Yanga inachukia wachezaji walioumia kazini?

Yanga inachukia wachezaji walioumia kazini?

kavulata

JF-Expert Member
Joined
Aug 2, 2012
Posts
13,778
Reaction score
14,214
Sera ya Yanga ya kuachana na wachezaji wake walioumia viwanjani inaidhoofisha yanga. Mwenzako akinyolewa tia zako maji ndicho kinachoendelea kwenye akili za wachezaji.

Wachezaji Yanga wameingiwa na hofu ya kucheza kwa kujituma kwa kuhofia kupata majeraha mabaya, na hii ndio sababu wachezaji wa Yanga wanakuwa wakali sana na hata kujichukulia hatua mkoni dhidi ya wachezaji wanaowachezea vibaya uwanjani. Hofu hii inasababishwa na utamaduni wa yanga wa kuchukia na kuwakataa wachezaji wanaopata majeraha makubwa wakiwa kwenye mazoezi na kwenye mechi. Hawajitumi kwa kuogopa kupata majeraha mabaya yatakayowafukuzisha kibarua.

Yanga imeachana na wachezaji kibao wa aina hiyo wakiwemo akina Mahadhi, Balama, Yacouba na Kambole. Tabia hii haikubaliki kwa wachezaji hasa wale wageni, maana inawafanya wafikirie mara mbilimbili wanapokuwa kiwanjani.

Hakuna namna nyingine ya kukabiliana na wachezaji wenu wanaoumia badala ya kuachana nao?
 
Sera ya Yanga ya kuachana na wachezaji wake walioumia viwanjani inaidhoofisha yanga. Mwenzako akinyolewa tia zako maji ndicho kinachoendelea kwenye akili za wachezaji.

Wachezaji Yanga wameingiwa na hofu ya kucheza kwa kujituma kwa kuhofia kupata majeraha mabaya, na hii ndio sababu wachezaji wa Yanga wanakuwa wakali sana na hata kujichukulia hatua mkoni dhidi ya wachezaji wanaowachezea vibaya uwanjani. Hofu hii inasababishwa na utamaduni wa yanga wa kuchukia na kuwakataa wachezaji wanaopata majeraha makubwa wakiwa kwenye mazoezi na kwenye mechi. Hawajitumi kwa kuogopa kupata majeraha mabaya yatakayowafukuzisha kibarua.

Yanga imeachana na wachezaji kibao wa aina hiyo wakiwemo akina Mahadhi, Balama, Yacouba na Kambole. Tabia hii haikubaliki kwa wachezaji hasa wale wageni, maana inawafanya wafikirie mara mbilimbili wanapokuwa kiwanjani.

Hakuna namna nyingine ya kukabiliana na wachezaji wenu wanaoumia badala ya kuachana nao?
Kwa hiyo ulitaka Yanga iendelee kukaa na hao wachezaji hata kama mikataba yao imekwisha! Kisa tu waliumia wakiwa wanaichezea Yanga!

Hilo jambo halipo. Timu nayo ina malengo yake. Wangekuwa wametelekezwa baada ya kuumia, sawa! Kumbe walipatiwa matibabu sahihi, ila kwa bahati mbaya wameshindwa kurejea katika viwango vyao vya awali, na mikataba yao ikaisha!

Binafsi sioni tatizo kwa kweli. Maisha ya mpira hayako Yanga pekee! Hivyo waende tu kujaribu bahati yao mahali pengine.
 
Sera ya Yanga ya kuachana na wachezaji wake walioumia viwanjani inaidhoofisha yanga. Mwenzako akinyolewa tia zako maji ndicho kinachoendelea kwenye akili za wachezaji.

Wachezaji Yanga wameingiwa na hofu ya kucheza kwa kujituma kwa kuhofia kupata majeraha mabaya, na hii ndio sababu wachezaji wa Yanga wanakuwa wakali sana na hata kujichukulia hatua mkoni dhidi ya wachezaji wanaowachezea vibaya uwanjani. Hofu hii inasababishwa na utamaduni wa yanga wa kuchukia na kuwakataa wachezaji wanaopata majeraha makubwa wakiwa kwenye mazoezi na kwenye mechi. Hawajitumi kwa kuogopa kupata majeraha mabaya yatakayowafukuzisha kibarua.

Yanga imeachana na wachezaji kibao wa aina hiyo wakiwemo akina Mahadhi, Balama, Yacouba na Kambole. Tabia hii haikubaliki kwa wachezaji hasa wale wageni, maana inawafanya wafikirie mara mbilimbili wanapokuwa kiwanjani.

Hakuna namna nyingine ya kukabiliana na wachezaji wenu wanaoumia badala ya kuachana nao?
Morruson watavunja miguu akifanya dharau
 
Sera ya Yanga ya kuachana na wachezaji wake walioumia viwanjani inaidhoofisha yanga. Mwenzako akinyolewa tia zako maji ndicho kinachoendelea kwenye akili za wachezaji.

Wachezaji Yanga wameingiwa na hofu ya kucheza kwa kujituma kwa kuhofia kupata majeraha mabaya, na hii ndio sababu wachezaji wa Yanga wanakuwa wakali sana na hata kujichukulia hatua mkoni dhidi ya wachezaji wanaowachezea vibaya uwanjani. Hofu hii inasababishwa na utamaduni wa yanga wa kuchukia na kuwakataa wachezaji wanaopata majeraha makubwa wakiwa kwenye mazoezi na kwenye mechi. Hawajitumi kwa kuogopa kupata majeraha mabaya yatakayowafukuzisha kibarua.

