Yanga inambidi amfunge Medeama goli 5 ili kufufua matumaini ya kufuzu

Yanga inambidi amfunge Medeama goli 5 ili kufufua matumaini ya kufuzu

View attachment 2847530


Ki ukweli japo mi shabiki wa Simba nataka pia Yanga apite robo, sababu itakuwa heshima kwa TZ kuwa na timu mbili robo fainali, katika timu 8 (Hata Misri ni mara chache anafanikiwa kuingiza timu 2 robo fainali)


Ili Yanga awe na nafasi ya kufuzu robo sio tu amfunge Medeama bali anatakiwa kumfunga kwa goli 5 au zaidi

Likely Scenario ipo hivi


Yanga anagombea nafasi ya pili na C.R.B huku yanga akiwa na goal difference ya -3 wakati CRB ana +2

Yanga akishinda goli 5 atakuwa na pointi 5 na G.D ya +2 na CRB akitoa draw na Ahly kule Algeria (likely scenario) naye atakuwa na pointi 5 na G.D yake ikibaki +2 na Yanga kuwa nafasi ya tatu

Mechi ya 5 Yanga dhidi ya Ahly kule Misri akijitahidi akifungwa 2-1 bado atakuwa na pointi zake 5 bado na goal diffence ya +1

CRB akimfunga Medeama kule Algeria 2-0 naye atakuwa na pointi 8 na G.D ya +4

Mechi ya mwisho Yanga dhidi ya CRB anamfunga goli 3-0 kwa Mkapa anakuwa na pointi 8 na G.D ya +4 huku CRB akibaki na pointi nane pia na G.D ya +1 na Yanga anapitaa kwa kuwa na magoli mengi

So mechi ya kesho ndio mechi pekee ambayo Yanga ana nafasi kubwa ya ushindi, ushindi basi uwe mnono....
Kila la heri wananchi japo nyie mna roho mbaya!!
Itaishiaje hapo wakati atakua na point tano kama Yanga?
Wakilingana pointi wanaangalia mlipokutana nyie nani alikuwa mbabe? Walipokutana wao Yanga alikula kichapo cha 3 kwa sifuri!! Ili kulifuta hilo watakapokutana tena kwa Mkapa Yanga inabidi amshinde CRB goli 4 kwa bila!! Je ubavu huo anao?
Mkumbuke kuwa Al Ahly alishindwa kabisa kumshinda CRB akiwa nyumbani, je atakapokuwa ugenini ataweza? Mahesabu ya Al Ahly ni kumfunga Yanga wala si kumfunga CRB. Al Ahly hana ubavu wa kumfunga CRB ugenini!!
 
Kila la heri wananchi japo nyie mna roho mbaya!!

Wakilingana pointi wanaangalia mlipokutana nyie nani alikuwa mbabe? Walipokutana wao Yanga alikula kichapo cha 3 kwa sifuri!! Ili kulifuta hilo watakapokutana tena kwa Mkapa Yanga inabidi amshinde CRB goli 4 kwa bila!! Je ubavu huo anao?
Mkumbuke kuwa Al Ahly alishindwa kabisa kumshinda CRB akiwa nyumbani, je atakapokuwa ugenini ataweza? Mahesabu ya Al Ahly ni kumfunga Yanga wala si kumfunga CRB. Al Ahly hana ubavu wa kumfunga CRB ugenini!!
Usichokijuwa Waarabu wanajuwana, Al Ahaly huwa inasumbuliwa hata na timu za Sudan.
 
View attachment 2847530


Ki ukweli japo mi shabiki wa Simba nataka pia Yanga apite robo, sababu itakuwa heshima kwa TZ kuwa na timu mbili robo fainali, katika timu 8 (Hata Misri ni mara chache anafanikiwa kuingiza timu 2 robo fainali)


Ili Yanga awe na nafasi ya kufuzu robo sio tu amfunge Medeama bali anatakiwa kumfunga kwa goli 5 au zaidi

Likely Scenario ipo hivi


Yanga anagombea nafasi ya pili na C.R.B huku yanga akiwa na goal difference ya -3 wakati CRB ana +2

Yanga akishinda goli 5 atakuwa na pointi 5 na G.D ya +2 na CRB akitoa draw na Ahly kule Algeria (likely scenario) naye atakuwa na pointi 5 na G.D yake ikibaki +2 na Yanga kuwa nafasi ya tatu

Mechi ya 5 Yanga dhidi ya Ahly kule Misri akijitahidi akifungwa 2-1 bado atakuwa na pointi zake 5 bado na goal diffence ya +1

