Yanga inahitaji sajili 4 bora za uhakika ili kuwa na timu kamili

Twende kwa mifano zaidi ili usomeke.
Kama ulivyofanya kwa kutoa mfano wa Ngolo Kante,
by the way wewe ni analyst mzuri.
Unawazidi kwa mbali wachambuzi wengi uchwara.
 
Ulivyonijibu kama vile naujua mpiraa mm nachangamsha uzi tu kwenye mpira sijui kitu
 
Baada ya kufungwa na Medeama week ijayo tutamlakamikia pia hersi, mdhamini, na tff
Badala ya kuiwazia Yanga, iwazie timu yako ambayo mechi ijayo inacheza na Bingwa mtetezi kwenye uwanja wake wa nyumbani, huku huyo Bingwa mtetezi akiwa amepoteza mechi 2 mfululizo!

Hatutaki kusikia tena zile kelele zenu za kumkataa Mwenyekiti wenu Mangungu. Nawatahadharisha mapema.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…