Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
I have suggested that, they need to "practice more" on how to penetrate low blocking team.Has the team not won? This isn’t about me, and it's not personal. Did the team underperform? If not, why comment as though the team is at its worst? Are you considering the opponents? Do you see that they recognized how strong Yanga is, which is why they focused so heavily on defending their goal? When you’re analyzing a match, you have to consider both sides, not just your own. We’ve got to give credit where it’s due.
Sasa Dube anamzidi nini Mzize au mnapenda tu kuwakuza watu?Yaani kaka unamfananisha dube na mzize? Kuwa serious
Pole sana, kama mzize angekuwa bora dube asinge sajiliwa, or kuanzia benchi.Sasa Dube anamzidi nini Mzize au mnapenda tu kuwakuza watu?
Clement Mzize ndio mshambuliaji bora zaidi ndani ya Yanga kwa sasa akifuatiwa na Baleke
Wazo zuri sana, it is said, to get to the top is easier than to stay at the top. Hivyo Yanga ijitafakari, mwenendo ni wa kusuasua, kikosi ni kipana wengine pia kina Shehani, Baleke, Nondo, Gift, Kibwana, Kibababage na Mkude pia wacheze maana hawajulikani sana uchezaji wao na hawatakamiwa. Kuchezesha wachezaji wale wale kila siku nao ni binadamu wanachoka na pia wanajisahau, kugombea namba husaidia kuboost morale!!Huu ndo ukweli ulio wazi. Ile circle ya mafanikio kwa Wananchi inaenda kutamatika msimu huu.
Timu haina mbinu mbadala, ukizuia zile pass mpenyezo basi hawawezi kupata bao.
Msimu huu tujiandae tu kwa vilio maana hata huko Klabu bingwa sidhani kama tutatoboa huko kwenye makundi...
Nipo tayari kuitwa mbumbumbu/kolo
Endelea kunifuatilia na kunitukana,wewe si ni bingwa wa matusi!?Nenda kafundishe wewe unaandika gazeti refu hata danadana hujawahi kupiga jinga sana wewe yanga sio ya baba Yako acha shobo nayo
Yanga sio ya baba Yako ukiona aichezi vizuri achana nayo acha shoboEndelea kunifuatilia na kunitukana,wewe si ni bingwa wa matusi!?
Narudia tena,wewe si ni bingwa wa matusi?Yanga sio ya baba Yako ukiona aichezi vizuri achana nayo acha shobo
Narudia tena achana na yanga sio ya baba yakoooNarudia tena,wewe si ni bingwa wa matusi?
Labani og redio zipompa AleynHuu ndo ukweli ulio wazi. Ile circle ya mafanikio kwa Wananchi inaenda kutamatika msimu huu.
Timu haina mbinu mbadala, ukizuia zile pass mpenyezo basi hawawezi kupata bao.
Msimu huu tujiandae tu kwa vilio maana hata huko Klabu bingwa sidhani kama tutatoboa huko kwenye makundi...
Nipo tayari kuitwa mbumbumbu/kolo
Sawa mke wangu nimekuelewa!Narudia tena achana na yanga sio ya baba yakooo
Wewe itakua watu wameshakutoboa spika sio bureSawa mke wangu nimekuelewa!
Sawa mke wangu nimekuelewa!Wewe itakua watu wameshakutoboa spika sio bure
Bila mbeleko yanga ni weupe sanaHuu ndo ukweli ulio wazi. Ile circle ya mafanikio kwa Wananchi inaenda kutamatika msimu huu.
Timu haina mbinu mbadala, ukizuia zile pass mpenyezo basi hawawezi kupata bao.
Msimu huu tujiandae tu kwa vilio maana hata huko Klabu bingwa sidhani kama tutatoboa huko kwenye makundi...
Nipo tayari kuitwa mbumbumbu/kolo
Wasipoelewa hapa hawatokaa waelewe tena.Unataka kila siku timu ishinde goli nyingi kwani wenzake anaocheza nao wamesimama, wanakula mishahara wale lazima wapambane.
Timu zote alizo cheza nazo Yanga zinapaki bus. Msikalili mpira kila siku sio Jumapili KMC nao wanalipwa mishahara kama Yanga.
Barca kazipiga timu goli zaidi ya tatu mechi za mwanzo jana kala nne, Madrid mechi tatu za mwanzo mbili kadroo moja kashinda tatu moja ila kwa minded dk za jioni. Ndio mpira haiwezekani kila siku ushinde tano tano,hiyo itakuwa ligi au upuuzi.
hii picha yako inatafuta nini hapa..?
kalale we mzeeBila mbeleko yanga ni weupe sana
Hivi Gift Fred bado yupo?Wazo zuri sana, it is said, to get to the top is easier than to stay at the top. Hivyo Yanga ijitafakari, mwenendo ni wa kusuasua, kikosi ni kipana wengine pia kina Shehani, Baleke, Nondo, Gift, Kibwana, Kibababage na Mkude pia wacheze maana hawajulikani sana uchezaji wao na hawatakamiwa. Kuchezesha wachezaji wale wale kila siku nao ni binadamu wanachoka na pia wanajisahau, kugombea namba husaidia kuboost morale!!
But ni vizuri pia kuona timu zikiikamia sana Yanga maana zinaiimarisha na kuwa timu ngumu zaidi kuifunga.
Huu ni wakati Yanga itangaze kwa wachezaji kuwa kila mechi mbele yao ni fainali na kombe liko uwanjani.
Mkakati wa kuchukua points 6 za Simba uanze sasa muda huu now now maana Azam si competitor tena hajiwezi. Points 6 za Simba ndo zimebeba ubingwa wetu wa nne maana Simba kila mechi inabebwa.