Smart codetz
JF-Expert Member
- Jan 25, 2023
- 218
- 875
Wamejaa mahospitalini kwa ajili ya matibabu. Maumivu ya moyo yamekuwa ni makali sana kwao.KWANI MADUDUKE WAO WANASEMAJE
kuna muda tujifunze kuappreciate hali halisi. Mbona sisi tunakubali ukweli kuwa simba ni mbovuπTupo tunasema hivii..kwa kosi lile la jana la washuka daraja ni haki yenu kuwa kila mahali...ukweli ni kwamba Yanga imepangwa na timu mbovuu zotee kwny group...yenyewe ndo ina uafadhali
Sema shirikisho au Luzaz hutopungukiwa kituView attachment 2617747Hii ni rekodi nyingine kwa kikosi cha wiki cha Caf klabu ya Yanga kutoa wachezaji 7,itabaki na itaishi hii
Kama ndo hivyo tuendelee hivi hivi π π πkuna muda tujifunze kuappreciate hali halisi. Mbona sisi tunakubali ukweli kuwa simba ni mbovuπ
Sawa luzaz kap au sio, ilofanya simba akakamatwa uchawi sauz, sisi tunataka tulimiliki hilo kombe...Sema shirikisho au Luzaz hutopungukiwa kitu
mtapata tabu sana, wananchiiiiiiiiiiiii waleeeeeeeeeeeeeeeeeeeee fainaliKama ndo hivyo tuendelee hivi hivi π π π
Kikosi cha CAF? Kwa nini mnaona uzito kusema cha shirikisho? Ni vyema kujivunia ulicho nacho!Hii ni rekodi nyingine kwa kikosi cha wiki cha Caf klabu ya Yanga kutoa wachezaji 7,itabaki na itaishi hii
Haya mtani...mkinyanyua kwapa siku hyo nitawapa hongera...mtapata tabu sana, wananchiiiiiiiiiiiii waleeeeeeeeeeeeeeeeeeeee fainali
hayo ndio maneno sasa, nasubiri zawadi yako kwa bashasha πHaya mtani...mkinyanyua kwapa siku hyo nitawapa hongera...