Yanga inayo nafasi kubwa ya kutinga hatua ya makundi

Yanga inayo nafasi kubwa ya kutinga hatua ya makundi

Mtanzanias

JF-Expert Member
Joined
Jul 30, 2021
Posts
1,747
Reaction score
3,725
Napenda niseme tu bila kupepesa macho ya kuwa yanga wanayo nafasi kubwa ya kutinga hatua ya makundi klabu bingwa msimu huu.

Nimepata ujasiri wa kusema hivyo baada ya kuwaona Al hilal iliyocheza na simba, ni timu ya kawaida ambayo kwa jicho la kiufundi nimeona bado inatafuta muunganiko baada ya kusajili wachezaji wengi wapya.

Bado timu yao inanufaika na uwezo wa mchezaji mmoja mmoja na sio timu kucheza kitimu zaidi, hii ni timu ambayo nilikuwa naona itaipa yanga changamoto kubwa sana lakini kwa namna nilivyowaona jana yanga wakichanga karata zao vizuri kianzia mechi ya nyumbani nawaona wakiwaondosha matajiri hawa mapema sana, labda kama watabadilika haraka vinginevyo yanga nawaona wakitoboa na kusonga mbele.

Pia naiona mechi yao na St george ikiwa ngumu kwa aina ya mchezo ambao timu zote zinacheza, Yanga watanufaika na muunganiko wa kikosi chao ambacho imekaa pamoja kwa muda mrefu huku wakiongeza quality chache sana kwenye kikosi.

Wakati al hilal wanaanzisha takribani wachezaji 6 wapya kwenye kikosi chao cha kwanza yanga wao wanaweza kumuanzisha Aziz ki peke yake kwenye kikosi cha kwanza, kilichopo yanga wajipange kimbinu zaidi toka kwa Profesa Nabi kuimaliza mechi kwa mkapa
 
Napenda niseme tu bila kupepesa macho ya kuwa yanga wanayo nafasi kubwa ya kutinga hatua ya makundi klabu bingwa msimu huu...
Kiufupi nikusaidie Alhilal is dedly kwenye nockout ata angepangia zamaleck anan'goka ,usidhani wanaingia makundi Kila mwaka Kwa kubahatisha .Yanga atacheza Shirikisho tena asipangwe na miamba ya kaskazini kulingana na rank yake ndogo
 
Yanga hawatafika Popote Sababu ni Kuweka Kambi KIMBIJI Na trials Za Friend Rangers Na KMC.
 
Kwani hawa mshacheza nao na mshawatoa tayari halafu mechi zile ni za kujaribu wachezaji ambao hawapati nafasi au hawapo kwenye mfumo ili mwalimu afanye tathmini yake vizuri hvyo wachezaji wengi wa first eleven hawapo kwenye team zao wameenda kwenye national team malizaneni na hawa kwanza.
tapatalk_-1045326327_264x375.jpg
tapatalk_843158430_480x360.jpg
 
Napenda niseme tu bila kupepesa macho ya kuwa yanga wanayo nafasi kubwa ya kutinga hatua ya makundi klabu bingwa msimu huu.

Nimepata ujasiri wa kusema hivyo baada ya kuwaona Al hilal iliyocheza na simba, ni timu ya kawaida ambayo kwa jicho la kiufundi nimeona bado inatafuta muunganiko baada ya kusajili wachezaji wengi wapya.

Bado timu yao inanufaika na uwezo wa mchezaji mmoja mmoja na sio timu kucheza kitimu zaidi, hii ni timu ambayo nilikuwa naona itaipa yanga changamoto kubwa sana lakini kwa namna nilivyowaona jana yanga wakichanga karata zao vizuri kianzia mechi ya nyumbani nawaona wakiwaondosha matajiri hawa mapema sana, labda kama watabadilika haraka vinginevyo yanga nawaona wakitoboa na kusonga mbele.

Pia naiona mechi yao na St george ikiwa ngumu kwa aina ya mchezo ambao timu zote zinacheza, Yanga watanufaika na muunganiko wa kikosi chao ambacho imekaa pamoja kwa muda mrefu huku wakiongeza quality chache sana kwenye kikosi.

Wakati al hilal wanaanzisha takribani wachezaji 6 wapya kwenye kikosi chao cha kwanza yanga wao wanaweza kumuanzisha Aziz ki peke yake kwenye kikosi cha kwanza, kilichopo yanga wajipange kimbinu zaidi toka kwa Profesa Nabi kuimaliza mechi kwa mkapa
Hicho kikosi cha Yanga chenye muunganiko kimewahi kushinda mechi yoyote ya kimataifa?

Tuanzie hapo kwanza
 
Napenda niseme tu bila kupepesa macho ya kuwa yanga wanayo nafasi kubwa ya kutinga hatua ya makundi klabu bingwa msimu huu.

Nimepata ujasiri wa kusema hivyo baada ya kuwaona Al hilal iliyocheza na simba, ni timu ya kawaida ambayo kwa jicho la kiufundi nimeona bado inatafuta muunganiko baada ya kusajili wachezaji wengi wapya.

