Yanga inahitaji sajili 4 bora za uhakika ili kuwa na timu kamili

Yanga inahitaji sajili 4 bora za uhakika ili kuwa na timu kamili

Hivi mfano angetoka Aziz Ki je nafasi yake angechukua nani pale benchi?
Alipaswa atoke aziz ki aingie mudathir alafu pacome asogee juu alipokuwa aziz ki na mudathir acheze eneo alilokuwa pacome.

Mudathir anakaba na ni mpambanaji sana, na pacome hivo hivo.

Aziz ki hakabi kabsa anatembea tu.

Kitu kingine yule maxi tunakosa ubora wake halisi kumchezesha pemben nafkir maxi anapswa kucheza lile eneo la aziz ki kwasabab maxi yupo faster na maamuzi yake na kazi anayo. Anagalia ile mechi ya wiki ya mwananchi maxi alicheza eneo hilo.

Aziz ki mechi ngumu hapaswi kuanza
 
Mimi ni yanga na nimekuelewa vyema kabisa hakika umenena kitaalamu ila pia apo kwenye kocha mwishoni unaonaje uyu jamaa tukamuacha maana ni kama ana mbinu za kizamani kama moloko naona kocha hana trick nzuri ji rahisi sana kumsoma na kumjia na majibu
Hili ndilo mapingana sana wenzangu mimi Gamondi mpaka sasa haiipa yanga kitu tunachokitegemea
 
Aziz Ki anataka kila mara afanye dribbling, take on, badala ya kufanya quick one touch passing.
Anapokaa na mpira muda mrefu adui wanjipanga, wanarudi kuziba nafasi.

Max mzuri sana lakini siyo big game player. Anapotea kwenye big occasions, kama jana na Al Ahly alipotea alitakiwa afanyiwe substitution mapema sana.
Pacome ni big game player.
Maxi kumchezesha pemben ndo tatzo mechi ngum utamlaum bure tu, hata yeye maxi alisha hojiwa akasema anapenda kucheza nyuma ya mshambuliaji lile eneo la aziz ki.

Angalia hata ile week ya mwananchi alicheza eneo hilo. Na pia maxi anajituma sana akicheza eneo hilo ana press kwa nguvu na mabeki wanaweza fanya makosa tofauti na aziz anatembea tu
 
Yanga ilipoifunga Simba magoli 5, baadhi ya mashabiki wasiojua soka vyema wakavimba vichwa. Wakaona Yanga sasa imekamilika kwa kila kitu. Wakifikiri wataweza kuwafunga miamba mingine ya soka Afrika kirahisi tu. Bado kuna kazi kubwa ya kufanya ndani na nje ya uwanja ili kuifanya timu hii iwe miongoni mwa miamba ya soka Afrika. Na inawezekana endapo kila mdau wa timu hii atatimiza wajibu wake ipasavyo.
Ila tano ni balaaa
 
Maxi kumchezesha pemben ndo tatzo mechi ngum utamlaum bure tu, hata yeye maxi alisha hojiwa akasema anapenda kucheza nyuma ya mshambuliaji lile eneo la aziz ki.

Angalia hata ile week ya mwananchi alicheza eneo hilo. Na pia maxi anajituma sana akicheza eneo hilo ana press kwa nguvu na mabeki wanaweza fanya makosa tofauti na aziz anatembea tu
Yaani hii yote ni kutoka droo na al ahly ndio inafanya uwaone aziz ki na gamondi hawafai? Inavyoonekana unaichukulia poa sana al ahly kwamba ni timu ya kawaida na yanga ilikuwa lazima ishinde
 
Jana aziz ki alitakiwa atoke mchango wake ulikuwa Mdogo na ameshatoka mara nyingi sana mechi zilizopita , sijui gamondi alimsahau vipi akamtoa nzengeli 😁ni maajabu ya Mpira wakati mungine kama yale ya mchezaji kufanya rafu kadi akapewa mungine.

Moloko ni mchezaji mzuri wa ku press asitolewe .
Skudu Naye hajapata nafasi ya kutosha

Konkoni out
Nilipoona yanga kuna utoto ni aliposajiliwa makudubela
 
Me kama mwana yanga napendekeza au kutoa ushauri kwa rais hersi kufanya sajili za wachezaji kama ifuatavyo.

1. Striker, yanga inahitaji mfungaji mwenye ubora anaeweza kumililiki mpira,kufunga na mwenye nguvu. Hawana kina mzize sio wa wabovu ila ligi ya mabingwa hawana uwezo huo.

2. Kiungo mkabaji halisi au holding midfielder, sana sana apatikane holding midfielder mwenye ubora, aucho anapendeza kucheza kama Central midfielder na sio kama anavotumika pale yanga kama holding midfilder.

