Yanga inahitaji sajili 4 bora za uhakika ili kuwa na timu kamili

Yanga inahitaji sajili 4 bora za uhakika ili kuwa na timu kamili

Kocha mzuri huyu, aina yake ya mpira ni mzuri isipokuwa wachezaji waliokamilika hana. Kwenye upande wa safu ya ushambuliaji hana striker wa kujua kuji position na akapewa pasi mpenyezo. Pacome, Yao na Zengeli pamoja na Aziz Ki pekee ndio tegemeo wa kuleta matokeo.
Huyu kocha kama mapungufu aliyosema mleta mada kuhusu usajili utafanyiwa kazi na kuja watu watakaofiti timu itafika mbali sana.

Mechi ya jana Aziz Ki kachoka, max kachoka, Mzize kachoka, je kwenye benchi una mchezaji gani mwenye quality sawa sawa na hao wanaoweza kucheza dhidi ya Al Ahly?
Nyie vigeugeu sana. Si mlisema mna timu bora haya maneno yote yanatoka wapi? Tena mlisema Al Ahly anakufa nje ndani🤣🤣
 
Namaanisha aucho asogee awe Central midfielder atoke huku kwenye holding, asajiliwe holding midfielder akikosekana holding basi asajiliwe deffensive midfilder wa viwango
Hivi au mm ndo sielewi hizi position za wachezaji?
Umeongelea Central Midfielder, Holding Midfielder na Defensive midfielder.

Navyofaham mm, CDM ndo number 6 mwenyewe na hucheza mbele ya back 4, Holding ndo number 8 mwenyewe nae hucheza mbele ya no 6 au nyuma ya no 10 ingawa 6 na 8 wote hucheza interchangeably.

No 8 kazi yake ndo ile umesema kupiga pass fupi fupi na ndefu kuichezesha tem ndo maana anaitwa holding. Huamua tem ichezeje na ndo kazi anaifanya Aucho pale yanga ingawa pia hucheza kama CDM kwenye double pivot wakisaidiana na Mudathir au Mauya.

Labda mnisahihishe wajuzi wa boli.
 
Kufundisha soka bongo taabu kwelikweli. Kila shabiki ni kocha. Sijui kwanini vilabu vinaingia gharama kubwa kuleta makocha wa bei mbaya wakati vingeweza kuchukua shabiki kama wewe ukawa kocha.
Mimi nimecheza mpira ligi daraja la pili kwahiyo naujua mpira kuliko wewe hapo,na pia mimi ni shabiki wa yanga kuna upuuzi mwingi huwa unafanyika huo lazima tuukemee
 
Wakati nzegeli anasaidia sana kukaba alafu nzegeli ni mzuri akicheza lile eneo la aziz ki kuliko akicheza winga
Half time yanga iliongoza possession 54% Ahly 46% sababu ya nzengeli na Pacome katikati .
Hata hivyo sub ya musonda ilichangia kwa kutoa assist lakini ingependaza atoke aziz ki badala ya Musonda.
 
Aziz Ki anataka kila mara afanye dribbling, take on, badala ya kufanya quick one touch passing.
Anapokaa na mpira muda mrefu adui wanjipanga, wanarudi kuziba nafasi.

Max mzuri sana lakini siyo big game player. Anapotea kwenye big occasions, kama jana na Al Ahly alipotea alitakiwa afanyiwe substitution mapema sana.
Pacome ni big game player.
Kabla ya lomalisa kutoka Max alikuwa akicheza vizuri kutoka kwa lomalisa kuliharibu game plan na role ya max kupotea
 
Alipaswa atoke aziz ki aingie mudathir alafu pacome asogee juu alipokuwa aziz ki na mudathir acheze eneo alilokuwa pacome.

Mudathir anakaba na ni mpambanaji sana, na pacome hivo hivo.

Aziz ki hakabi kabsa anatembea tu.

Kitu kingine yule maxi tunakosa ubora wake halisi kumchezesha pemben nafkir maxi anapswa kucheza lile eneo la aziz ki kwasabab maxi yupo faster na maamuzi yake na kazi anayo. Anagalia ile mechi ya wiki ya mwananchi maxi alicheza eneo hilo.

Aziz ki mechi ngumu hapaswi kuanza
Pacome angeshuka chini acheze na aucho max acheze nafasi ya azizi ki
 
Me kama mwana yanga napendekeza au kutoa ushauri kwa rais hersi kufanya sajili za wachezaji kama ifuatavyo.

1. Striker, yanga inahitaji mfungaji mwenye ubora anaeweza kumililiki mpira,kufunga na mwenye nguvu. Hawana kina mzize sio wa wabovu ila ligi ya mabingwa hawana uwezo huo.

