Bodi gan mkuuMudi Kila siku anasusa .....mnaenda kumpigia magoti Kila siku[emoji23][emoji23]Wote waajiriwa wa serikali kasoro fatma siku kazi ikiisha hawawezi kusaidia timu mnaanza kutembeza bakuri tena,jifunzeni kwa simba ina bodi strong ya watu maproffessional na wenye makampuni.
Ccm Na Yanga Kama Mate Na UlimiKamati ya siasa ya Ccm in back ground.
Tunapowaambiaga kila siku hapa timu za Simba na Yanga zinamilikiwa na serikali kuna viziwi huwa hawaelewi.
Bodi ya wadhamini ndio wamiliki wa timu na Mali zote za timu.
Tutajie majina ya bodi ya wadhamini ya Simba tukufunguwe macho maana upo gizani.Wote waajiriwa wa serikali kasoro fatma siku kazi ikiisha hawawezi kusaidia timu mnaanza kutembeza bakuri tena,jifunzeni kwa simba ina bodi strong ya watu maproffessional na wenye makampuni.
Kumbe nilijua shangaziAseeeh hapa umepuyanga Fatma karume na BI Fatma karume ni watu wawili tofauti
Sio yule shangazi? Basi nimetengua kauli tayariNa wewe unafuata huu mkumbo, Fatma Karume ni mjumbe wa bodi ya Wadhamini tangu wakati Manji akiwa Mwenyekiti.
Unamfahamu Bi Fatma Karume vyema.? Au umekurupuka bila kutafakari ukajua ni Shangazi Fatma Karume.?Ha po
Kwa Fatima karume Ni big noww
OOokey sauwaaHapana.....huyu ni mke wa first lady of the first Zanzibar' president
Hayo ya huko kwa watopolo, simba huwezi kukuta ujinga huu.Kamati ya siasa ya Ccm in back ground.
Tunapowaambiaga kila siku hapa timu za Simba na Yanga zinamilikiwa na serikali kuna viziwi huwa hawaelewi.
Bodi ya wadhamini ndio wamiliki wa timu na Mali zote za timu.
Yanga tuna visu mzee.. ushawai muona Bantu Lady Kalpana Antonnia kama malaika haoo ππ.. huyo umemuweka mcheza mpira sio mremboUyo ni bonge la demu wa Yanga queens.View attachment 2667378
Shangazi ni kitukuu cha Fatma Karume, hata hilo jina kapewa la Bibi yake.Sio yule shangazi? Basi nimetengua kauli tayari
Niliwahi kukwambia huna akili ukabisha, leo umeamini kama huna akili?shangazi atawaingiza mkenge hamtaamini
Nimeereuwaaaa....in haya's voiceShangazi ni kitukuu cha Fatma Karume, hata hilo jina kapewa la Bibi yake.
Fatma Karume ndiye mke (mjane) wa Rais wa kwanza wa Zanzibar Sheikh Abeid Amaan Karume.
Naona unataka nseme neno... π€£ π€£ π€£Yanga tuna visu mzee.. ushawai muona Bantu Lady Kalpana Antonnia kama malaika haoo ππ.. huyo umemuweka mcheza mpira sio mrembo
Kwani huyo ni demu?Kwa hiyo madem wa Yanga mnajiona ninyi ni zaidi ya madem wa Simna na wale madem Azam wenye damu za Oman?
Byuti byutiUyo ni bonge la demu wa Yanga queens.View attachment 2667378