Shooter Again
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 5,603
- 9,263
Hujui mpira kapike maandazi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yanga kacheza Mechi 4 lakini swali la msingi zina intensity gani?Simba kacheza mechi ngapi za CAF na Yanga kacheza mechi ngapi?
Simba ina wachezaji wangapi timu za Taifa na Yanga inayo wangapi?
Usifanye mchezo na fatigue, huwa ina disturb match fitness...
Mhasibu kama mhasibuWachezaji wa Uto ni AGE Go, labda lipatikane duka
Kwahiyo unavyoona wewe timu Gani itaifunga yanga hapa tanzaniaYanga kacheza Mechi 4 lakini swali la msingi zina intensity gani?
Kwenye hizo 4 kumbuka 2 kacheza zote nyumbani
Na hata hatua ya pili alikutana na timu ndogo hilo mbona lipo wazi ofsa
Hii issue ya kulazimisha Chama aanze itaharibu malengo yote ya timu🚮🚮Hii ndio sentence pekee naweza kuitumia kuelezea kile nachokiona kwa team ya Yanga
Kwa Sasa Kuna wachezaji lakini hakuna team Kila mmoja anataka kufanya kile anachotaka kufanya sio kwa ajili ya team Bali kwa ajili yake
Naamini Kuna hata wachezaji husikia uchungu pale mmoja wao anapofunga
Waangalie haraka namna ya ku offload ego za wachezaji nje ya hapo safari ya kupoteza haiko mbali
Na imeondoa confidence ya kocha na baadhi ya wachezaji kama utaangalia body language ya kocha unaona hapendi ila hana namnaHii issue ya kulazimisha Chama aanze itaharibu malengo yote ya timu🚮🚮
Tarehe 19 October panapo majaaliwa si mbali labda mje Tena na refa wa kupunguza magol
Kabisa yanNa imeondoa confidence ya kocha na baadhi ya wachezaji kama utaangalia body language ya kocha unaona hapendi ila hana namna
Binafsi chama alipaswa kuingia kwenye team kama sub maana team iliyopita ilikuwa sawa tu
Ndio tofauti na msimu huu sasa, zinazidi kupanda kwa ubora.Hata msimu uliopita team pinzani zilikuwa nzuri sana kmc walikuwa wanapambania top 4
Kuandika kwanza hauwezi ndio maana nikakuuliza ushawahi kucheza mpira katika level ipi?Sisi kama yangu chukua hizi za ndani bashasha alipewa manura,inongo na baleke
Tajuaje kuandika na wakati huku sisi yanga wenye akili wako wa 2 tu! Kama na wewe ni mwanayanga basi hujui kusomaKuandika kwanza hauwezi ndio maana nikakuuliza ushawahi kucheza mpira katika level ipi?
Huo ni mkataba, mkataba unasema lazima aanze. asipoanza Uto inatoa faini.Hii issue ya kulazimisha Chama aanze itaharibu malengo yote ya timu🚮🚮
Na zile 2 nani alihongwa?Walihongwa kina Manura, Chama, Baleke, Inonga & company.
Hukuona hao niliowataja baada ya mechi wakawa wanashangilia na wenzao Yanga huku kina Hussein na Kapombe wakilia kwa uchungu wenzao kuwasaliti.
Chama hadi alisimamishwa na uongozi baada ya mechi ile. Unadhani uongozi wa Simba ni wajinga hadi kuwatuhumu baadhi ya wachezaji?
Mkataba gani wa kijinga hivi🚮Huo ni mkataba, mkataba unasema lazima aanze. asipoanza Uto inatoa faini.
😀😀😀😀😀Mimi ni Yanga nacho amin yanga yangu haifanyi vizuri kwa sababu ya makosa ya kibinadamu ya waamuzi yamepungua kwa kiasi kikubwa, sababu nyingine ni kuwa bonasi za GSM kwa baadhi ya team zimepungua kiasi ila soon bahasha zikirudi tutashuhudia pila letu la siku zote
Aaaah Mwasibu CPA uchwara SUNZU BOBAN ovyo kabisa umerudi tena huku salama lakini?Wachezaji wa Uto ni AGE Go, labda lipatikane duka
Uto mnafungua daftari la malalamishi tuAaaah Mwasibu CPA uchwara SUNZU BOBAN ovyo kabisa umerudi tena huku salama lakini?