2. Kiungo mkabaji halisi au holding midfielder, sana sana apatikane holding midfielder mwenye ubora, aucho anapendeza kucheza kama Central midfielder na sio kama anavotumika pale yanga kama holding midfilder.

Kabla sijaendelea nieleze kidgo tofauti ya holding midfielder na Central midfielder na sifa zao.
-Holding midfielder ni kiungo ambaye eneo lake ni mbele ya mabeki na majukumu yake kuichezesha team kutokea chini na kusaidia kukaba, sifa zao wanakuwa na uwezo mzuri wakupiga pasi fupi na ndefu .

Central midfielder huyu ni kiungo wa kati na majukumu ya ni kuichezesha team kupitia yeye hapo kati kati ya uwanja, kiungo huyu huunganisha team team kutoka nyuma kwenda mbele na sifa zake ni awe mzuri ktk kupiga pasi za uhakika fupi fupi na ndefu, huyu ndo anaamua team ichezeje kutokana na uwezo wake wa kulitawala dimba na pasi zake za uhakika.

Ukiangalia sifa zao hapo utagundua kwanza aucho ni mzuri wa kupiga pasi sahihi na ni mchezaji anayelazimisha team iende mbele kwa pasi zake, ni mara chache sana aucho kupiga back pass.

Aucho hana kasi sana kumchezesha nyuma ndomna mara nyingi anapigwa sana kadi za njano akipitwa anacheza rafu,

Asajiliwe holding midfielder ili aucho apogee awe Central midfielder na pacome acheze eneo la aziz ki.

Winga mbunifu, moloko ni winga wa kizaman sana anapswa kuachwa haraka sana anaziba nafasi za wachezaji wa kimataifa, tunahitaji winga mwenye uwezo wa kulifata box la adui akiwa na mpira na mwenye kasi. Muangalie yule hussein el shehat wa Al ahly hawa ndo mawinga wa kisasa. Yanga itafute winga wa maana iachane na huyu moloko.

Beki 3 mwenye nguvu za kupanda na kushuka kama yao, huyu lomalisa mzuri sawa lkn nafikir anahitajika mbadala wake kama yule haji mwinyi.

Kingine kocha aache kukariri kwamba lazima aziz ki acheze, mechi hizi za kimatafa kwa uchezaji wa aziz ki wa kuchelewa kufanya maamuz tutamlaumu tu. Mechi kama Al ahly mtu kama max anapaswa kucheza lile eneo la aziz ki kwasabab max yupo faster sana hapotez muda kukaa na mpira na ana maamuz ya haraka sana kwenda mbele.
Umeshauri kitaalam sana. Na maoni yako ni sahihi kwa 💯%.
 
Acha ushabiki mandazi
Mimi sio shabiki mpuuzi kama wewe ambao munageuzwa na wapuuzi wakina alikamwe na privaldinho wasioujua hata kupiga danadana mara muvae msuli mara dakika ya saba musimame mara kuweka bango la goli 5 huu ni zaidi ya upuuzi na ujuha,unajua kabisa unataka kushiriki champion league halafu eti una wachezaji kama mzize,musonda na konkon
 
Nyie vigeugeu sana. Si mlisema mna timu bora haya maneno yote yanatoka wapi? Tena mlisema Al Ahly anakufa nje ndani[emoji1787][emoji1787]
Nilisema lini? Angalia hapa niliongea nini tangia mwezi wa nane baada ya mechi ya gao ya jamii nilisema kipi.

 
Hivi au mm ndo sielewi hizi position za wachezaji?
Umeongelea Central Midfielder, Holding Midfielder na Defensive midfielder.

Navyofaham mm, CDM ndo number 6 mwenyewe na hucheza mbele ya back 4, Holding ndo number 8 mwenyewe nae hucheza mbele ya no 6 au nyuma ya no 10 ingawa 6 na 8 wote hucheza interchangeably.

No 8 kazi yake ndo ile umesema kupiga pass fupi fupi na ndefu kuichezesha tem ndo maana anaitwa holding. Huamua tem ichezeje na ndo kazi anaifanya Aucho pale yanga ingawa pia hucheza kama CDM kwenye double pivot wakisaidiana na Mudathir au Mauya.

Labda mnisahihishe wajuzi wa boli.
Kwakua umetaka kueleweshwa ngoja nikueleweshe, Holding midfielder sio namba 8, holding midfielder huwa pale mbele ya mabeki, ni kama DM lkn tofauti ni majukumu yao.

DM majukumu yake namba 1 uwanjani ni kukaba, hawa hawana majukumu ya kushambulia lbda kama ziada tu , ila jukumu lao namba 1 ni kukaba, DM huwa anazunguka sana uwanjan kuutafuta mpira na ndo jukumu lake namba 1 uwanjani ila eneo lake ni pale mbele ya mabeki mfano halisi muanglie ngolo kante .

