Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona mnapishana wenyewe kwa wenyeweYanga inatambua ubora wa Mamerodi pia inatambua nia yao ya kucheza fainali na inaheshimu uwekezaji walioufanya.
Sawa ngoja tusubiri muda ufikeWanaosema hivyo wapo sawa, fursa imejileta je ulitaraji waiache mkuu?
Lakini si mna kikosi kipana au hofu yenu ni nini?Hili tatizo nililiona kwenye mechi ya mwisho dhidi ya Azam Fc. Na mpaka sasa bado kuna mashabiki hatuna uhakika kama Aucho, Kwasi, na Pacome wataanza kwenye mechi ya leo.
We ni mmakonde, msambaa au mmasai?Yanga haiendi na matokeo yao, Yanga inatambua kiwa ushindi itapatikana iwanjani.
Me kwa guede cn tatiz nae apo kwa kibabage no 3 ndo hofu yng ilipo 😁Mimi hofu yangu kubwa iko kwa kocha wetu Garmondi tu!
Huyu jamaa huwa haoni kazi kumchezesha Kibabage namba 3, na Sure Boy namba 6; huku akiwa anafahamu fika hao wachezaji siyo wazuri kwenye ukabaji.
Halafu mbele anatuwekea Guede ambaye mpaka wakati huu, unaona ameshindwa kabisa kuingia kwenye mfumo wa timu!
ba mkwe wa al ahly tulia uone mpira leo! leo kuna lile pira biriani pira lililoshiba haswaa!,chakufanya kaa na note book mchukue maarifa ya mpira!.. hizi sio enzi za mpira wa mdomoni hizi ni enzi za mpira wa mguu.Ila Mamelodi wao tu ndio hawajajiandaa vyema??
Tutaona
We ni mpuuzi
MBONA KAMA UNA MAKASIRIKO..???Ila Mamelodi wao tu ndio hawajajiandaa vyema??
Tutaona
Mtapigwa kama ngoma!Yanga inaenda kushindana, kushinda ni matokeo.
Shika 1-5Mbona mnapishana wenyewe kwa wenyewe
Wengine wanasema washafikia malengo kwasababu hamkufanya usajili wa kufika hatua hii.
Tushike lipi?