Yanga imejipeleka Al Hilal; itapigwa kama ngoma

Watani wanaweza kutoboa wana hitaji tu mipango mizuri. Wapinzani wana historia nzuri ila ndio wanajenga team mwaka huu. Wana wachezaji na kocha mzuri ila sio team tishio sana.
 
Nahisi hawa nao mechi zao zote watacheza kwa Mkapa
 
Haya maneno ya kudharau timu zetu hayakuanza leo, hata simba alipoingia robo fainali alipoifunga As vita, kila neno la kujidharau lilikua limeshazungumzwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…