Holding midfielder na yeye eneo lake ni hilo hilo kama DM ila majukumu yake ni tofauti, Holding midfielder yeye majukum yake ni kuichezesha team kutokea huku chini na huwa hana movement nying uwanjan kama DM. Alafu holding midfielder sio lazma awe na mwili au manguvu ila at awe na uwezo wa kupiga ndefu na fupi, ni mtu anayeanzisha mashambuliz kutokea chini, mfano kwa bongo ni mkude au alonso kama ulimuona enzi zake.

Sasa kitu kingine kila kocha na mfumo wake anaouamini, kuna makocha wanapenda kutumia holding midfielder na kuna ambao wanapenda kutumia DM au wapo ambao huwatumia wote kwa pamoja.

Kwa mfano yanga ya nabi ilikua ikimtumia bangala kama holding midfilder wakicheza na aucho eneo hilo wakiwa na majukumu sawa.
 
Kwakua umetaka kueleweshwa ngoja nikueleweshe, Holding midfielder sio namba 8, holding midfielder huwa pale mbele ya mabeki, ni kama DM lkn tofauti ni majukumu yao.

DM majukumu yake namba 1 uwanjani ni kukaba, hawa hawana majukumu ya kushambulia lbda kama ziada tu , ila jukumu lao namba 1 ni kukaba, DM huwa anazunguka sana uwanjan kuutafuta mpira na ndo jukumu lake namba 1 uwanjani ila eneo lake ni pale mbele ya mabeki mfano halisi muanglie ngolo kante .

Holding midfielder na yeye eneo lake ni hilo hilo kama DM ila majukumu yake ni tofauti, Holding midfielder yeye majukum yake ni kuichezesha team kutokea huku chini na huwa hana movement nying uwanjan kama DM. Alafu holding midfielder sio lazma awe na mwili au manguvu ila at awe na uwezo wa kupiga ndefu na fupi, ni mtu anayeanzisha mashambuliz kutokea chini, mfano kwa bongo ni mkude au alonso kama ulimuona enzi zake.

Sasa kitu kingine kila kocha na mfumo wake anaouamini, kuna makocha wanapenda kutumia holding midfielder na kuna ambao wanapenda kutumia DM au wapo ambao huwatumia wote kwa pamoja.

Kwa mfano yanga ya nabi ilikua ikimtumia bangala kama holding midfilder wakicheza na aucho eneo hilo wakiwa na majukumu sawa.
Kiufupi ni kwamba holding midfielder na DM wote eneo lao ni hapo mbele ya mabeki ila tofauti ni majukum yao uwanjani.

Alafu huo mpira wa kutaka sijui namba 8 ni mpira wa kizaman na ilitokana mfumo maarufu wa enzi hizo 4 4 2.

Kwasasa mifumo ndo inacheza, mfano Makocha wengi hutumia wachezaji wawili mbele ya mabeki, hata simba na yanga wanapenda kutumia hii mifumo,mechi za ligi gamond huwatumia aucho na mudathir eneo hilo.. mudathir huwa ana movement nying sana uwanjan ila aucho huwa hana movement nying uwanjan, anachokifany ni kuchezesha team kutokea huku chini na mudathir anakaba zaid na kusaidia ktk kushambulia.

Lkn maoni yangu yanabaki pale pale aucho ni mzuri akicheza central midfielder. Kwasababa atakua eneo la kati pale ataichezesha team vzr kutokana na uwezo wake wa pasi fupi fup na pia ataepuka kadi nying za njano.
 
Taratibu naiona yanga ikiua vipaji vya sure boy na moloko.
Sure boy anakalia mbao akina mauya wanapata namber maajab haya.
 
Hivi kwann wabingo tukishapata matokeo tuliokua hatutarajii basi ndio tunaona ubovu wa kikosi au mapungufu ila kabla ya hapo mtu anajiamini na kusifu timu imekamilika inakikosi kipana
Ni mashabiki wa soka dunia nzima hasa nchi za mpira tena si tuna nafuu lakini nchi zote zenye amsha amsha za mpira huwa mechi ikiisha lazima maoni yawe mengi
Ndio maana Bayern Kila Leo wanabadili kocha Chelsea ndio kabisa PSG nadhani mwenyewe huwa unaona
Ni kwamba mashabiki Wana push kupata kilicho bora kama haya huyapendi shabikia Azam hutasikia shida
 
Mimi nimecheza mpira ligi daraja la pili kwahiyo naujua mpira kuliko wewe hapo,na pia mimi ni shabiki wa yanga kuna upuuzi mwingi huwa unafanyika huo lazima tuukemee
Hata usingecheza haki ya kutoa maoni ni Yako na ndio inayoleta mabadiliko kuliko kukaa kimya kama mtu anataka team isiyokosolewa basi Azam IPO
Ila Jana yanga Kuna makosa yalikuwa wazi sana kama ilivyokuwa kule Algeria lazima yasemwe
Sub zilichelewa
Strikers bado hawatoshi
Winga alihitajika sana
Beki namba 3 anahitajika sana kibabage ni level ya ligi kuu na FA
 
Alipaswa atoke aziz ki aingie mudathir alafu pacome asogee juu alipokuwa aziz ki na mudathir acheze eneo alilokuwa pacome.