Kabla sijaendelea nieleze kidgo tofauti ya holding midfielder na Central midfielder na sifa zao.
-Holding midfielder ni kiungo ambaye eneo lake ni mbele ya mabeki na majukumu yake kuichezesha team kutokea chini na kusaidia kukaba, sifa zao wanakuwa na uwezo mzuri wakupiga pasi fupi na ndefu .

Central midfielder huyu ni kiungo wa kati na majukumu ya ni kuichezesha team kupitia yeye hapo kati kati ya uwanja, kiungo huyu huunganisha team team kutoka nyuma kwenda mbele na sifa zake ni awe mzuri ktk kupiga pasi za uhakika fupi fupi na ndefu, huyu ndo anaamua team ichezeje kutokana na uwezo wake wa kulitawala dimba na pasi zake za uhakika.

Ukiangalia sifa zao hapo utagundua kwanza aucho ni mzuri wa kupiga pasi sahihi na ni mchezaji anayelazimisha team iende mbele kwa pasi zake, ni mara chache sana aucho kupiga back pass.

Aucho hana kasi sana kumchezesha nyuma ndomna mara nyingi anapigwa sana kadi za njano akipitwa anacheza rafu,

Asajiliwe holding midfielder ili aucho apogee awe Central midfielder na pacome acheze eneo la aziz ki.

Winga mbunifu, moloko ni winga wa kizaman sana anapswa kuachwa haraka sana anaziba nafasi za wachezaji wa kimataifa, tunahitaji winga mwenye uwezo wa kulifata box la adui akiwa na mpira na mwenye kasi. Muangalie yule hussein el shehat wa Al ahly hawa ndo mawinga wa kisasa. Yanga itafute winga wa maana iachane na huyu moloko.

Beki 3 mwenye nguvu za kupanda na kushuka kama yao, huyu lomalisa mzuri sawa lkn nafikir anahitajika mbadala wake kama yule haji mwinyi.

Kingine kocha aache kukariri kwamba lazima aziz ki acheze, mechi hizi za kimatafa kwa uchezaji wa aziz ki wa kuchelewa kufanya maamuz tutamlaumu tu. Mechi kama Al ahly mtu kama max anapaswa kucheza lile eneo la aziz ki kwasabab max yupo faster sana hapotez muda kukaa na mpira na ana maamuz ya haraka sana kwenda mbele.
Ifikie hatua mashabiki muwe na kiasi na shukrani pia. Hiyo timu mnayotaka ishinde kila mechi haipo ktk dunia hii. Labda msajili malaika. Wala yanga haina uhitaji huo unaoutaka. Unasahau kuwa imekutana na timu bora Africa.
 
Nilipoona yanga kuna utoto ni aliposajiliwa makudubela

Alipaswa atoke aziz ki aingie mudathir alafu pacome asogee juu alipokuwa aziz ki na mudathir acheze eneo alilokuwa pacome.

Mudathir anakaba na ni mpambanaji sana, na pacome hivo hivo.

Aziz ki hakabi kabsa anatembea tu.

Kitu kingine yule maxi tunakosa ubora wake halisi kumchezesha pemben nafkir maxi anapswa kucheza lile eneo la aziz ki kwasabab maxi yupo faster na maamuzi yake na kazi anayo. Anagalia ile mechi ya wiki ya mwananchi maxi alicheza eneo hilo.

Aziz ki mechi ngumu hapaswi kuanza
Kufundisha soka bongo taabu kwelikweli. Kila shabiki ni kocha. Sijui kwanini vilabu vinaingia gharama kubwa kuleta makocha wa bei mbaya wakati vingeweza kuchukua shabiki kama wewe ukawa kocha.
 
Tatizo kubwa la Yanga ni
1. Kiungo wa ukabaji DM

2. Azizi ki huyu ni tatizo na ndo moja ya watu wanao sababisha tuone Yanga tuna tatizo la strikes japo tatizo lipo ila sio kubwa kwa kiasi hicho hata kama ataletwa striker wa namna gani ila kama azizi ki akiendelea kucheza no 10 tatizo litabaki palepale.
 
Yaani hii yote ni kutoka droo na al ahly ndio inafanya uwaone aziz ki na gamondi hawafai? Inavyoonekana unaichukulia poa sana al ahly kwamba ni timu ya kawaida na yanga ilikuwa lazima ishinde
Ww hebu toa ukilaza wako hapa, wapi nimesema hawafai? Unajua maana ya maoni kweli ww?

Me kama mwana yanga nimetoa maon yangu tu na nimenukuu maxi alihojiwa na mwanasport akasema ana enjoy kucheza kati kati kuliko pemben. sasa hapo unavonilisha maneno ya kijinga una maana gn!!
 
