Yanga ihusishe Dini mbalimbali kwenye Dua yao ya Ijumaa

Yanga ihusishe Dini mbalimbali kwenye Dua yao ya Ijumaa

Siyo kweli.

Unajuwa maana ya neno Uislam?
'Kuji-submit' to matakwa ya mungu kwa mtazamo wa kiarabu.

Uislamu umeundwa uarabuni kimsingi ni utamaduni wao wa kuabudu.
Hiyo ni fact, siyo maoni.
 
Narudia tena, Ukitaka kuzishabikia timu za mkoa wa Daressalam hayo mambo ya Dua za kiislam haya epukiki.

Kwahiyo wewe wa mkoani, una hiyari yako, ushabikie yanga na simba (huku hizo mila na desturi za kitumwa zikiendelea) ama ubakie mkoani kwako ushabikie timu yako.

Nb. Hata kushabikia timu isiyo na mahusiano na mila na desturi za kwako pia ni utumwa.
Kwahiyo watoto wa mikoani mutuache na timu zetu.

Shabikieni timu za munako tokea ili Soccar letu likue kwa haraka.
Huu ni mtazamo uliopitwa na wakati.
Tanzania ni yetu sote na Simba na Yanga si za Dar tu, ni za Tanzania.

Sisi tunaangalia namna za kukuza timu, nyie mnaangalia kusambaza dini ya waarabu kupitia hizo timu. Kwanini?

Nadhani mambo ya michezo yawe free of dini, siasa, na mambo kama hayo yasiyo na tija.
 
Ratiba ya wiki ya Mwananchi inaonesha kuwa siku ya ijumaa ni siku maalumu ya dua kwaajili ya timu yetu.

Napendekeza kuwa kwakuwa wachezaji, wanachama na mashabiki wa Yanga ni watu wa imani mbalimbali, basi tukio hili liheshimu imani zao kwa kuwa na uwakilishi wa viongozi wa imani mbalimbali.

Tuachane na ratiba ambazo zinaashiria udini.
Simba ,yanga,azam na coast zote zina asili ya kiislam kutokana na asili ya wakazi wake .nyie wahamiaji pendeni timu za mikoa yenu
 
Kuza timu ya mkoa wako
Huu ni mtazamo uliopitwa na wakati.
Tanzania ni yetu sote na Simba na Yanga si za Dar tu, ni za Tanzania.

Sisi tunaangalia namna za kukuza timu, nyie mnaangalia kusambaza dini ya waarabu kupitia hizo timu. Kwanini?

Nadhani mambo ya michezo yawe free of dini, siasa, na mambo kama hayo yasiyo na tija.
 
nani ulishaona amefanya icho kitu? kwenye mambo ya jumuiya kama haya ambayo ni sensitive kwenye imani, unatakiwa kuwa makini sana ili kuleta umoja. hata watangazaji wa mpira wana udini sana sana.
Mwambie mwamposa aanzishe timu yake ...
 
Kwan nyie hamna vipaji ? Aanzisheni timu yenu ya kkkt walau ...simba na yanga kitambo zinamilikiwa na waislam mpk xx
 
Kuna ukweli huwa hausemwi ngoja niuweke wazi.
Kuchanganya maombi ya Kikristo na Kiislam kwenye event moja ni sawa na kuabudu na kukufuru kwa wakati mmoja! Haya mambo hayawezi kupatanishwa kwa ajili ya political correctness.
Ni aidha iwe neutral kabisa, hapa utakuwa unapalilia upgani au atheism

Au siku zitenganishwe na wahusika watengenishwe, Wakristo waombe za kwao na Waislam waombe za kwao!
 
'Kuji-submit' to matakwa ya mungu kwa mtazamo wa kiarabu.

Uislamu umeundwa uarabuni kimsingi ni utamaduni wao wa kuabudu.
Hiyo ni fact, siyo maoni.
Umekosea sana.
Basi hata shuleni kwenu hujasoma kuhusu mtu wa kwanza alianzia wapi hapa duniani?
 
Umekosea sana.
Basi hata shuleni kwenu hujasoma kuhusu mtu wa kwanza alianzia wapi hapa duniani?
Hakuna ajuaye kwa hakika mtu wa kwanza ni nani na alianzia wapi..
Kuwa mtu wa kale zaidi ambaye mabaki yake yamegundulika, haimfanyi kuwa mtu wa kwanza..

Otherwise, labda unambie wewe, mtu wa kwanza ni nani na alianzia wapi?
 
Mnatumia majini na kuwapa damu , dua za kazi gani kama sio unafiki..
 
Umekosea sana.
Basi hata shuleni kwenu hujasoma kuhusu mtu wa kwanza alianzia wapi hapa duniani?
Mtu wa kwanza alianzia Africa, Kaskazini mwa Tanzania au Kenya.
 
Cha msingi, Yanga iheshimu uwepo wa dini nyingine waache upuuzi wa kuipa kipaumbele dini 1, wasipokuwa tayari basi waache kabisa habari za dini kwenye mpira.
Sahihi
 
Ninasema Yanga wasibadili utaratibu wao wa miaka yote.
Wameshabadili tayari ndio maana sasa wana rais badala ya mwenyekiti na kina Magoma wamebaki wapiga kelele tu na hawana nafasi ya kucheza zuma tena jangwani
 
Back
Top Bottom