Yanga imeachana na wachezaji kibao wa aina hiyo wakiwemo akina Mahadhi, Balama, Yacouba na Kambole. Tabia hii haikubaliki kwa wachezaji hasa wale wageni, maana inawafanya wafikirie mara mbilimbili wanapokuwa kiwanjani.

Hakuna namna nyingine ya kukabiliana na wachezaji wenu wanaoumia badala ya kuachana nao?
Balama, Yacouba wamepelekwa mpaka nchi za nje kwa gharama za Yanga kwaajili ya matibabu. Wameachwa kwasababu hawawezi kuwa viwango bora tena.
 
Sera ya Yanga ya kuachana na wachezaji wake walioumia viwanjani inaidhoofisha yanga. Mwenzako akinyolewa tia zako maji ndicho kinachoendelea kwenye akili za wachezaji.

Wachezaji Yanga wameingiwa na hofu ya kucheza kwa kujituma kwa kuhofia kupata majeraha mabaya, na hii ndio sababu wachezaji wa Yanga wanakuwa wakali sana na hata kujichukulia hatua mkoni dhidi ya wachezaji wanaowachezea vibaya uwanjani. Hofu hii inasababishwa na utamaduni wa yanga wa kuchukia na kuwakataa wachezaji wanaopata majeraha makubwa wakiwa kwenye mazoezi na kwenye mechi. Hawajitumi kwa kuogopa kupata majeraha mabaya yatakayowafukuzisha kibarua.

Yanga imeachana na wachezaji kibao wa aina hiyo wakiwemo akina Mahadhi, Balama, Yacouba na Kambole. Tabia hii haikubaliki kwa wachezaji hasa wale wageni, maana inawafanya wafikirie mara mbilimbili wanapokuwa kiwanjani.

Hakuna namna nyingine ya kukabiliana na wachezaji wenu wanaoumia badala ya kuachana nao?
Hakuna timu tanzanua hii inayohudumua wachezaji wake kama yanga
 
Hapana ndugu
Soka la Sasa ni biashara na biashara hiyo inalipa zaidi pale timu inapokuwa kwenye performance nzuri na performance nzuri inaletwa na wachezaji walio na afya njema ya akili na mwili....

Yanga haiwaachi wachezaji walioumia kwa kuwa inawachukia bali ni process ya kawaida katika maboresho ya timu hii ipo hata kwenye vilabu vikubwa duniani.....ndio club Ina ajiri wataalamu wa kila aina ili tu kuhakikisha wachezaji wanakuwa na afya bora zaidi na kuipa timu mafanikio......

Inatokea tu kuwa mbadala wake baada yeye kuumia anakuwa bora kuliko yeye na timu inakuwa haina jinsi zaidi ya kuutua mzigo kwa kumuondoa kikosini na kumlipa stahiki zake zote....kwani kwa jicho la kiuchumi ni kwamba huyo mchezaji anaitia hasara klabu kinyume na matarajio ya timu......

Hata maofisini humo kwenye mikataba ya kazi kuna changamoto za kiafya zinazo qualify ku terminate mkataba kwa faida ya kampuni

Tunaishi katika Dunia ya kibepali Sasa lazima tuzibadillishe akili zetu
 
Yanga imekaa na Mahadhi kwa muda mrefu sana akiwa benchi na akiendelea na matibabu, imefanya hivyo kwa Mapinduzi, Sogne na wengine wengi tu...

Tuache kuandika mada kwa mitazamo ya uSimba vs uYanga...

Hata katika taasisi za kazi, waliokuwa unfit huwa wanawekwa kando na kupewa kiinua mgongo waendelee na maisha mengine...
 
Kwa hiyo ulitaka Yanga iendelee kukaa na hao wachezaji hata kama mikataba yao imekwisha! Kisa tu waliumia wakiwa wanaichezea Yanga!

Hilo jambo halipo. Timu nayo ina malengo yake. Wangekuwa wametelekezwa baada ya kuumia, sawa! Kumbe walipatiwa matibabu sahihi, ila kwa bahati mbaya wameshindwa kurejea katika viwango vyao vya awali, na mikataba yao ikaisha!

Binafsi sioni tatizo kwa kweli. Maisha ya mpira hayako Yanga pekee! Hivyo waende tu kujaribu bahati yao mahali pengine.
Kambole mkataba umeisha kumbe
 
Kambole mkataba umeisha kumbe
Kwani ni lazima mkataba wake na Yanga uishe? Hauwezi kusitishwa kwa sababu zozote zile!

Mbona Zolan alisaini mkataba wa mwaka mmoja na simba, na akahudumu kwa miezi 2 tu, na akatimka zake!

Kwa nini iwe nongwa kwa huyo Kambole!
 
Kwani ni lazima mkataba wake na Yanga uishe? Hauwezi kusitishwa kwa sababu zozote zile!

Mbona Zolan alisaini mkataba wa mwaka mmoja na simba, na akahudumu kwa miezi 2 tu, na akatimka zake!

Kwa nini iwe nongwa kwa huyo Kambole!
dirisha limeshafungwa ataenda wapi?
 
Hii ndiyo tabia inayosababisha wachezaji wetu hawajitumi 100% wakiwa kwenye timu zetu kama wanavyojituma wakiwa timu za ulaya, Afrika ni hatari sana kama mchezaji ataumia, lakini ni hatari zaidi huku Tanzania na zaidi zaidi kule Yanga.
 
Back
Top Bottom