Yanga Imetoa Wachezaji 7 kikosi Bora Cha Wiki CAF

Yanga Imetoa Wachezaji 7 kikosi Bora Cha Wiki CAF

Ushauri wangu kwa Simba. Najua Yanga hata wasipochukua ndoo mwaka huu, mwakani watajilipua warudi huku huku Shirikisho maana wamegundua kuna uafadhali wa kutamba, basi Simba na wenyewe wajikondeshe zile hatua za mwanzo wadumbukie huku huku Shirikisho ili tupimane makali na hawa Uto maana dharau zimezidi.

Tahadhari: Kuna uwezekano miamba kama Raja itakuwepo Shirikisho mwakani kwa hiyo tusitegemee sana miteremko kama ya mwaka huu.
Mwakani Raja hatokuepo hata shirikisho ameshindwa kufuzu yupo nafasi ya tano kwenye ligi
 
Ushauri wangu kwa Simba. Najua Yanga hata wasipochukua ndoo mwaka huu, mwakani watajilipua warudi huku huku Shirikisho maana wamegundua kuna uafadhali wa kutamba, basi Simba na wenyewe wajikondeshe zile hatua za mwanzo wadumbukie huku huku Shirikisho ili tupimane makali na hawa Uto maana dharau zimezidi.

Tahadhari: Kuna uwezekano miamba kama Raja itakuwepo Shirikisho mwakani kwa hiyo tusitegemee sana miteremko kama ya mwaka huu.
Raja ni mwamba kwenu wengine wanamgonga
 
Thread inaihusu Yanga SC, lakini comment ~80+% Zinazungumzia Simba sc, Hivyo Simba sc ni jitu kubwaa saaana barani Africa.😳
 
Ushauri wangu kwa Simba. Najua Yanga hata wasipochukua ndoo mwaka huu, mwakani watajilipua warudi huku huku Shirikisho maana wamegundua kuna uafadhali wa kutamba, basi Simba na wenyewe wajikondeshe zile hatua za mwanzo wadumbukie huku huku Shirikisho ili tupimane makali na hawa Uto maana dharau zimezidi.

Tahadhari: Kuna uwezekano miamba kama Raja itakuwepo Shirikisho mwakani kwa hiyo tusitegemee sana miteremko kama ya mwaka huu.
Kwani msimu uliopita si mlikuwa mnacheza haya mashindano na katika timu ambazo ndio walikuwa wanawaonea ni Berkane, Orlando pirates, Tp Mazembe, Pyramids, n.k lakini hao waliokuwa wanawaoneea nyinyi huku kakutana na vyuma wote wametoka kabakia mmoja tu ambaye ni Asec mimosa pekee. Ingekuwa pakitoto si mngefika hata nusu tu.
 
Kwani msimu uliopita si mlikuwa mnacheza haya mashindano na katika timu ambazo ndio walikuwa wanawaonea ni Berkane, Orlando pirates, Tp Mazembe, Pyramids, n.k lakini hao waliokuwa wanawaoneea nyinyi huku kakutana na vyuma wote wametoka kabakia mmoja tu ambaye ni Asec mimosa pekee. Ingekuwa pakitoto si mngefika hata nusu tu.
Kwa hiyo sasa mnachukulia kufika nusu ndiyo kipimo cha mafanikio ila robo haina maana yoyote? Naona mmeshaanza kutupanga.
 
Kwa hiyo sasa mnachukulia kufika nusu ndiyo kipimo cha mafanikio ila robo haina maana yoyote? Naona mmeshaanza kutupanga.
Nachokimaanisha hamvuki kila siku mnaishia pale pale tu nakujisifia kwa kuishia hapo hapo. Kufika nusu kuona mafanikio hilo linawahusu nyie mnaoishia robo na kuona ndio mafanikio. Ila Yanga kwasasa wanaiafuta fainali
 
Nachokimaanisha hamvuki kila siku mnaishia pale pale tu nakujisifia kwa kuishia hapo hapo. Kufika nusu kuona mafanikio hilo linawahusu nyie mnaoishia robo na kuona ndio mafanikio. Ila Yanga kwasasa wanaiafuta fainali
Ila hapo anapokwamia Simba katika mashindano makubwa zaidi Afrika nyie hamjanusa hata hatua ya nyuma yake tu kwa robo karne sasa, unakumbuka hilo?

Kama kukwamia robo kwenye shirikisho ni mara moja tu imetokea na ni mwaka jana, hiyo ya kuishia hapo hapo unazungumzia ipi?

Tuongee kwa facts.
 
Ila hapo anapokwamia Simba katika mashindano makubwa zaidi Afrika nyie hamjanusa hata hatua ya nyuma yake tu kwa robo karne sasa, unakumbuka hilo?

Kama kukwamia robo kwenye shirikisho ni mara moja tu imetokea na ni mwaka jana, hiyo ya kuishia hapo hapo unazungumzia ipi?

Tuongee kwa facts.
Vyovyote vile itakavyokuwa ila Yanga kama atabeba kombe la shirikisho atakuwa kafuta record zote za Simba kimafanikio. Simba watakuwa hawana kombe lolote lile la CAF zaidi ya kuishia njiani. Hivyo Yanga ombea asinyanyue kombe
 
Vyovyote vile itakavyokuwa ila Yanga kama atabeba kombe la shirikisho atakuwa kafuta record zote za Simba kimafanikio. Simba watakuwa hawana kombe lolote lile la CAF zaidi ya kuishia njiani. Hivyo Yanga ombea asinyanyue kombe
Hii dhana ya "kufuta rekodi" ya mwingine kisa wewe umefikia hatua fulani nilishawaelimisha siku za nyuma ila kwa kuwa vichwa vyenu ndiyo hivyo tena, bado tupo hapa hapa tunalijadili hili.

Leo Norway akichukua Kombe la Dunia, utasema amefuta mafanikio yote ya Uholanzi?
 
Back
Top Bottom