Mudathir anakaba na ni mpambanaji sana, na pacome hivo hivo.

Aziz ki hakabi kabsa anatembea tu.

Kitu kingine yule maxi tunakosa ubora wake halisi kumchezesha pemben nafkir maxi anapswa kucheza lile eneo la aziz ki kwasabab maxi yupo faster na maamuzi yake na kazi anayo. Anagalia ile mechi ya wiki ya mwananchi maxi alicheza eneo hilo.

Aziz ki mechi ngumu hapaswi kuanza
Huyuhuyu Aziz K au mwingine?!?? Uto ktk ubora wako!
 
Tulikubaliana Simba ni mbovu ila nyie mko imara mtampiga yoyote, vipi nini kimetokea?.
Ulikubaliana na nani?
Mashabiki wengine wasimba ni washamba sana.
Wenzio wanaongea point wewe unaleta upupu.
Mnaifanya Simba yetu kuonekana ina mashabiki mbumbumbu.
 
Me kama mwana yanga napendekeza au kutoa ushauri kwa rais hersi kufanya sajili za wachezaji kama ifuatavyo.

1. Striker, yanga inahitaji mfungaji mwenye ubora anaeweza kumililiki mpira,kufunga na mwenye nguvu. Hawana kina mzize sio wa wabovu ila ligi ya mabingwa hawana uwezo huo.

2. Kiungo mkabaji halisi au holding midfielder, sana sana apatikane holding midfielder mwenye ubora, aucho anapendeza kucheza kama Central midfielder na sio kama anavotumika pale yanga kama holding midfilder.

Kabla sijaendelea nieleze kidgo tofauti ya holding midfielder na Central midfielder na sifa zao.
-Holding midfielder ni kiungo ambaye eneo lake ni mbele ya mabeki na majukumu yake kuichezesha team kutokea chini na kusaidia kukaba, sifa zao wanakuwa na uwezo mzuri wakupiga pasi fupi na ndefu .

Central midfielder huyu ni kiungo wa kati na majukumu ya ni kuichezesha team kupitia yeye hapo kati kati ya uwanja, kiungo huyu huunganisha team team kutoka nyuma kwenda mbele na sifa zake ni awe mzuri ktk kupiga pasi za uhakika fupi fupi na ndefu, huyu ndo anaamua team ichezeje kutokana na uwezo wake wa kulitawala dimba na pasi zake za uhakika.

Ukiangalia sifa zao hapo utagundua kwanza aucho ni mzuri wa kupiga pasi sahihi na ni mchezaji anayelazimisha team iende mbele kwa pasi zake, ni mara chache sana aucho kupiga back pass.

Aucho hana kasi sana kumchezesha nyuma ndomna mara nyingi anapigwa sana kadi za njano akipitwa anacheza rafu,

Asajiliwe holding midfielder ili aucho apogee awe Central midfielder na pacome acheze eneo la aziz ki.

Winga mbunifu, moloko ni winga wa kizaman sana anapswa kuachwa haraka sana anaziba nafasi za wachezaji wa kimataifa, tunahitaji winga mwenye uwezo wa kulifata box la adui akiwa na mpira na mwenye kasi. Muangalie yule hussein el shehat wa Al ahly hawa ndo mawinga wa kisasa. Yanga itafute winga wa maana iachane na huyu moloko.

Beki 3 mwenye nguvu za kupanda na kushuka kama yao, huyu lomalisa mzuri sawa lkn nafikir anahitajika mbadala wake kama yule haji mwinyi.

Kingine kocha aache kukariri kwamba lazima aziz ki acheze, mechi hizi za kimatafa kwa uchezaji wa aziz ki wa kuchelewa kufanya maamuz tutamlaumu tu. Mechi kama Al ahly mtu kama max anapaswa kucheza lile eneo la aziz ki kwasabab max yupo faster sana hapotez muda kukaa na mpira na ana maamuz ya haraka sana kwenda mbele.

Yanga haina Tatizo lolote kwa Sasa
 
Back
Top Bottom