Uuze muda huu kwani dirisha lipo wazi?
Mwache aendelee kudanganywa na bush lawyers wake.
Nina hakika si muda mrefu atashitakiwa CAS Kwa kuitelekeza Klabu na atailipa Yanga mapesa makubwa sana
Basi mwacheni muone kama kuna timu haitamuhitaji! Dakika moja mnataka dau la milioni 500, dakika ya pili mnasema hakuna timu itakayomuhitaji.Umeandika kama hauna akili timamu vile, Hapo nani anayeonekana kupoteza kati ya Yanga na mtoto mdogo Fey? Mtu yupo ndani ya mkataba eti unasema Yanga atapoteza? Tena kwa taarifa yako kwa tabia na mwenendo aliouonyesha kijana ndiye aliyejishusha soko maana hakuna club itamhitaji!
Nmetolea mfano huo ambao ni rahisi turudi kwenye football kwahio wewe una amini mkataba wa Fei utaisha bila kuutimikia,? kama anataka akae nyumbani Yanga watamuuzia huo mkataba kwa pesa wanayo taka wao vinginevyo arudi kwenye timu yake ambayo sasa hivi anadaiwa miezi 3Mfano wako haufananii na kile tunachoongelea hapa. Hauwezi kufananisha mkataba wa ujenzi wa daraja na mkataba wa soka, muundo na vipengele vyake vinatofautiana sana.
Nikikupa mfano mmoja. Ujenzi wa daraja una hali mbili ambazo ni kawaida kutokea, mkandarasi anaweza kumaliza ujenzi kabla au baada ya muda wa mkataba na kuna vipengele vinatakiwa kuongelea hali kama hizo zilitokea itakuwaje, kitu ambacho kwenye mkataba wa soka hakiwezi kuwepo.
Boresha mfano wako.
Wewe umeliweka sawa, mimi nilikuwa naihesabia ile ya kuvunja mkataba kama milioni 110 hivi na milioni 100 nyingine ya transfer ila nimegundua alivyowapa ile ya mwanzo ndiyo ilikuwa imetoka hiyo.Kwani Feisal aliweka Tsh ngapi kwenye akaunt ya Yanga? Ndo huko huko m100. Yanga labda kama wanataka kutuma ujumbe kwa wachezaji wengine.
Anahamaje timu kwa stahili iyo? Feisal mpaka sasa anahesabika ni mtoro kwasababu aonekani kwenye kituo chake cha kazi, kwa mantiki iyo adhabu za utoro kazini zitafata mkondo wake,Hivi ni wewe uliwahi kuandika kichekesho kimoja hapa kuwa eti kama mkataba ukiisha muda wake halafu Feisal hajarudi, basi mtaanza kuhesabu upya siku anazotakiwa kuitumikia club?
Feisal hayuko nyumbani akisubiri mkataba uishe, anataka kuhama timu akacheze kwingine.
Bwa mdogo mambo ya professional sports hauyajui vizuri. Kaa ujifunze.Uliona wapi mchezaji anauzwa kwa staili uloandika hapo?
Yaani mchezaji wako alafu unazifwata timu kuziuliza kama zinamtaka😂
Lini zitafuata mkondo wake. Mara ya mwisho kuwa kambini ni lini? Mbona hata onyo hamjatoa?Anahamaje timu kwa stahili iyo? Feisal mpaka sasa anahesabika ni mtoro kwasababu aonekani kwenye kituo chake cha kazi, kwa mantiki iyo adhabu za utoro kazini zitafata mkondo wake,
Mi sio bwana mdogo naweza kua baba ako pia jibu swali nililokujliza acha kurukarukaBwa mdogo mambo ya professional sports hauyajui vizuri. Kaa ujifunze.
Najua suluhisho litapatikana na maisha yataendelea ila siyo kwa jinsi unavyodhani wewe.Nmetolea mfano huo ambao ni rahisi turudi kwenye football kwahio wewe una amini mkataba wa Fei utaisha bila kuutimikia,? kama anataka akae nyumbani Yanga watamuuzia huo mkataba kwa pesa wanayo taka wao vinginevyo arudi kwenye timu yake ambayo sasa hivi anadaiwa miezi 3
Sent from my M2006C3LG using JamiiForums mobile app
Kwa mchezaji aliyebakisha mwaka 1 aondoke bure na mkataba wa m4 kwa mwezi? Ts possible ila ngumu.Wewe umeliweka sawa, mimi nilikuwa naihesabia ile ya kuvunja mkataba kama milioni 110 hivi na milioni 100 nyingine ya transfer ila nimegundua alivyowapa ile ya mwanzo ndiyo ilikuwa imetoka hiyo.
Sasa wana tamaa wanadhani wanaweza kumuuza milioni 500!
Habari za Sportpesa ni za kwenu na JemedariNajua suluhisho litapatikana na maisha yataendelea ila siyo kwa jinsi unavyodhani wewe.
Pia kumbukeni ile hadithi katika Biblia ya yule mtu aliyempigia magoti na kumuomba tajiri amsamehe deni analomdai na baada ya kusamehewa yule mtu aliyesamehewa akatoka akakutana na mtu mwingine ambaye yeye anamdai, akaanza kung'aka akidai deni lake. Yule tajiri kusikia alichofanya jamaa, naye akadai deni alilokuwa ameshalisamehe.
Fimbo mnayompigia Feisal na nyie SportPesa atakuja kuwapigia.
Eti, zimejaa nyuzi za ugali na sukari tunashindwa hata kujadili habari za kipigo cha mbwa koko atakachopata Vipers J4 🤣😂🤣Naunga mkono hoja. Auzwe tu ili maisha yaendelee. Binafsi nimeshachoshwa na habari zake.
Kwa maana gani? Sijakupata vizuri.Kwa mchezaji aliyebakisha mwaka 1 aondoke bure na mkataba wa m4 kwa mwezi? Ts possible ila ngumu.
Walishamtangaza. Rejea matangazo waliyowahi kuyatoa mwaka jana1. Kwa hali ilipofikia hakuna namna mchezaji kuendelea kuichezea yanga
2. Hawezi chezea timu yoyote mpaka mkataba wake uishe
3. Waliomrubuni hawawezi kujitokeza hadharani
4. Kijana bado mdogo na taifa linamuhitaji
Nawashauri viongozi wangu wa yanga tangazeni kumuuza mara moja (muwekeni sokoni) na dau lisipungue milioni miatano
Mapovu ruksa
Namaanisha kumuuza bei kubwa inawezekana ila si rahisi sababu ya muda wa mkataba wake uliobaki.Kwa maana gani? Sijakupata vizuri.
Hayo hawa mashabiki maandazi hata hawayazingatii. Wanajitajia tu milioni 500 na cha ajabu wanaamini kabisa wanaweza kuipata.Namaanisha kumuuza bei kubwa inawezekana ila si rahisi sababu ya muda wa mkataba wake uliobaki.