Yanga inahitaji sajili 4 bora za uhakika ili kuwa na timu kamili

Nungunungu The Great anawatosha!
 
Quality kweli huzungumza, wale jamaa (ahly) hata wakifungwa unaona kabisa ubora wa watu walionao hii inanikumbusha mazembe ilee, quality zipo ni scouting nzuri na kumwaga pesa.
 

Hata siku moja popote duniani huwezi kupata striker au hata kocha bora kwenye dirisha dogo! Utapata makabradha tu!
 
Jana aziz ki alitakiwa atoke mchango wake ulikuwa Mdogo na ameshatoka mara nyingi sana mechi zilizopita , sijui gamondi alimsahau vipi akamtoa nzengeli 😁ni maajabu ya Mpira wakati mungine kama yale ya mchezaji kufanya rafu kadi akapewa mungine.

Moloko ni mchezaji mzuri wa ku press asitolewe .
Skudu Naye hajapata nafasi ya kutosha

Konkoni out
 
Hivi mfano angetoka Aziz Ki je nafasi yake angechukua nani pale benchi?
 
Baada ya kufungwa na Medeama week ijayo tutamlakamikia pia hersi, mdhamini, na tff
 
Yanga imepata pengo la Mayele tu
Timu ibaki hiyohiyo umrejeshe Mayele tu ubingwa wa Africa mnachukua.
Jana Yanga ilicheza na mshindani mwenye misuli mikubwa ndio maana mmeyaona hayo mapungufu.
 
Quality kweli huzungumza, wale jamaa (ahly) hata wakifungwa unaona kabisa ubora wa watu walionao hii inanikumbusha mazembe ilee, quality zipo ni scouting nzuri na kumwaga pesa.
Ile kauli kuwa Ahly ni wachovu mnaikana?!
 
Aziz Ki anataka kila mara afanye dribbling, take on, badala ya kufanya quick one touch passing.
Anapokaa na mpira muda mrefu adui wanjipanga, wanarudi kuziba nafasi.

Max mzuri sana lakini siyo big game player. Anapotea kwenye big occasions, kama jana na Al Ahly alipotea alitakiwa afanyiwe substitution mapema sana.
Pacome ni big game player.
 
Wakati nzegeli anasaidia sana kukaba alafu nzegeli ni mzuri akicheza lile eneo la aziz ki kuliko akicheza winga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…