Yanga imekata moto, Ijiandae kwa vipigo

Yanga imekata moto, Ijiandae kwa vipigo

Game ya 3 ya ligi kwa Yanga na kashinda zote tayari wachambuzi mmeshaanza ramli zenu 🤣🤣. Bado mapema sana, tuwe na subra
 
Wewe ni Hezbollah #2. Hezbollah waliiona Israel kwa jicho la kukata moto. Njoo uuguse moto wa YANGA wewe.
 
Dada yangu wewe mweupe sana kwenye mpira sina cha kukujibu na sina mpango wa kureply comments zako nilisha kuambiaga.

Nauelewa mpira kuliko kitu chochote kile,miaka zaidi ya ishirini na fuatilia ligi zaidi ya nne, so hauna cha kuniambia kwenye mpira.Mimi sio oya oya.
Umemjibu vizuri kapo na kadada kingine pia nako ni ushabiki maandazi tu mpira hakuna kitu wao huibuka kwenye matukio tu hovyo kabisa..
 
Huu ndo ukweli ulio wazi. Ile circle ya mafa
Huu ndo ukweli ulio wazi. Ile circle ya mafanikio kwa Wananchi inaenda kutamatika msimu huu.

Timu haina mbinu mbadala, ukizuia zile pass mpenyezo basi hawawezi kupata bao.

Msimu huu tujiandae tu kwa vilio maana hata huko Klabu bingwa sidhani kama tutatoboa huko kwenye makundi...

Nipo tayari kuitwa mbumbumbu/kolo

nikio kwa Wananchi inaenda kutamatika msimu huu.

Timu haina mbinu mbadala, ukizuia zile pass mpenyezo basi hawawezi kupata bao.

Msimu huu tujiandae tu kwa vilio maana hata huko Klabu bingwa sidhani kama tutatoboa huko kwenye makundi...

Nipo tayari kuitwa mbumbumbu/kolo
Me nakuona una matatizo ya kufikiri?check Man City utasema mbovu? check Bayern Munich utasema mbaya? maccabi telaviv mbovu?futilia michezo vizuri
 
Mkuu hebu waambie hawa watu, Nilichogundua mashabiki wengi wa Yanga hawapo tayari kuikosoa timu yao hata pale inapofaanya vibaya na ukiikosoa unaonekana wewe ai mwenzao
Unapoongolea swala la Yanga kushuka kiwango unazungumza kwenye angle ipi?
 
Dooh kwahiyo timu nyingine zikiambulia goli moja au mawili ni mbovu, ila yanga ikiambulia hivyo hakuna shida ndio mpira huo, kumbe taratibu mnaanza kuelewa kuwa ubora wa timu siyo kufunga goli nyingi tu
Boraa umemuuliza.
 
Dada yangu wewe mweupe sana kwenye mpira sina cha kukujibu na sina mpango wa kureply comments zako nilisha kuambiaga.

Nauelewa mpira kuliko kitu chochote kile,miaka zaidi ya ishirini na fuatilia ligi zaidi ya nne, so hauna cha kuniambia kwenye mpira.Mimi sio oya oya.
Ndo ukikosaga hoja huwa unatoa maneno ya kejeri kwa muhusika.
Sijui huwa ukifanya hvyo, ndo unahisi km vile wee mjanja na mjuaji.

Kumbee huna lolotee, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kinachomtokea Gamond saizi ndio kilichomtokea Rhulan Mokwena.
Baada ya kucheza na Yanga kila mtu akajua kumbe hawa ukipaki Semi hawaendi ikawa ngumu tena kwao kushinda ndo mana jamaa wamemtoa!
Gamond ligi kuu wameshamsoma ukichanganya na wachezaji nao wanaugua homa ya kikosi kipana hawana jitihada zaidi...
Yani kimataifa wakitusoma kama walivyotusoma ligi kuu tumekwisha
Umemalizaaa kila kitu.
 
Swala la timu kupaki basi na kukamia game kwa Yanga ya Gamondi halijaanza msimu huu,Msimu uliopita timu nyingi zilizopigwa goli nyingi mzunguko wa kwanza zilianza kupaki basi na hata kocha Gamondi alisema hili na kuhaidi kutafuta njia ya kupambana nalo kwasasa kila timu ikikutana na Yanga inaingia kwa hesabu za kupunguza idadi ya magoli cha msingi hapa kocha ni kutafuta mbinu sahihi ya kuzifungua timu zinazopaki basi..
 
