Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 60,050
- 104,466
Simba ni timu ya serikali pia, Sunderland iliporwa na serikali uikapewa jina la Kawawa Simba wa vita.Hayo ya huko kwa watopolo, simba huwezi kukuta ujinga huu.
huyu fatuma karume ni huyu wakili au mjane wa raisi wa kwanzaNiliwahi kukwambia huna akili ukabisha, leo umeamini kama huna akili?
Huyo ndio mwenye timu na jengo lileHatufai huyo Fatma karume
Fatma karume au mama ake na Fatma mkuuJF imejaa wajinga wengi, Karume ndiye aliyetowa pesa za Kujenga makao makuu ya Jangwani na makao makuu ya Simba Msimbazi.
Muwe mnauliza vitu ambavyo hamvijui.
Bodi ya wadhamini ndio wamiliki wa timu.
Weka bodi ya Simba na wasifu wao,Wote waajiriwa wa serikali kasoro fatma siku kazi ikiisha hawawezi kusaidia timu mnaanza kutembeza bakuri tena,jifunzeni kwa simba ina bodi strong ya watu maproffessional na wenye makampuni.
Hajui hata ktk Simba bodi imejaa wabunge wa ccmSimba ni timu ya serikali pia, Sunderland iliporwa na serikali uikapewa jina la Kawawa Simba wa vita.
Uliza uambiwe, jiulize kwa nini Dewji ana makampuni zaidi ya 100 lakini mchakato wa kuimiliki Simba umeshindikana?
Bibi yake.Fatma karume au mama ake na Fatma mkuu
Dr mwandamizi
Kalpana ndo mashine mkuu.....kama wale wasudanYanga tuna visu mzee.. ushawai muona Bantu Lady Kalpana Antonnia kama malaika haoo [emoji4][emoji4].. huyo umemuweka mcheza mpira sio mrembo
Hoo nilidhani Yule mwanasheri wa upindeBibi yake.
π π π ebu nimuone huyo kalpanaKalpana ndo mashine mkuu.....kama wale wasudan
pia yule wakili ni fatuma karume haya majina yao yanaleta sintofahamu sana nadhani yanatenganishwa na 'BI'Fatma Karume
Sio bongoHayo ni makasiriko...tungewaona mahakaman kama ingekuwa kweli[emoji23][emoji23][emoji23]
Mzee mkuchika ana kashfa gani?Kati ya hao hakuna mwenye sifa ya uadilifu isipokuwa no. 1 kwa sababu ya uzee. Nchi hii bado tunatukuza mafisadi
Na wewe ni demu?Yanga Ina Kila kitu mkuu hata madem wa yanga ni wakali balaaa. Shoo zetu wanayanga kitandani hazifananishwi na kenge yoyote yule. Yanga bot pale wadau kama wote. Hatuna idadi kubwa ya wasaka ajira na wasiokuwa na kazi. Ndo mana mitandaoni hutuoni sana kuchangia changia
Sintofahamu ni kwako tu si kwa watu wa Yanga au watu wa mpira.pia yule wakili ni fatuma karume haya majina yao yanaleta sintofahamu sana nadhani yanatenganishwa na 'BI'