Yanga imepata wachezaji imepoteza team

Simba kacheza mechi ngapi za CAF na Yanga kacheza mechi ngapi?

Simba ina wachezaji wangapi timu za Taifa na Yanga inayo wangapi?

Usifanye mchezo na fatigue, huwa ina disturb match fitness...
Yanga kacheza Mechi 4 lakini swali la msingi zina intensity gani?

Kwenye hizo 4 kumbuka 2 kacheza zote nyumbani

Na hata hatua ya pili alikutana na timu ndogo hilo mbona lipo wazi ofsa
 
Yanga kacheza Mechi 4 lakini swali la msingi zina intensity gani?

Kwenye hizo 4 kumbuka 2 kacheza zote nyumbani

Na hata hatua ya pili alikutana na timu ndogo hilo mbona lipo wazi ofsa
Kwahiyo unavyoona wewe timu Gani itaifunga yanga hapa tanzania
 
Hii issue ya kulazimisha Chama aanze itaharibu malengo yote ya timu๐Ÿšฎ๐Ÿšฎ
 
Hii issue ya kulazimisha Chama aanze itaharibu malengo yote ya timu๐Ÿšฎ๐Ÿšฎ
Na imeondoa confidence ya kocha na baadhi ya wachezaji kama utaangalia body language ya kocha unaona hapendi ila hana namna
Binafsi chama alipaswa kuingia kwenye team kama sub maana team iliyopita ilikuwa sawa tu
 
Na imeondoa confidence ya kocha na baadhi ya wachezaji kama utaangalia body language ya kocha unaona hapendi ila hana namna
Binafsi chama alipaswa kuingia kwenye team kama sub maana team iliyopita ilikuwa sawa tu
Kabisa yan
 
Hata msimu uliopita team pinzani zilikuwa nzuri sana kmc walikuwa wanapambania top 4
Ndio tofauti na msimu huu sasa, zinazidi kupanda kwa ubora.
Huoni azam anavyokalishwa huoni timu karibu zote zinapata ushindi mwembaba na droo nyingi.
 
Kuandika kwanza hauwezi ndio maana nikakuuliza ushawahi kucheza mpira katika level ipi?
Tajuaje kuandika na wakati huku sisi yanga wenye akili wako wa 2 tu! Kama na wewe ni mwanayanga basi hujui kusoma
 
Na zile 2 nani alihongwa?
 
๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