Yanga ikiingia robo fainali inaweza kuipaisha Simba katika rank za CAF na FIFA

Yanga ikiingia robo fainali inaweza kuipaisha Simba katika rank za CAF na FIFA

Nusu fainali mtafika kwa timu ipi Sheikh wangu!! Tuwe tu wakweli wakati mwingine.
Kama yanga ataweza kuingia robo sioni simba akishindwa kufika nusu kama atapita kwenda robo na kukutana na tp mazembe
 
1998 YANGA ALICHEZA ROBO FAINALI YA CHAMPION LEAGUE, KWA WAKATI ULE HATUA YA ROBO ILIKUWA INAWEKWA KWA MFUMO WA MAKUNDI.
Wakumbushe maana walikuwa hawajazaliwa au walikuwa watoto wadogo wanacheza na vumbi na matope
 
Nini maana ya robo Fainali...

Wakumbushe maana walikuwa hawajazaliwa au walikuwa watoto wadogo wanacheza na vumbi na matope
Robo Fainali ni pale timu zimebaki 8 katika mashindano na zinagawanywa katika timu mbili mbili zinazocheza MTOANO kwa kucheza ama mechi mbili kama AFL au CAFCL au mechi moja kama Kombe la Dunia na washindi wanaenda nusu fainali.

Mwaka 1998, zilibaki timu 8 zilizogawanywa makundi 2 ya timu nne nne na kila timu ikiwemo Yanga ilicheza mechi 6. Kila rekodi iliyopo inasema ile ilikuwa hatua ya makundi na siyo robo fainali.
 
Robo Fainali ni pale timu zimebaki 8 katika mashindano na zinagawanywa katika timu mbili mbili zinazocheza MTOANO kwa kucheza ama mechi mbili kama AFL au CAFCL au mechi moja kama Kombe la Dunia na washindi wanaenda nusu fainali.

Mwaka 1998, zilibaki timu 8 zilizogawanywa makundi 2 ya timu nne nne na kila timu ikiwemo Yanga ilicheza mechi 6. Kila rekodi iliyopo inasema ile ilikuwa hatua ya makundi na siyo robo fainali.
Unakuta huyu jamaa anategemewa na familia
 
Robo Fainali ni pale timu zimebaki 8 katika mashindano na zinagawanywa katika timu mbili mbili zinazocheza MTOANO kwa kucheza ama mechi mbili kama AFL au CAFCL au mechi moja kama Kombe la Dunia na washindi wanaenda nusu fainali.

Mwaka 1998, zilibaki timu 8 zilizogawanywa makundi 2 ya timu nne nne na kila timu ikiwemo Yanga ilicheza mechi 6. Kila rekodi iliyopo inasema ile ilikuwa hatua ya makundi na siyo robo fainali.
Robo Fainali ni pale timu zimebaki 8 katika mashindano na zinagawanywa katika timu mbili mbili zinazocheza MTOANO kwa kucheza ama mechi mbili kama AFL au CAFCL au mechi moja kama Kombe la Dunia na washindi wanaenda nusu fainali.

Mwaka 1998, zilibaki timu 8 zilizogawanywa makundi 2 ya timu nne nne na kila timu ikiwemo Yanga ilicheza mechi 6. Kila rekodi iliyopo inasema ile ilikuwa hatua ya makundi na siyo robo fainali.
Mshindi wa kundi la yanga alicheza moja kwa moja fainali na mshindi wa kundi lingine .
Mwaka huo hakukuwepo nusu fainali.

Ila mkwaka 1998 yanga ilikuwa na wachezaji wenye vipaji lakini ilikosa uongozi wenye maarifa Kama sasa.
 
Mshindi wa kundi la yanga alicheza moja kwa moja fainali na mshindi wa kundi lingine .
Mwaka huo hakukuwepo nusu fainali.

Ila mkwaka 1998 yanga ilikuwa na wachezaji wenye vipaji lakini ilikosa uongozi wenye maarifa Kama sasa.
Sawa lakini haiifanyi hiyo kuwa robo fainali. Yanga ilicheza mechi 6 katika hatua hiyo, umewahi kusikia wapi timu inacheza mechi 6 katika robo fainali?
 
Sawa lakini haiifanyi hiyo kuwa robo fainali. Yanga ilicheza mechi 6 katika hatua hiyo, umewahi kusikia wapi timu inacheza mechi 6 katika robo fainali?
Yanga ilicheza nane bora ya caf cl 1998.
Roho fainali ni nane bora ya caf cl .
 
Yanga ilicheza nane bora ya caf cl 1998.
Roho fainali ni nane bora ya caf cl .
Siyo kweli ila kama nafsi yako inafurahi kwa kuamini ile ilikuwa ni robo fainali basi endelea kuamini hivyo. Hakuna chanzo chochote cha takwimu za michezo ambacho kitahesabu ile kama robo fainali. Tumia bando lako vizuri kujielimisha.
 
Siyo kweli ila kama nafsi yako inafurahi kwa kuamini ile ilikuwa ni robo fainali basi endelea kuamini hivyo. Hakuna chanzo chochote cha takwimu za michezo ambacho kitahesabu ile kama robo fainali. Tumia bando lako vizuri kujielimisha.
Muhimu kutumia common sense .
Wengine wanasema akili za kuambiwa unachanganya na akili zako .

Simple logic ni Kweli rekodi za caf zinasema yanga alikuwa 8 bora ya klabu za afrika .

Simple logic robo fainali ni Klabu 8 bora .
Jibu rahisi sana .
 
Muhimu kutumia common sense .
Wengine wanasema akili za kuambiwa unachanganya na akili zako .

Simple logic ni Kweli rekodi za caf zinasema yanga alikuwa 8 bora ya klabu za afrika .

Simple logic robo fainali ni Klabu 8 bora .
Jibu rahisi sana .
Hata Yanga ingefika final bado wangetafta sababu ya kubisha
 
Muhimu kutumia common sense .
Wengine wanasema akili za kuambiwa unachanganya na akili zako .

Simple logic ni Kweli rekodi za caf zinasema yanga alikuwa 8 bora ya klabu za afrika .

Simple logic robo fainali ni Klabu 8 bora .
Jibu rahisi sana .
Mfano rahisi ni MLS ya marekani ina mfumo huo
 
Muhimu kutumia common sense .
Wengine wanasema akili za kuambiwa unachanganya na akili zako .

Simple logic ni Kweli rekodi za caf zinasema yanga alikuwa 8 bora ya klabu za afrika .

Simple logic robo fainali ni Klabu 8 bora .
Jibu rahisi sana .
Voltaire alisema "common sense is not so common". Unaforce argument kwa kutwist facts na bila kuwa na evidence yoyote ya kukusapoti zaidi ya "trust me bro"
 
Najua nyuzi zangu zinasomwa sana na watu mbalimbali. Nasubiria kuona kama ushauri nilioleta katika uzi huu ulifanyiwa kazi.
 
"Theory" yangu inaenda kutimia na nawashukuru "wazee" walioona maono yangu haya yanafaa na kuyafanyia kazi kwa manufaa ya taifa.
 
Back
Top Bottom