Ushatoa mchango wa mganga wa mechi ijayo ya simba wenzako washaanza kupeleka hela ya mganga huko wee endelea kuiwaza big bullet mganga anataka hela yake amalize kazi mapema.Juzi kati hapa nilikuwa nazungumza na kigogo mmoja wa Nyasa Big Bullets kuhusu mechi yao ijayo ya Kimataifa! Eti kasema haihofii kabisa simba!!
Mbaya zaidi akasema hata hizi mechi zenu za kule Sudan, ni ushahidi tosha timu yenu haina maandalizi ya kutosha kwenye Pre season, ukilinganisha na wao. Na ameahidi timu yake itawatoa eti kwenye hii hatua ya awali ya mashindano.
Binafsi nasubiri kuona matokeo ya mwisho.
Kwa mwaka huu itabidi atupishe tuKiufupi nikusaidie Alhilal is dedly kwenye nockout ata angepangia zamaleck anan'goka ,usidhani wanaingia makundi Kila mwaka Kwa kubahatisha .Yanga atacheza Shirikisho tena asipangwe na miamba ya kaskazini kulingana na rank yake ndogo
Rivers united hayakuwa mashindano?unaota mchana huku unatembea! hivi yale matobo ya Aziz Ki unafikiri ni kwa Simba tu? Yanga kwenye mchezo wa kimashindano ni kitu ingine!! Kila goti litapigwa! na kombe la CAF tutabeba. Hata Sakho alipofunga goli la kubahatisha Makolo mliruka mpaka juu ya bati ila baadae tukawakalisha!!
Kila atakae jaa kwenye 18 za Yanga tutamkalisha mark my words! Hii ni Yanga next level!
Kweli mbumbumbu ni matatizo makubwa sana aseeh.Hicho kikosi cha Yanga chenye muunganiko kimewahi kushinda mechi yoyote ya kimataifa?
Tuanzie hapo kwanza
we jamaa unakariri sana mambo ya zamani! mi nazungumzia Yanga mpya we umeshikilia bomba tu gari ishafika watu wanashuka we umo tu!Rivers united hayakuwa mashindano?
Hiyo miaka mi4 ambayo hujafungwa na simba umechukua kombe la ligi kuu mara ngapi?we jamaa unakariri sana mambo ya zamani! mi nazungumzia Yanga mpya we umeshikilia bomba tu gari ishafika watu wanashuka we umo tu!
Si vibaya pia ukikumbushia mlitufunga 5 na kwa miaka minne sasa mmebaki na historia tu mkononi uwezo wa kuifunga Yanga haupo mkipata japo goli moja tu mnaruka hadi juu ya bati na kufanya sherehe!
Yanga iliyocheza na River United sio Yanga iliyobeba NBC premier league unbeaten! nadhani umenisoma!! we jamaa shule ungesoma ulaya ungekuwa unapata 20% halafu unaenda kushitaki mbona nilimeza kila kitu na nikajibu vyote kumbe hukutakiwa kukariri ilipaswa uelewe na ujibu ulivyoelewa!!