SAYVILLE
JF-Expert Member
- Mar 25, 2010
- 7,895
- 12,975
Hilo la kuhusu dirisha nimeliongelea humo katika post yangu.
Hayo mengine tusubiri muda utaongea.
Hayo mengine tusubiri muda utaongea.
Uuze muda huu kwani dirisha lipo wazi?
Mwache aendelee kudanganywa na bush lawyers wake.
Nina hakika si muda mrefu atashitakiwa CAS Kwa kuitelekeza Klabu na atailipa Yanga mapesa makubwa sana