Yanga inayo nafasi kubwa ya kutinga hatua ya makundi

Yanga inayo nafasi kubwa ya kutinga hatua ya makundi

Juzi kati hapa nilikuwa nazungumza na kigogo mmoja wa Nyasa Big Bullets kuhusu mechi yao ijayo ya Kimataifa! Eti kasema haihofii kabisa simba!!

Mbaya zaidi akasema hata hizi mechi zenu za kule Sudan, ni ushahidi tosha timu yenu haina maandalizi ya kutosha kwenye Pre season, ukilinganisha na wao. Na ameahidi timu yake itawatoa eti kwenye hii hatua ya awali ya mashindano.

Binafsi nasubiri kuona matokeo ya mwisho.
Ushatoa mchango wa mganga wa mechi ijayo ya simba wenzako washaanza kupeleka hela ya mganga huko wee endelea kuiwaza big bullet mganga anataka hela yake amalize kazi mapema.
 
Kiufupi nikusaidie Alhilal is dedly kwenye nockout ata angepangia zamaleck anan'goka ,usidhani wanaingia makundi Kila mwaka Kwa kubahatisha .Yanga atacheza Shirikisho tena asipangwe na miamba ya kaskazini kulingana na rank yake ndogo
Kwa mwaka huu itabidi atupishe tu
 
unaota mchana huku unatembea! hivi yale matobo ya Aziz Ki unafikiri ni kwa Simba tu? Yanga kwenye mchezo wa kimashindano ni kitu ingine!! Kila goti litapigwa! na kombe la CAF tutabeba. Hata Sakho alipofunga goli la kubahatisha Makolo mliruka mpaka juu ya bati ila baadae tukawakalisha!!
Kila atakae jaa kwenye 18 za Yanga tutamkalisha mark my words! Hii ni Yanga next level!
Rivers united hayakuwa mashindano?
 
Rivers united hayakuwa mashindano?
we jamaa unakariri sana mambo ya zamani! mi nazungumzia Yanga mpya we umeshikilia bomba tu gari ishafika watu wanashuka we umo tu!

Si vibaya pia ukikumbushia mlitufunga 5 na kwa miaka minne sasa mmebaki na historia tu mkononi uwezo wa kuifunga Yanga haupo mkipata japo goli moja tu mnaruka hadi juu ya bati na kufanya sherehe!

Yanga iliyocheza na River United sio Yanga iliyobeba NBC premier league unbeaten! nadhani umenisoma!! we jamaa shule ungesoma ulaya ungekuwa unapata 20% halafu unaenda kushitaki mbona nilimeza kila kitu na nikajibu vyote kumbe hukutakiwa kukariri ilipaswa uelewe na ujibu ulivyoelewa!!
 
we jamaa unakariri sana mambo ya zamani! mi nazungumzia Yanga mpya we umeshikilia bomba tu gari ishafika watu wanashuka we umo tu!

Si vibaya pia ukikumbushia mlitufunga 5 na kwa miaka minne sasa mmebaki na historia tu mkononi uwezo wa kuifunga Yanga haupo mkipata japo goli moja tu mnaruka hadi juu ya bati na kufanya sherehe!

Yanga iliyocheza na River United sio Yanga iliyobeba NBC premier league unbeaten! nadhani umenisoma!! we jamaa shule ungesoma ulaya ungekuwa unapata 20% halafu unaenda kushitaki mbona nilimeza kila kitu na nikajibu vyote kumbe hukutakiwa kukariri ilipaswa uelewe na ujibu ulivyoelewa!!
Hiyo miaka mi4 ambayo hujafungwa na simba umechukua kombe la ligi kuu mara ngapi?
 
Back
Top Bottom