Yanga imepata wachezaji imepoteza team

Yanga imepata wachezaji imepoteza team

Yanga kacheza mechi ngapi hadi sasa?

Wachezaji wa Yanga ukiacha mechi za klabu yao, ni wangapi waliopo 1st 11 na wametumiwa na timu zao za taifa?

Kumekuwa na muda wa miili kurecover?

Hao KMC wamecheza mechi ngapi hadi sasa?

Wachezaji wangapi wa KMC waliotumikia timu zao za taifa?
 
Yanga ni ile ile, imetengeneza nafasi vile vile kama kipindi cha nyuma, bado ni timu hatari na tishio na Leo KMC alijipanga vizuri ndo maana kafungwa goli moja.

Nadhani Timu zinaendelea kuelewa uchezaji wa Yanga na udhaifu wa mchezaji mmoja mmoja wakati Yanga uchezaji ukiendelea kuwa ule ule ila bado ni timu hatari.

Pia Usajili wa boka umeongeza jambo. Jamaa anajua.
Kuhusu boka ni Mchezaji mzuri kwenye mikimbio kutoka eneo la chini kwenda eneo la juu ila mipira yake mingi haina usahihi, anaweza kupiga cross 6 ikafika moja zingine zinatoka nje, zinakuwa blocked na mabeki au ziende kwa kipa, bado hana pass accuracy.

Kuhusu viungo vya juu kwa sasa wamekosa ubunifu, tukimtoa pacome the rest wanategemea kutumia mbinu ya mwalimu kwa asilimia 98 ili kuleta production kwenye timu ila pacome na max huwa wanajaribu kufanya vitu binafsi nje ya mfumo wa mwalimu kitu ambacho huwafanya waonekane ni wachezaji wenye umuhimu mkubwa na hatari zaidi kwenye timu.

Ila kingine ninachokiona kwa yanga uwepo wa mastar wengi wenye uwezo mkubwa kunamchanganya Mwalim hajui aanze na nan na nan ili apate kitu kilichobora kitu ambacho kinampelekea kila siku kurotate kikosi akitafuta 11 bora.

Hadi sasa Yanga haina first 11 inayotambulika.
 
Yanga kacheza mechi ngapi hadi sasa?

Wachezaji wa Yanga ukiacha mechi za klabu yao, ni wangapi waliopo 1st 11 na wametumiwa na timu zao za taifa?

Kumekuwa na muda wa miili kurecover?

Hao KMC wamecheza mechi ngapi hadi sasa?

Wachezaji wangapi wa KMC waliotumikia timu zao za taifa?
Kwa hiyo tatizo ni timu za taifa?

Ova
 
Sisi tuliwaambia CBE sio kipimo

Sasa mmejionea wenyewe yani mmekuja kusumbuliwa na timu zile ambazo hazijawahi kushinda mechi yeyote.

Yani kwa haraka haraka tunaweza kusema CBE sio level ya Ken Gold wala KMC.
 
Yanga kacheza mechi ngapi hadi sasa?

Wachezaji wa Yanga ukiacha mechi za klabu yao, ni wangapi waliopo 1st 11 na wametumiwa na timu zao za taifa?

Kumekuwa na muda wa miili kurecover?

Hao KMC wamecheza mechi ngapi hadi sasa?

Wachezaji wangapi wa KMC waliotumikia timu zao za taifa?
Utetezi huu si bora hata autumie shabiki wa Simba.

Yanga ilikuwa na ratiba ambayo ni too fair kuanzia ugumu wa mechi na kipindi cha mapunziko.

Simba imecheza mechi ngumu za CAF imepumzika siku 3 na kurudi tena NBC dhidi ya mechi nyingine ngumu na Azam.

Imetoka hapo imeshinda siku 1 tu Dar siku ya oili yake imesafiri kwenda mkoani na kesho yake ambayo ndio jana ndio mechi yenyewe.

Wakati huo Yanga anacheza na Ken Gold alikuwa na siku 4 za mapumziko ili kujiandaa na mechi ya jana

Tofauti na Simba ambaye alikuwa anasiku 2 za kujiandaa licha ya kutoka kucheza mechi ngumu.
 
Utetezi huu si bora hata autumie shabiki wa Simba.

Yanga ilikuwa na ratiba ambayo ni too fair kuanzia ugumu wa mechi na kipindi cha mapunziko.

Simba imecheza mechi ngumu za CAF imepumzika siku 3 na kurudi tena NBC dhidi ya mechi nyingine ngumu na Azam.

Imetoka hapo imeshinda siku 1 tu Dar siku ya oili yake imesafiri kwenda mkoani na kesho yake ambayo ndio jana ndio mechi yenyewe.