Ifikie hatua mashabiki muwe na kiasi na shukrani pia. Hiyo timu mnayotaka ishinde kila mechi haipo ktk dunia hii. Labda msajili malaika. Wala yanga haina uhitaji huo unaoutaka. Unasahau kuwa imekutana na timu bora Africa.
Kwani umeona nimesema kuna team isiyofungwa? Hayo ni maon yangu ili kuboresha yanga iwe bora zaidi.

Ww kaa na ujinga wako wa kuamini yanga haina mapungufu ktk kikos
 
Me kama mwana yanga napendekeza au kutoa ushauri kwa rais hersi kufanya sajili za wachezaji kama ifuatavyo.

1. Striker, yanga inahitaji mfungaji mwenye ubora anaeweza kumililiki mpira,kufunga na mwenye nguvu. Hawana kina mzize sio wa wabovu ila ligi ya mabingwa hawana uwezo huo.

2. Kiungo mkabaji halisi au holding midfielder, sana sana apatikane holding midfielder mwenye ubora, aucho anapendeza kucheza kama Central midfielder na sio kama anavotumika pale yanga kama holding midfilder.

Kabla sijaendelea nieleze kidgo tofauti ya holding midfielder na Central midfielder na sifa zao.
-Holding midfielder ni kiungo ambaye eneo lake ni mbele ya mabeki na majukumu yake kuichezesha team kutokea chini na kusaidia kukaba, sifa zao wanakuwa na uwezo mzuri wakupiga pasi fupi na ndefu .

Central midfielder huyu ni kiungo wa kati na majukumu ya ni kuichezesha team kupitia yeye hapo kati kati ya uwanja, kiungo huyu huunganisha team team kutoka nyuma kwenda mbele na sifa zake ni awe mzuri ktk kupiga pasi za uhakika fupi fupi na ndefu, huyu ndo anaamua team ichezeje kutokana na uwezo wake wa kulitawala dimba na pasi zake za uhakika.

Ukiangalia sifa zao hapo utagundua kwanza aucho ni mzuri wa kupiga pasi sahihi na ni mchezaji anayelazimisha team iende mbele kwa pasi zake, ni mara chache sana aucho kupiga back pass.

Aucho hana kasi sana kumchezesha nyuma ndomna mara nyingi anapigwa sana kadi za njano akipitwa anacheza rafu,

Asajiliwe holding midfielder ili aucho apogee awe Central midfielder na pacome acheze eneo la aziz ki.

Winga mbunifu, moloko ni winga wa kizaman sana anapswa kuachwa haraka sana anaziba nafasi za wachezaji wa kimataifa, tunahitaji winga mwenye uwezo wa kulifata box la adui akiwa na mpira na mwenye kasi. Muangalie yule hussein el shehat wa Al ahly hawa ndo mawinga wa kisasa. Yanga itafute winga wa maana iachane na huyu moloko.

Beki 3 mwenye nguvu za kupanda na kushuka kama yao, huyu lomalisa mzuri sawa lkn nafikir anahitajika mbadala wake kama yule haji mwinyi.

Kingine kocha aache kukariri kwamba lazima aziz ki acheze, mechi hizi za kimatafa kwa uchezaji wa aziz ki wa kuchelewa kufanya maamuz tutamlaumu tu. Mechi kama Al ahly mtu kama max anapaswa kucheza lile eneo la aziz ki kwasabab max yupo faster sana hapotez muda kukaa na mpira na ana maamuz ya haraka sana kwenda mbele.
Hivi kwann wabingo tukishapata matokeo tuliokua hatutarajii basi ndio tunaona ubovu wa kikosi au mapungufu ila kabla ya hapo mtu anajiamini na kusifu timu imekamilika inakikosi kipana
 
Kocha mzuri huyu, aina yake ya mpira ni mzuri isipokuwa wachezaji waliokamilika hana. Kwenye upande wa safu ya ushambuliaji hana striker wa kujua kuji position na akapewa pasi mpenyezo. Pacome, Yao na Zengeli pamoja na Aziz Ki pekee ndio tegemeo wa kuleta matokeo.
Huyu kocha kama mapungufu aliyosema mleta mada kuhusu usajili utafanyiwa kazi na kuja watu watakaofiti timu itafika mbali sana.

Mechi ya jana Aziz Ki kachoka, max kachoka, Mzize kachoka, je kwenye benchi una mchezaji gani mwenye quality sawa sawa na hao wanaoweza kucheza dhidi ya Al Ahly?

La mwisho ni kwamba msimu uliopita benchi la Yanga lilikuwa na mtu wa kuwasoma wapinzani (match analyst) lilikuwa pamoja na Nabi ila safari hii uongozi hawakufanya tena hivyo. Uongozi unapaswa kuajiri match analyst tena.
Mechi analyst yupo mkuu. Si wamemleta Msouth Afrika aliyechukua nafasi ya yule Mwarabu. Kimsingi kwa mimi sehehmu ya kuboresha ni striker tu. Middle zipo Akina Mauya, Muda, Sure boy na Mkude. Changamoto ya kocha huyu ni kutoamini baadhi ya wachezaji. Hivi ushajiuliza, Farida yupo wapi?
 
