Yanga imekata moto, Ijiandae kwa vipigo

Yanga imekata moto, Ijiandae kwa vipigo

Amphibians🤣
FB_IMG_1727671751729.jpg
 
Unataka kila siku timu ishinde goli nyingi kwani wenzake anaocheza nao wamesimama, wanakula mishahara wale lazima wapambane.

Timu zote alizo cheza nazo Yanga zinapaki bus. Msikalili mpira kila siku sio Jumapili KMC nao wanalipwa mishahara kama Yanga.

Barca kazipiga timu goli zaidi ya tatu mechi za mwanzo jana kala nne, Madrid mechi tatu za mwanzo mbili kadroo moja kashinda tatu moja ila kwa minded dk za jioni. Ndio mpira haiwezekani kila siku ushinde tano tano,hiyo itakuwa ligi au upuuzi.
Umeanza kupata akili.Wenye akili sasa ni wawili na nusu. Wacha wenzio waendelee kukariri.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sasa c umjibu huyo dada alichokuuliza, mbona umeishia kumkejerii?
Kuwa fair atiiiii. Uwiiiiii
Huyo dada yy mwenyewe anajua sababu gani huwaga sitaki kumjibu, sio humu tu kwenye jukwaa lolote lile, sababu najua hana anacho kijua.

Ushajiuliza why ww pamoja na sometimes unakera ila still na kujibu?
 
Umeanza kupata akili.Wenye akili sasa ni wawili na nusu. Wacha wenzio waendelee kukariri.
Mimi sifikiri wala kuutizama mpira kiushabiki, maana ningekuwa mtu wa mihemko hata Arsenal ningeacha kuishabikia ila nina miaka zaidi ya ishirini na Arsenal. So mpira naujua na nyakati zake tofauti tofauti na zijua.

Hii sio mara kwanza nilishabishana sana na watu kwenye thread za nyuma humu humu JF,waliotaka Nabi aondoke sababu tu katolewa na Al Hilal Championship na kudroo Taifa na club African, ila baadae ndiye aliye ipeleka fainal Yanga.
 
Mimi sifikiri wala kuutizama mpira kiushabiki, maana ningekuwa mtu wa mihemko hata Arsenal ningeacha kuishabikia ila nina miaka zaidi ya ishirini na Arsenal. So mpira naujua na nyakati zake tofauti tofauti na zijua.
Kama ni mshabiki wa The Gunners basi utakuwa na uvumilivu na mpira utakuwa angalau unaujua.Kwa hiyo wewe sio Yanga "gongowazi".Yaani ni bisha mpaka unye.
 
Kama ni mshabiki wa The Gunners basi utakuwa na uvumilivu na mpira utakuwa angalau unaujua.Kwa hiyo wewe sio Yanga "gongowazi".Yaani ni bisha mpaka unye.
Bishana kwa facts aliyeleta uzi hana facts,bali malalamiko ambayo hayana maana.
 
Bishana kwa facts aliyeleta uzi hana facts,bali malalamiko ambayo hayana maana.
Kwanza mnaangaika na vijana wa mangungu awanaga hoja wanajificha kwenye kivuli cha yanga ovyo kabisa, ngoja tusubili walete iyo timu yao ndio tutaona kama yanga imekata moto ama vipi!
 
Unataka kila siku timu ishinde goli nyingi kwani wenzake anaocheza nao wamesimama, wanakula mishahara wale lazima wapambane.

Timu zote alizo cheza nazo Yanga zinapaki bus. Msikalili mpira kila siku sio Jumapili KMC nao wanalipwa mishahara kama Yanga.

Barca kazipiga timu goli zaidi ya tatu mechi za mwanzo jana kala nne, Madrid mechi tatu za mwanzo mbili kadroo moja kashinda tatu moja ila kwa minded dk za jioni. Ndio mpira haiwezekani kila siku ushinde tano tano,hiyo itakuwa ligi au upuuzi.
Unataka kila siku timu ishinde goli nyingi kwani wenzake anaocheza nao wamesimama, wanakula mishahara wale lazima wapambane.

Timu zote alizo cheza nazo Yanga zinapaki bus. Msikalili mpira kila siku sio Jumapili KMC nao wanalipwa mishahara kama Yanga.

