Huyo ni Tembele fake wa mikia fc. Ally Mayay Tembele hawezi kuandika upuuzi huo kwani anashindwa nini kuwasilisha maoni yake kwa viongozi wenzake mpaka aje kwenye majukwaa ambayo yanajumuisha watu wengine ambao ni wapuuzi tu.
Tembele aache kulialia sasa ni Kiongozi huko Yanga alete mawazo ya kuimarisha timu basi!