Bado timu yao inanufaika na uwezo wa mchezaji mmoja mmoja na sio timu kucheza kitimu zaidi, hii ni timu ambayo nilikuwa naona itaipa yanga changamoto kubwa sana lakini kwa namna nilivyowaona jana yanga wakichanga karata zao vizuri kianzia mechi ya nyumbani nawaona wakiwaondosha matajiri hawa mapema sana, labda kama watabadilika haraka vinginevyo yanga nawaona wakitoboa na kusonga mbele.

Pia naiona mechi yao na St george ikiwa ngumu kwa aina ya mchezo ambao timu zote zinacheza, Yanga watanufaika na muunganiko wa kikosi chao ambacho imekaa pamoja kwa muda mrefu huku wakiongeza quality chache sana kwenye kikosi.

Wakati al hilal wanaanzisha takribani wachezaji 6 wapya kwenye kikosi chao cha kwanza yanga wao wanaweza kumuanzisha Aziz ki peke yake kwenye kikosi cha kwanza, kilichopo yanga wajipange kimbinu zaidi toka kwa Profesa Nabi kuimaliza mechi kwa mkapa
Laiti ungejua kuna wachezaji 4 wa kutegemewa hawakucheza jana
 
Yanga hawatafika Popote Sababu ni Kuweka Kambi KIMBIJI Na trials Za Friend Rangers Na KMC.
unaota mchana huku unatembea! hivi yale matobo ya Aziz Ki unafikiri ni kwa Simba tu? Yanga kwenye mchezo wa kimashindano ni kitu ingine!! Kila goti litapigwa! na kombe la CAF tutabeba. Hata Sakho alipofunga goli la kubahatisha Makolo mliruka mpaka juu ya bati ila baadae tukawakalisha!!
Kila atakae jaa kwenye 18 za Yanga tutamkalisha mark my words! Hii ni Yanga next level! Yanga ya makombe! hata kombe la dunia club tutachukua!
 
Kwani hawa mshacheza nao na mshawatoa tayari halafu mechi zile ni za kujaribu wachezaji ambao hawapati nafasi au hawapo kwenye mfumo ili mwalimu afanye tathmini yake vizuri hvyo wachezaji wengi wa first eleven hawapo kwenye team zao wameenda kwenye national team malizaneni na hawa kwanza. View attachment 2341633View attachment 2341634
Juzi kati hapa nilikuwa nazungumza na kigogo mmoja wa Nyasa Big Bullets kuhusu mechi yao ijayo ya Kimataifa! Eti kasema haihofii kabisa simba!!

Mbaya zaidi akasema hata hizi mechi zenu za kule Sudan, ni ushahidi tosha timu yenu haina maandalizi ya kutosha kwenye Pre season, ukilinganisha na wao. Na ameahidi timu yake itawatoa eti kwenye hii hatua ya awali ya mashindano.

Binafsi nasubiri kuona matokeo ya mwisho.
 
Napenda niseme tu bila kupepesa macho ya kuwa yanga wanayo nafasi kubwa ya kutinga hatua ya makundi klabu bingwa msimu huu.

Nimepata ujasiri wa kusema hivyo baada ya kuwaona Al hilal iliyocheza na simba, ni timu ya kawaida ambayo kwa jicho la kiufundi nimeona bado inatafuta muunganiko baada ya kusajili wachezaji wengi wapya.

Bado timu yao inanufaika na uwezo wa mchezaji mmoja mmoja na sio timu kucheza kitimu zaidi, hii ni timu ambayo nilikuwa naona itaipa yanga changamoto kubwa sana lakini kwa namna nilivyowaona jana yanga wakichanga karata zao vizuri kianzia mechi ya nyumbani nawaona wakiwaondosha matajiri hawa mapema sana, labda kama watabadilika haraka vinginevyo yanga nawaona wakitoboa na kusonga mbele.

Pia naiona mechi yao na St george ikiwa ngumu kwa aina ya mchezo ambao timu zote zinacheza, Yanga watanufaika na muunganiko wa kikosi chao ambacho imekaa pamoja kwa muda mrefu huku wakiongeza quality chache sana kwenye kikosi.

Wakati al hilal wanaanzisha takribani wachezaji 6 wapya kwenye kikosi chao cha kwanza yanga wao wanaweza kumuanzisha Aziz ki peke yake kwenye kikosi cha kwanza, kilichopo yanga wajipange kimbinu zaidi toka kwa Profesa Nabi kuimaliza mechi kwa mkapa
Asee, unahitimisha haraka mno, ule mchezo haukuwa wa kimashindano zile ni mbinu tu, rejea ya Z'bar heroes vs Uganda, watakuja kutusaprise wale jamaa, nashangaa watu wanasema Asante Kotoko ni mbovu, kuna siku tutabaki vinywa wazi,..... Chondechonde wabongo tunajifanya waongeaji sana!
 
Back
Top Bottom