Wakati huo Yanga anacheza na Ken Gold alikuwa na siku 4 za mapumziko ili kujiandaa na mechi ya jana

Tofauti na Simba ambaye alikuwa anasiku 2 za kujiandaa licha ya kutoka kucheza mechi ngumu.
kweli mkuu ndio maana marefa wanakuja na matokeo yao
 
Mimi ni Yanga nacho amin yanga yangu haifanyi vizuri kwa sababu ya makosa ya kibinadamu ya waamuzi yamepungua kwa kiasi kikubwa, sababu nyingine ni kuwa bonasi za GSM kwa baadhi ya team zimepungua kiasi ila soon bahasha zikirudi tutashuhudia pila letu la siku zote
bahasha kama za marefa wa mechi mbili zilizo pita za nyau
 
Timu zinapaki bus zinafungwa goli 1 na zinafurahi
GYfLuiLXUAAXFMw.jpeg
 
Kuhusu boka ni Mchezaji mzuri kwenye mikimbio kutoka eneo la chini kwenda eneo la juu ila mipira yake mingi haina usahihi, anaweza kupiga cross 6 ikafika moja zingine zinatoka nje, zinakuwa blocked na mabeki au ziende kwa kipa, bado hana pass accuracy.

Kuhusu viungo vya juu kwa sasa wamekosa ubunifu, tukimtoa pacome the rest wanategemea kutumia mbinu ya mwalimu kwa asilimia 98 ili kuleta production kwenye timu ila pacome na max huwa wanajaribu kufanya vitu binafsi nje ya mfumo wa mwalimu kitu ambacho huwafanya waonekane ni wachezaji wenye umuhimu mkubwa na hatari zaidi kwenye timu.

Ila kingine ninachokiona kwa yanga uwepo wa mastar wengi wenye uwezo mkubwa kunamchanganya Mwalim hajui aanze na nan na nan ili apate kitu kilichobora kitu ambacho kinampelekea kila siku kurotate kikosi akitafuta 11 bora.

Hadi sasa Yanga haina first 11 inayotambulika.
Kwa taarifa yako, Boka jana ndiye kachukua mchezaji bora wa mechi! Yaani Profesa leo aje afundishwe na mtu wa ngumbaru kwenye kupanga timu? Ajabu la karne hili!
 
Hii ndio sentence pekee naweza kuitumia kuelezea kile nachokiona kwa team ya Yanga
Kwa Sasa Kuna wachezaji lakini hakuna team Kila mmoja anataka kufanya kile anachotaka kufanya sio kwa ajili ya team Bali kwa ajili yake

Naamini Kuna hata wachezaji husikia uchungu pale mmoja wao anapofunga
Waangalie haraka namna ya ku offload ego za wachezaji nje ya hapo safari ya kupoteza haiko mbali
Sahihi...
💯💯💯
 
Mimi ni Yanga nacho amin yanga yangu haifanyi vizuri kwa sababu ya makosa ya kibinadamu ya waamuzi yamepungua kwa kiasi kikubwa, sababu nyingine ni kuwa bonasi za GSM kwa baadhi ya team zimepungua kiasi ila soon bahasha zikirudi tutashuhudia pila letu la siku zote
Kwamba simba yako inayomilikiwa na tajiri zaidi afrika mashariki walihongwa kile kipigo cha 5? Halafu kwa akili hizi ndio munajiita wasomi😆😆😆
 
Kwamba simba yako inayomilikiwa na tajiri zaidi afrika mashariki walihongwa kile kipigo cha 5? Halafu kwa akili hizi ndio munajiita wasomi😆😆😆
Walihongwa kina Manura, Chama, Baleke, Inonga & company.

Hukuona hao niliowataja baada ya mechi wakawa wanashangilia na wenzao Yanga huku kina Hussein na Kapombe wakilia kwa uchungu wenzao kuwasaliti.

Chama hadi alisimamishwa na uongozi baada ya mechi ile. Unadhani uongozi wa Simba ni wajinga hadi kuwatuhumu baadhi ya wachezaji?
 
Kwamba simba yako inayomilikiwa na tajiri zaidi afrika mashariki walihongwa kile kipigo cha 5? Halafu kwa akili hizi ndio munajiita wasomi😆😆😆
Simba hata mbovu kiasi gani hawezi kufungwa na Gongowazi hata goli 3 achilia mbali 5.

Simba amekuwa mbovu takribani misimu mitatu nyuma lakini hakuna mechi aliyofungwa 3 hadi bahasha ya kueleweka ilipotembea kwa baadhi ya wachezaji wenye tamaa.
 
Back
Top Bottom