Yanga inatakiwa iache kushiriki kwa kukariri

Tumia akili kuandika, nani alikwambia makomandoo ndio wanasiasa? Halafu unaposema mikia wako hawategemei wanachama unatumia nini kufikiri? Ni timu gani isiyotegemea mapato yake kutoka kwa wanachama na mashabiki? Unajua kwa nini African
Lyon na Singida utd zilimshinda Mo? Kweli Rage hakukosea...
 
Mbumbumbu utamjua tu, lililoandika hapa ni Mamluki la Mikia sio Ally Mayai hawezi andika upupu huo
 
Mbumbumbu utamjua tu, lililoandika hapa ni Mamluki la Mikia sio Ally Mayai hawezi andika upupu huo
Wewe ndio uliyemuita mamluki. Uwezo wako wa kufikiri unayumbishwa na upepo unapoelekea.Sasa unamtetea??Mbutembute.
 
.......as long as timu inafanya vizuri ndipo lilipo tatizo. Wewe ufahamu wameshaelewa
Sisi timu yetu inaendeshwa kwa mfumo mpya uliopitishwa na wanachama so tunaendesha timu kwa katiba yetu wenyewe tulioipitisha...nyinyi yanga mnaendesha timu kwa mfumo wa harambee na mabakuli ambao mumeamua wenyewe...cha msingi kila timu ikomae na mfumo wake....WAJINGA NDI WALIWAO
 
Ni vzr sana... sio wengine kusifia bakuli
 
Kama makomandoo wa yanga wamewasilisha barua ya malalamishi yao kwa uongozi na mmepublish kwenye akaunti ya club,kumbe mayai kupublish maoni yake yuko sawa inaonekana ni utamaduni wenu
Huyo mjinga anapangia watu sehemu ya kutoa maoni yao sjui yeye kama nani?
 
Simba tunalimiliki soka la Tanzania utake usitake
 
Hadhi ya klabu yako kuwa mtani wa Simba imeshapotea hivyo ni kheri ukaacha hata kuiita mikia klabu ya Simba
 
Mfumo wa hizo klabu unaujua? Hivi unajua Chelsea ni kama Azam? Unajua timu kama Man U ina wanahisa kadhaa walioweka mzigo mezani? Simba ina wanahisa wawili, Mo na wanachama wasiotoa hata senti moja zaidi ya kuandamana.
Umeshawahi kujiuliza kwamba BAKULI LOTE PAMOJA NA KUBWA KULIKO' .. kwa nini wachezaji bado wanadai pesa zao?
 
Simba haina mwanachama tajiri mmoja tu wapo wengi sanaa, yani unazungumza vitu vya kizamani sana (zilipendwa) kama sio mtu wa mpira bwana.
.
Roman abrahamovich anaimiliki Klabu ya Chelsea siki akifa na klabu nayo itakufa au itashuka daraja?
Moise Katumbi siku akiondoka Tp mazembe unadhani itaacha kuwa timu tishio Africa? Come on
 
Nimesoma comments zotee nilivyofika hapa nikacheka sasa wewe unabisha nini?
.
Huko mwanzo umesema Mo anatengeneza mifumo Simba ya kumtegemea yeye siku akifa au kujitoa itakuwaje hapa naona unamsifia abrahamovich kwake hujafikiria akifa au kuikacha Chelsea itakuwaje ila kwa Mo umefikiria maskiniiii roho mbaya tu.
.
Timu yako haina hadhi ya kupambana na Simba tena
 
Hivi nyie tatizo lenu ni nini?
Mpaka sasa Mo dewji hajaweka zile billion 20 kwenye account ya Simba kwa kuwa mfumo bado haujaanza kufanya kazi nyinyi vyura mnahisi unafanya kazi tayari poleni
 
Mkuu njia za utafutaji wa masikini zikigonga mwamba na asiporizika na hali yake anaamua kuwa Mchawi au mwizi.
Hawa wenzetu wamechagua Uchawi.
 
Tatizo mnashindwa kutofautisha kati ya kina Abraimovich, katumbi, wao ni wamiliki wa timu hata wakifa timu zitabaki chini ya utawala wa familia zao, Mo sio mmiliki wa timu ya simba kama alivo mzee Bakhressa kwa azam kwanini hii tofauti hamtaki kuikubali, hao matajiri wengine wa simba miaka ile yanga anachukua ubingwa mara tatu mfululizo au kabla ya Mo walikua wapi?

Abromovich na Katumbi wao ndio wamiliki wa timu wakiamua wanaamua kuuza hisa kwa asilimia kadhaa kwa watu wenye interest lakini Mo yeye hisa zake kauziwa na simba tena itakua hio 49% kama alivosema Mwakyembe sasa unapolinganisha Abraimovich /Katumbi na Mo nakuona wa ajabu

Abramovich muda wowote akiamua kuiuza chelsea anaweza, familia ya Glazzer ikiamua.kuiuza Man utd inaweza, Mmiliki wa newcastle alitaka kuiuza newcastle kwa ndugu yake Sheikh Mansoor bahati mbaya business ikakwama, sasa kama hawa watu wanafanana na Mo katika umiliki je Mo anaweza kuiuza simba?
 
Hapa ndo utajua nani mbumbumbu Kati ya Vyura FC aka Yeboyebo na Simba Dume!
 
Hio comment ya Mo kutengeneza mfumo wa simba kuitegemea yeye sijaisema mimi kuna mtu kaisema na nika i like na kuiunga mkono kwa sababu ukiangalia kwa jicho la tatu kuna ukweli ndani yake sisi hatuna roho mbaya na simba wengi tulichopinga hapa ni simba kutuponda na kuona ni kama sisi ni wajinga fulani wakati wote tunafanana kwa kila kitu na tumetofautishwa na tofauti ndogo tu nyie mna mtu Mo Dewji lakini yanga hawana huyo mtu ndio maana nikasema kua siku simba nayo ikikosa mtu kama Mo Dewji lazima mtayumba tu kama yanga huenda wakaja watu wengine lakini kupata watu wenye support kama ya Mo kwa kiwango kilekile ni ngumu sana (sio kwamba haiwezekani) inawezekana lakini ni ngumu sana, ukitaka kuanza kunielewa jiulize kabla ya Mo hao watu walikua wapi, Mo mwenyewe aliwahi kusema kwa waandishi wa habari kua anafanya hivyo simba kwa sababu ya mapenzi makubwa aliyokua nayo kwa simba maana klabu inajiendesha kwa hasara na hizo bilion 20 (sijui kama amaezitoa ama laah) angeweza hata kununua timu ya mpira daraja la chini huko Marekani lakini hataki hivo anataka kuitengeneza simba imara
 
Mo
Hakuna mtu anaye jitambua anayeweza kuja kuwekeza kwenye timu ya watu wasio jielewa kama yanga.
Tegemeo lenu lilikuwa ni R.Azizi na mwenyewe akachomoa.
amewekeza kitu gani Yanga,rostam atawekeza ni mmoja kati ya wawekezaji 4 walio tayari,rostam,gsm,sayona na riz1,subirini somo kutoka kwetu muone namna uwekezaji unavyokua,sio ule usanii wa friends of mikia
 
Mo

amewekeza kitu gani Yanga,rostam atawekeza ni mmoja kati ya wawekezaji 4 walio tayari,rostam,gsm,sayona na riz1,subirini somo kutoka kwetu muone namna uwekezaji unavyokua,sio ule usanii wa friends of mikia
Haaaa ngoja tusubiri tuone huo uwekezaji.
 
Vyura wa juzi hao!achana nao mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…