  • Thanks
Reactions: Tsh
Ndo ukikosaga hoja huwa unatoa maneno ya kejeri kwa muhusika.
Sijui huwa ukifanya hvyo, ndo unahisi km vile wee mjanja na mjuaji.

Kumbee huna lolotee, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Furaha yako muda mda si mrefu utarudi kwenye default yako ya kila siku.

Kwa hiyo wewe Kolo FC u anaijua Yanga kuliko sie wenye timu.
 
Mashambulizi ya jana ya KMC ni mashuti mawili ya Long Range, sasa hapa unamlaumu beki anapitika kirahisi,mtu kapiga mita zaidi ya thelathini, halafu unasema wanapitika how.Nyie wengine mpira sijui mnaangaliaje,long range unamlaumu beki....... duu.

Huu uzi wako nitakukumbusha baada mechi chache tu zijazo.
Aiseeh inashangaza mipira iliyopigwa langoni kwa Yanga jana yote ni njee ya kumi na nane sasa utashangaa jamaa linasema beki za Yanga zinapitika kirahisi mpira ni mchezo mgumu sana..
 
Mi simba, lakn naomba tuwe na akiba ya maneno asee. Unafikiri tukapigwa hyo October 19 na mwisho wa msimu utopolo akabeba kombe utasemaje tena?
 
  • Thanks
Reactions: Tsh
Mkuu,tatizo siyo kushinda goli moja moja kama usemavyo!

Hata wakati wa Nabi tulikuwa tunashinda hivyo hivyo Kwa taabu na tukawa mabingwa!

Tatizo mbinu za Gamondi Huwezi fananisha na Nabi,Gamondi mbinu zake ni open mno na makocha wengi hapa ndani wameshazisoma,ni tofauti na Nabi,Nabi alikuwa akifanya mabadiliko ya Mchezaji mmoja tu kikosi kizima kinabadilika kiuchezaji na inakuwa hatari sana!

Gamondi yeye akifanya mabadiliko unakuta mambo ni yale Yale tu!

Kimataifa Gamondi atafanya vizuri kwasababu ni timu ambazo tunakutana nazo mara moja,lakini humu ndani Gamondi atapata taabu sana kwasababu makocha wengi wameshamsoma!

Kwasababu timu pinzani Kucheza Kwa kupaki bus wameshaelewa kabisa kwamba wakipaki bus Kwa mbinu za Gamondi hawezi kupangua kwasababu Hana wachezaji wa kulazimisha!

Wachezaji kama AZIZ KI,NZENGELI,MUDATHIR,CHAMA na DUBE,yaani ilitakiwa wakifika ndani ya eneo la 18 la mpinzani wawe wakatili kupita maelezo hata kama wasipofunga lakini kila mtu atakuwa ameona hatari walizosababisha!

Lakini ukiwangalia hao wachezaji ndiyo kwanza wanaongoza Kwa kutoa na Kucheza maboko!,that's why timu zinapaki bus kwakuwa wanajua Kwa wachezaji hao wa Yanga hakuna wa kuwasumbua!
Kazi ya kocha ni kuitoa timu nyuma mpka kwenye box swala la kufunga ni la mchezaji, timu ina posses, inajilinda inafanya transition unamulamu kocha kwa lipi? By the way KMC unawachukulia aje? Huyo kocha wa KMC ndio sio Mgunda ni kocha hasa
 
Furaha yako muda mda si mrefu utarudi kwenye default yako ya kila siku.

Kwa hiyo wewe Kolo FC u anaijua Yanga kuliko sie wenye timu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sasa c umjibu huyo dada alichokuuliza, mbona umeishia kumkejerii?
Kuwa fair atiiiii. Uwiiiiii
 
Mi simba, lakn naomba tuwe na akiba ya maneno asee. Unafikiri tukapigwa hyo October 19 na mwisho wa msimu utopolo akabeba kombe utasemaje tena?
Kupigwa ni sehemu ya mchezo. Si juzi tumefungwa mbili? Uzuri wa Simba ina namna nyingi sana ya kufurahia soka.
 
Back
Top Bottom