Barca kazipiga timu goli zaidi ya tatu mechi za mwanzo jana kala nne, Madrid mechi tatu za mwanzo mbili kadroo moja kashinda tatu moja ila kwa minded dk za jioni. Ndio mpira haiwezekani kila siku ushinde tano tano,hiyo itakuwa ligi au upuuzi.
Safi Sana mkuu kwa ufafanuzi ulio bora
 
Kupigwa ni sehemu ya mchezo. Si juzi tumefungwa mbili? Uzuri wa Simba ina namna nyingi sana ya kufurahia soka.
Sawa mkuu lakn ni mapema sana kuanza kui underrated uto.
 
  • Thanks
Reactions: Tsh
Huyo dada yy mwenyewe anajua sababu gani huwaga sitaki kumjibu, sio humu tu kwenye jukwaa lolote lile, sababu najua hana anacho kijua.

Ushajiuliza why ww pamoja na sometimes unakera ila still na kujibu?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ila J, hayaa bhanaa.
 
Huu ndo ukweli ulio wazi. Ile circle ya mafanikio kwa Wananchi inaenda kutamatika msimu huu.

Timu haina mbinu mbadala, ukizuia zile pass mpenyezo basi hawawezi kupata bao.

Msimu huu tujiandae tu kwa vilio maana hata huko Klabu bingwa sidhani kama tutatoboa huko kwenye makundi...

Nipo tayari kuitwa mbumbumbu/kolo
😂😂😂😂😂😂😂
 
Yanga ipo vizuri sana na ndio maana Kila timu Kwa Sasa ikikutana na Yanga inapaki Basi Ili isipigwe nyingi

Maana wanajua kabisa wakisema na wao wafunguke mvua ya magoli itawangukia

Nasubiri mechi na Simba nione na wao watapaki Basi au watafunguka tuwapige nyingi
 
Unataka kila siku timu ishinde goli nyingi kwani wenzake anaocheza nao wamesimama, wanakula mishahara wale lazima wapambane.

Timu zote alizo cheza nazo Yanga zinapaki bus. Msikalili mpira kila siku sio Jumapili KMC nao wanalipwa mishahara kama Yanga.

Barca kazipiga timu goli zaidi ya tatu mechi za mwanzo jana kala nne, Madrid mechi tatu za mwanzo mbili kadroo moja kashinda tatu moja ila kwa minded dk za jioni. Ndio mpira haiwezekani kila siku ushinde tano tano,hiyo itakuwa ligi au upuuzi.
Imekata moto kocha anafanya selection mbovu nahisi alinipanic baada ya kupelekewa moto
 
Mkuu acha Ubishi,sote mpira tunaangalia,Ukweli ni kwamba,Yanga kwasasa hawachezi vizuri!

Hatuitaji timu ishinde Magoli mengi but mpira uonekane!

Yanga kwasasa inakosa kuwapa pressure wapinzani,mipira mingi wanarudisha nyuma badala ya kupeleka pressure Kwa mpinzani!,Ile timu ya miezi michache nyuma ambayo ilikuwa ikiwapa presha wapinzani Sasa hivi ni kama imefifia!

Pia Gamondi abadilike,aanze kuwaamini wachezaji,sijaona sababu ya Aucho Leo Kucheza,nje una Sure boy na Mkude!


Akiendelea kukaza fuvu na style yake hii ya Uchezaji,Ubingwa utakuwa historia!

Nasredin Nabi alikuwa hatabiriki,japo alikuwa na wachezaji wa kawaida lakini kila Mchezaji alipata nafasi ya Kucheza na akaonyesha Ubora wake!,Tatizo la Gamondi anatabirika na ndiyo maana makocha wengi wameshamsoma!

Nabi alikuwa akikubadilishia wachezaji wawili tu kila kitu kinabadilika,huyu Gamondi yeye akibadili Mchezaji hakuna kinachobadilika!
Wameshamjulia huy kocha subiri game inayofuata ,maana kocha akiona amezidiwa anaanza ku panic
 
Mashambulizi ya jana ya KMC ni mashuti mawili ya Long Range, sasa hapa unamlaumu beki anapitika kirahisi,mtu kapiga mita zaidi ya thelathini, halafu unasema wanapitika how.Nyie wengine mpira sijui mnaangaliaje,long range unamlaumu beki....... duu.

Huu uzi wako nitakukumbusha baada mechi chache tu zijazo.
acha makasiriko mkuu mngeshenyetwa jana sema ndio hivo mpaka Aucho anapewa kadi
 
Back
Top Bottom