CRB akimfunga Medeama kule Algeria 2-0 naye atakuwa na pointi 8 na G.D ya +4

Mechi ya mwisho Yanga dhidi ya CRB anamfunga goli 3-0 kwa Mkapa anakuwa na pointi 8 na G.D ya +4 huku CRB akibaki na pointi nane pia na G.D ya +1 na Yanga anapitaa kwa kuwa na magoli mengi

So mechi ya kesho ndio mechi pekee ambayo Yanga ana nafasi kubwa ya ushindi, ushindi basi uwe mnono....
Mnajua kupiga hesabu za Yanga Ila zenu hamzijui
 
Simba anaenda kuvuna angalau pointi 1 kwa Asec kwa sababu

1. Simba ipo rejuvenated, imefufuka na morali mpya, na kocha mzuri

2. Asec hana cha kupoteza akitoa sare kwa sababu ameshafuzu
Wydad wamekuja na kocha mpya wakafungwa huyo wenu mpka mwakani mwezi wa tatu atakua bado kocha mpya?
 
Yanga haina haja ya kusubiri habari za H2H itapita kwa wingi wa points sio kama timu flani imeingia makundi kwa kanuni
 
Yanga mnachekeshaga sana. Mnaiongelea CRB kama vile ile ni Lipuli mnasahau yule ni kigogo mmoja wapo wa soka Afrika hii, halafu mnaongea kuchukua point tatu kwake kirahisi rahisi tu.

Medeama mwenyewe kumfunga kesho ni 50/50 maana kiuhalisia uzoefu na kiwango chenu ni sawa kabisa na wao. Dunia haitashangaa na matokeo ya yeyote atakayeibuka mshindi kesho maana hakuna aliye bora sana kati yenu kumzidi mwenzake.
Sawa mchambuzi
 
Huu muda uliopoteza kuandika huu ujinga,ungeutumia vyema ungepata faida zaidi, Hizi aibu ndogondogo mbona zinaepukika! Sometimes ficha ujinga wako, sio lazima kila mtu ajue.
 
Niwe mkweli siwezi nikamuombea Yanga apite makundi.

Ntamuombea ashinde mechi lakini sio afike robo

Robo ambayo Simba kwa miaka minne amekuwa akiingia lakini yeye amekuwa mtu wa kwanza kunidhihaki na sasa kanitungia jina Mwakarobo.

Hapana siwezi kuwa mnafiki.

Lazima ajue kwanini kuna ugumu kwenye haya mashindano, lazima atambue kwanini kufika hapa ilimchukua miaka 27.

Hii ndio nidhamu ya mpira ambayo anatakiwa kujifunza na sio kupiga domo kwa timu pinzani na kuzipa mbinu za kumfunga Simba.
Achana na soka .kalime tu
 
View attachment 2847530


Ki ukweli japo mi shabiki wa Simba nataka pia Yanga apite robo, sababu itakuwa heshima kwa TZ kuwa na timu mbili robo fainali, katika timu 8 (Hata Misri ni mara chache anafanikiwa kuingiza timu 2 robo fainali)


Ili Yanga awe na nafasi ya kufuzu robo sio tu amfunge Medeama bali anatakiwa kumfunga kwa goli 5 au zaidi

Likely Scenario ipo hivi


Yanga anagombea nafasi ya pili na C.R.B huku yanga akiwa na goal difference ya -3 wakati CRB ana +2

Yanga akishinda goli 5 atakuwa na pointi 5 na G.D ya +2 na CRB akitoa draw na Ahly kule Algeria (likely scenario) naye atakuwa na pointi 5 na G.D yake ikibaki +2 na Yanga kuwa nafasi ya tatu

Mechi ya 5 Yanga dhidi ya Ahly kule Misri akijitahidi akifungwa 2-1 bado atakuwa na pointi zake 5 bado na goal diffence ya +1

CRB akimfunga Medeama kule Algeria 2-0 naye atakuwa na pointi 8 na G.D ya +4

Mechi ya mwisho Yanga dhidi ya CRB anamfunga goli 3-0 kwa Mkapa anakuwa na pointi 8 na G.D ya +4 huku CRB akibaki na pointi nane pia na G.D ya +1 na Yanga anapitaa kwa kuwa na magoli mengi

So mechi ya kesho ndio mechi pekee ambayo Yanga ana nafasi kubwa ya ushindi, ushindi basi uwe mnono....
Hata ratiba ulikuwa huijui lakini ukajifanya Dony Allan kwenye uchambuzi. Kwa ratiba yako Mechi ya Ahly na Yanga tayari.
 
Back
Top Bottom