana sijui kupiga
 
Kama kawaida yao kufanya dua ya aina fulani basi wafanye hiyo hiyo iliyozoweleka, wasitake kubuni mapya tena.

Mimi nijuavyo miaka yote Yanga wanafanya dua Kiislam.
Na je hiyo dua ni sahihi kufanyika? kwasababu masheikh wanadai mpira ni haramu
 
Mbona wakristo wanapiga njia ya msalaba na hukuti muislam akimaind, clement kawa Walid
nani ulishaona amefanya icho kitu? kwenye mambo ya jumuiya kama haya ambayo ni sensitive kwenye imani, unatakiwa kuwa makini sana ili kuleta umoja. hata watangazaji wa mpira wana udini sana sana.
 
Hahahaaa, huko brazil, uingereza ni waislam? Mpira ni kipaji ndugu mimi ni muislam hata danadana sijui kupiga
Brazil hawasomi,huku Tanzania mpira asilimia 80 huchezwa na waislam
 
Na je hiyo dua ni sahihi kufanyika? kwasababu masheikh wanadai mpira ni haramu
uyo "sheikh" wako adai chochote apendacho. Uislam hauendeshwi kwa kauli za unaowaita "masheikh".

Maana ya dua ni kuwaombea waliotangulia na tuliopo.
 
Munaleta ugalatia wenu mpaka kwenye soccer.
Nyinyi watoto wa mikoani (wakristo wa mikoani ndio muna udini sana) sijui mukoje?

Yanga na Simba ziko Daressalam ambako wenyeji wa mkoa huo munafahm ni Wandengereko, Wazaramo, Wakwere na Wanyagatwa, na munafahm fika makabila hayo wakristo hakuna ama kama wapo ni 5% tu, sasa mukilazimisha iwe inasomwa sala ya birka malia mutakua munakosea.

Sio lazima kuzishabikia club za Daressal, maana hata huko mikoani kwenu zipo timu zinashiriki ligi kuu, kwanini
musizishabikie?

Ifikie hatua mila na desturi za watu wa Deresalam ziheshimiwe.
Wewe kijana unazijua mila za hayo makabila uliyoyataja au wewe ni wa mjini sana hata hujui mila zao??

Mila zao hao, mambo yao mengi yanapishana na uislam.
Labda utumie hoja kwamba asilimia kubwa ni waislam ila uislam sio mila yao na wengi hawaufuati ni waislam jina tu huku nyuma wakiendelea na tamaduni zao za kale.
 
uyo "sheikh" wako adai chochote apendacho. Uislam hauendeshwi kwa kauli za unaowaita "masheikh".

Maana ya dua ni kuwaombea waliotangulia na tuliopo.
Kwa mujibu wa hao masheikh wanadai kushabikia mpira ni haramu...je unakubaliana nao?
 
Munaleta ugalatia wenu mpaka kwenye soccer.
Nyinyi watoto wa mikoani (wakristo wa mikoani ndio muna udini sana) sijui mukoje?

Yanga na Simba ziko Daressalam ambako wenyeji wa mkoa huo munafahm ni Wandengereko, Wazaramo, Wakwere na Wanyagatwa, na munafahm fika makabila hayo wakristo hakuna ama kama wapo ni 5% tu, sasa mukilazimisha iwe inasomwa sala ya birka malia mutakua munakosea.

Sio lazima kuzishabikia club za Daressal, maana hata huko mikoani kwenu zipo timu zinashiriki ligi kuu, kwanini
musizishabikie?

Ifikie hatua mila na desturi za watu wa Deresalam ziheshimiwe.
ohoo kebehi na majivuno vimetawala kitu usichojua Yanga na Simba ni zaidi ya vyama vya siasa leo hii Simba au Yanga anaenda Singida,Mwanza na Mbeya wanajaza uwanja wewe unaleta blaa blaa apa mbona KMC haina ao mashabiki na ni timu ya Dar es Salaam.
 
Back
Top Bottom