Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwakani Raja hatokuepo hata shirikisho ameshindwa kufuzu yupo nafasi ya tano kwenye ligiUshauri wangu kwa Simba. Najua Yanga hata wasipochukua ndoo mwaka huu, mwakani watajilipua warudi huku huku Shirikisho maana wamegundua kuna uafadhali wa kutamba, basi Simba na wenyewe wajikondeshe zile hatua za mwanzo wadumbukie huku huku Shirikisho ili tupimane makali na hawa Uto maana dharau zimezidi.
Tahadhari: Kuna uwezekano miamba kama Raja itakuwepo Shirikisho mwakani kwa hiyo tusitegemee sana miteremko kama ya mwaka huu.
AzamSema shirikisho au Luzaz hutopungukiwa kitu
Wenyewe wanaliita kombe la CAFMkuu ungemalizia kwa kusema kikosi cha kombe la losers usingepungukiwa kitu.
Shirikisho sio CAF? Mangungu endelea kuburuza hawa MbumbumbuKikosi cha CAF? Kwa nini mnaona uzito kusema cha shirikisho? Ni vyema kujivunia ulicho nacho!
Haya kwenye hayo mashindano yote wewe upo umo wapi?TIMU NNE ZA LOSERS.
KOMBE LA SHIRIKISHO.
HICHO SI CHA CLABU BINGWA
Raja ni mwamba kwenu wengine wanamgongaUshauri wangu kwa Simba. Najua Yanga hata wasipochukua ndoo mwaka huu, mwakani watajilipua warudi huku huku Shirikisho maana wamegundua kuna uafadhali wa kutamba, basi Simba na wenyewe wajikondeshe zile hatua za mwanzo wadumbukie huku huku Shirikisho ili tupimane makali na hawa Uto maana dharau zimezidi.
Tahadhari: Kuna uwezekano miamba kama Raja itakuwepo Shirikisho mwakani kwa hiyo tusitegemee sana miteremko kama ya mwaka huu.
Kwani msimu uliopita si mlikuwa mnacheza haya mashindano na katika timu ambazo ndio walikuwa wanawaonea ni Berkane, Orlando pirates, Tp Mazembe, Pyramids, n.k lakini hao waliokuwa wanawaoneea nyinyi huku kakutana na vyuma wote wametoka kabakia mmoja tu ambaye ni Asec mimosa pekee. Ingekuwa pakitoto si mngefika hata nusu tu.Ushauri wangu kwa Simba. Najua Yanga hata wasipochukua ndoo mwaka huu, mwakani watajilipua warudi huku huku Shirikisho maana wamegundua kuna uafadhali wa kutamba, basi Simba na wenyewe wajikondeshe zile hatua za mwanzo wadumbukie huku huku Shirikisho ili tupimane makali na hawa Uto maana dharau zimezidi.
Tahadhari: Kuna uwezekano miamba kama Raja itakuwepo Shirikisho mwakani kwa hiyo tusitegemee sana miteremko kama ya mwaka huu.
Kwa hiyo sasa mnachukulia kufika nusu ndiyo kipimo cha mafanikio ila robo haina maana yoyote? Naona mmeshaanza kutupanga.Kwani msimu uliopita si mlikuwa mnacheza haya mashindano na katika timu ambazo ndio walikuwa wanawaonea ni Berkane, Orlando pirates, Tp Mazembe, Pyramids, n.k lakini hao waliokuwa wanawaoneea nyinyi huku kakutana na vyuma wote wametoka kabakia mmoja tu ambaye ni Asec mimosa pekee. Ingekuwa pakitoto si mngefika hata nusu tu.
We ushawahi hata kumchubua tu? Na alipocheza na Simba nyie vidomodomo mlikuwa mnasemaje? Risiti tunazo.Raja ni mwamba kwenu wengine wanamgonga
Nachokimaanisha hamvuki kila siku mnaishia pale pale tu nakujisifia kwa kuishia hapo hapo. Kufika nusu kuona mafanikio hilo linawahusu nyie mnaoishia robo na kuona ndio mafanikio. Ila Yanga kwasasa wanaiafuta fainaliKwa hiyo sasa mnachukulia kufika nusu ndiyo kipimo cha mafanikio ila robo haina maana yoyote? Naona mmeshaanza kutupanga.
Game ya Raja na Yanga hapa Dar mechi iliisha kwa sare ya tatu kwa tatu.We ushawahi hata kumchubua tu? Na alipocheza na Simba nyie vidomodomo mlikuwa mnasemaje? Risiti tunazo.
Ila hapo anapokwamia Simba katika mashindano makubwa zaidi Afrika nyie hamjanusa hata hatua ya nyuma yake tu kwa robo karne sasa, unakumbuka hilo?Nachokimaanisha hamvuki kila siku mnaishia pale pale tu nakujisifia kwa kuishia hapo hapo. Kufika nusu kuona mafanikio hilo linawahusu nyie mnaoishia robo na kuona ndio mafanikio. Ila Yanga kwasasa wanaiafuta fainali
Huwa mnajisahaulisha tabiri zenu tumeshawazoea.Game ya Raja na Yanga hapa Dar mechi iliisha kwa sare ya tatu kwa tatu.
Vyovyote vile itakavyokuwa ila Yanga kama atabeba kombe la shirikisho atakuwa kafuta record zote za Simba kimafanikio. Simba watakuwa hawana kombe lolote lile la CAF zaidi ya kuishia njiani. Hivyo Yanga ombea asinyanyue kombeIla hapo anapokwamia Simba katika mashindano makubwa zaidi Afrika nyie hamjanusa hata hatua ya nyuma yake tu kwa robo karne sasa, unakumbuka hilo?
Kama kukwamia robo kwenye shirikisho ni mara moja tu imetokea na ni mwaka jana, hiyo ya kuishia hapo hapo unazungumzia ipi?
Tuongee kwa facts.
Tusha toka nae drawWe ushawahi hata kumchubua tu? Na alipocheza na Simba nyie vidomodomo mlikuwa mnasemaje? Risiti tunazo.
Aaaahaaaakuna muda tujifunze kuappreciate hali halisi. Mbona sisi tunakubali ukweli kuwa simba ni mbovu😂
Hii dhana ya "kufuta rekodi" ya mwingine kisa wewe umefikia hatua fulani nilishawaelimisha siku za nyuma ila kwa kuwa vichwa vyenu ndiyo hivyo tena, bado tupo hapa hapa tunalijadili hili.Vyovyote vile itakavyokuwa ila Yanga kama atabeba kombe la shirikisho atakuwa kafuta record zote za Simba kimafanikio. Simba watakuwa hawana kombe lolote lile la CAF zaidi ya kuishia njiani. Hivyo Yanga ombea asinyanyue kombe