Kijana Mambo ya Simba na Yanga ndo unataka maaskofu watoke makanisani wakaombee?? Ama kwel Simba na Yanga ni ushirikina tosha!!! Huo upumbavu waachie hao maskhee ubwabwa,, hata Muislamu anayejitambua hawezi kushiriki huo Upumbavu,,,Amna Dua hapo zaidi ya uchawi na kuomba majini,, husda na maruan tu!!