Me kama mwana yanga napendekeza au kutoa ushauri kwa rais hersi kufanya sajili za wachezaji kama ifuatavyo.

1. Striker, yanga inahitaji mfungaji mwenye ubora anaeweza kumililiki mpira,kufunga na mwenye nguvu. Hawana kina mzize sio wa wabovu ila ligi ya mabingwa hawana uwezo huo.

2. Kiungo mkabaji halisi au holding midfielder, sana sana apatikane holding midfielder mwenye ubora, aucho anapendeza kucheza kama Central midfielder na sio kama anavotumika pale yanga kama holding midfilder.

Kabla sijaendelea nieleze kidgo tofauti ya holding midfielder na Central midfielder na sifa zao.
-Holding midfielder ni kiungo ambaye eneo lake ni mbele ya mabeki na majukumu yake kuichezesha team kutokea chini na kusaidia kukaba, sifa zao wanakuwa na uwezo mzuri wakupiga pasi fupi na ndefu .

Central midfielder huyu ni kiungo wa kati na majukumu ya ni kuichezesha team kupitia yeye hapo kati kati ya uwanja, kiungo huyu huunganisha team team kutoka nyuma kwenda mbele na sifa zake ni awe mzuri ktk kupiga pasi za uhakika fupi fupi na ndefu, huyu ndo anaamua team ichezeje kutokana na uwezo wake wa kulitawala dimba na pasi zake za uhakika.

Ukiangalia sifa zao hapo utagundua kwanza aucho ni mzuri wa kupiga pasi sahihi na ni mchezaji anayelazimisha team iende mbele kwa pasi zake, ni mara chache sana aucho kupiga back pass.

Aucho hana kasi sana kumchezesha nyuma ndomna mara nyingi anapigwa sana kadi za njano akipitwa anacheza rafu,

Asajiliwe holding midfielder ili aucho apogee awe Central midfielder na pacome acheze eneo la aziz ki.

Winga mbunifu, moloko ni winga wa kizaman sana anapswa kuachwa haraka sana anaziba nafasi za wachezaji wa kimataifa, tunahitaji winga mwenye uwezo wa kulifata box la adui akiwa na mpira na mwenye kasi. Muangalie yule hussein el shehat wa Al ahly hawa ndo mawinga wa kisasa. Yanga itafute winga wa maana iachane na huyu moloko.

Beki 3 mwenye nguvu za kupanda na kushuka kama yao, huyu lomalisa mzuri sawa lkn nafikir anahitajika mbadala wake kama yule haji mwinyi.

Kingine kocha aache kukariri kwamba lazima aziz ki acheze, mechi hizi za kimatafa kwa uchezaji wa aziz ki wa kuchelewa kufanya maamuz tutamlaumu tu. Mechi kama Al ahly mtu kama max anapaswa kucheza lile eneo la aziz ki kwasabab max yupo faster sana hapotez muda kukaa na mpira na ana maamuz ya haraka sana kwenda mbele.
Ukinionyesha duniani timu iliyokamilika bila mapungufu nakuonyesha Kakakuona mwenye mimba.
 
Kwani umeona nimesema kuna team isiyofungwa? Hayo ni maon yangu ili kuboresha yanga iwe bora zaidi.

Ww kaa na ujinga wako wa kuamini yanga haina mapungufu ktk kikos
Toa fedha aletwe Mbape, Saka, Ronaldo au yule mcheza kinara wa mancity na sio kubwabwaja maneno hapa. Lakini ambalo hujui ni kuwa hata timu wanazochezea zinafungwa vilevile.
 
Kwani umeona nimesema kuna team isiyofungwa? Hayo ni maon yangu ili kuboresha yanga iwe bora zaidi.

Ww kaa na ujinga wako wa kuamini yanga haina mapungufu ktk kikos
Malalamiko yako yanatokana na Draw ya Yanga jana kama vile hakustahili ile Draw. Unafikiri ile ni chandimu dogo? Ulitaka Yanga ajipigie goli kama 2 au 3 hivi ndio ujue kuwa haina mapungufu? Wakati mwingine mapungufu hujitokeza kutokana na ubora wa mshindani wako. Tatizo umeanza kushabikia mpira juzijuzi ndio maana uko over ambitious.
 
Toa fedha aletwe Mbape, Saka, Ronaldo au yule mcheza kinara wa mancity na sio kubwabwaja maneno hapa. Lakini ambalo hujui ni kuwa hata timu wanazochezea zinafungwa vilevile.
Ww ni mjinga hatuongelei kufungwa tunaongelea mapungufu, yanga ina striker gn wa maana, ina winga yupi wa maana!!
 
Back
Top Bottom